BLACKTIGER
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 1,568
- 1,923
Mafwele oyeeeee 😂😂😂😂Asiyefundwa na mame hufundwa na ulimwengu ndivyo impasayo sativa17, anayoyataka atayapata.
Maneno mingi kazi kidogo
Atapata anachotaka aendelee na kelele zake hao wanaompa kichwa ni vibwengo tu hamna kitu.
Wadiz
Wewe ni mbumbumbu wa mambo ya sheria. Kaa kwa utulivu. Kwenye criminal cases ni DPP ndiye hupeleka mashtaka Mahakamani, siyo raia kama ilivyo kwenye civil casesSasa kwa nini nyinyi msiende Mahakamani mkamfungulie kesi ili tujue nani ni mkweli?
Mwambie basha wako Mafwele tutamtundika Buchani tumle nyamaSativa17 ana akili za ushamba
Acha uongo mbona kuna Wakili mmoja juzi kafungua kesi ya jinai ya yule "Afande" kule Dodoma? Acha upotoshaji kama hujui uliza ufundishwe!!Wewe ni mbumbumbu wa mambo ya sheria. Kaa kwa utulivu. Kwenye criminal cases ni DPP ndiye hupeleka mashtaka Mahakamani, siyo raia kama ilivyo kwenye civil cases
yaaniiiiMafwele oyeeeee 😂😂😂😂
Utamteka tena?Asiyefundwa na mame hufundwa na ulimwengu ndivyo impasayo sativa17, anayoyataka atayapata.
Maneno mingi kazi kidogo
Atapata anachotaka aendelee na kelele zake hao wanaompa kichwa ni vibwengo tu hamna kitu.
Wadiz
He has nothing to fear but fear it self!Asiyefundwa na mame hufundwa na ulimwengu ndivyo impasayo sativa17, anayoyataka atayapata.
Maneno mingi kazi kidogo
Atapata anachotaka aendelee na kelele zake hao wanaompa kichwa ni vibwengo tu hamna kitu.
Wadiz
Kwamba nyinyi mna haki ya kuishi wengine hawana?Asiyefundwa na mame hufundwa na ulimwengu ndivyo impasayo sativa17, anayoyataka atayapata.
Maneno mingi kazi kidogo
Atapata anachotaka aendelee na kelele zake hao wanaompa kichwa ni vibwengo tu hamna kitu.
Wadiz
ajitokeze akanushe hizi habari tujueACP mafwele asione hii
Hayupo nchini huyo, kashavuka boda.Dah nimpe pole huyu jamaa kwa nyakati ngumu alizopitia sio jambo jepesi.
Sema hapa naona kuna kitu hakipo sawa kwake.Sijui kiasi gani amejipanga kumkabili huyu mtu lakini kwa hesabu nyepesi unaona battle anaweza shindwa tena
Angeweza angemwachia Mungu au kama anataka kuchukua njia za asili hakuwa na sababu ya kuparade hizi taarifa kizembe(labda ni kutoa ufahamu kwa wengine hili wajichunge kama ndio lengo basi sio vibaya lakini kama ni lengo la kupata huruma ya watz niseme hapa uongo kwani watanzania unafiki ni mwingi)