Battle ya Sativa vs ZCO Faustine Mafwele bado mbichi

Kapona kwa bahati kubwa kama Donald Trump.

Execution / kumaliza uhai kwa hii staili ya kupiga watu kisogoni risasi nia ni kuua lakini Mungu mkubwa

Waliopachikwa jina wasiojulikana lakini wanaofahamika na Polisi ndiyo hawa.
Mungu ametenda kwa jamaa. Angeshaliwa na fisi muda mrefu pale Katavi National Park
 
Aisee 😯
 
K
wakkuwa alishauawa mara yabkwanza, ahaigopi kuuliwa mara ya pili, kikubwa huyo jamaa aumbuke
 
Tungekuwa na serikali zenye kufuata haki ,huyo askari anayetuhumiwa na sativa angekuwa ameanza kuchunguzwa pamoja na mlalamikaji lakini Kwa kuwa watawala wetu Huwa wanajiona maumivu ya wananchi hayawahusu wanaamua kukaa kimya.kukaa tz ni hatari sana.
 
Kwa alichokipitia sativa kwa sasa Hana uoga wowote sisi tunaosoma maandiko yake tunatamani kumwambia "sativa nyamaza kama ni mipango Yako panga kimya kimya"

Ogopa sana binadamu akijikatia tamaa! Ugopa sana binadamu akikijua kwamba wewe ndo ulipanga kumtoa uhai, Hilo battle lake sio poa.
Nb; kwani mafwele ni mtu wa wapi?? Kabira Gani?
 
Naona kama dogo ana wenge hivi,mpaka picha anapost hovyo,kinachofata ni jamaa kuja hadaharani kushitaki anadhalilishwa bila ushahidi wa msingi.sijui ana hela za kumlipa au atachangiwa tena!!!!

Kama kuna wanasheria karibu yake wamshauri kitu.
 
Anaweza asiguswe anakodhani,watu wakatumia sheria.tamaa ataiunga vyema kabisa na umakini utamkaa sawa.
 


Uzi umefutwa fyaaaaaa 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…