Battle ya Sativa vs ZCO Faustine Mafwele bado mbichi

Of coz na saiv Naona kam uchawi umekwisha, au waganga hawapo tena ingekuwa miaka flani wakat hizi Facebook na WhatsApp hazipo wazee wapo wengi..... Hili grupu La watekaji lingepukutika kwa kulogwa tu
 
Picha yake ipo wapi?
 
Tusiwadhuru watoto wake kwa kuwa hawana hatia na hawakupanga kuzaliwa ma huyu HAYAWANI
Ila matunda ya damu , mateso na maumivu ya WaTz waendelee kula tu si ndio? Wakatae kusomeshwa kwa pesa za damu, maumivu na mateso makali dhidi ya binadamu, otherwise hao watoto wana hatia sawa sawa na baba yao, lolote liwapate..
 
Labda nafikiria vibaya, mtanikosoa. Lakini, sijui kwanini naona tweet za Sativa zinadogosha tukio lile baya alilofanyiwa. Yaani naliona ni kubwa kuliko anavyolitweet.

Pengine haya anayoyasema kwenye X kuhusu unyama huo aliofanyiwa yangeweza kupata jukwaa kubwa la kuweza kuchukua umakini wa kila mtu na kusaidia harakati.

Nawaza, yeye alishatweet sana kwa kukosoa na kulaumu mfumo, labda hata hizi tweet zinaweza zisiwe hoja mpya kwa aina ya tweet zake za kila siku, licha ya hizi kuwa nzito sana.

Mtu amwambie kuwa anahitaji hata mahojiano na DW, BBC , Al Jazeera au CNN na kuyaeleza haya kwenye jukwaa kubwa zaidi kuliko kutweet tu kama ambavyo huwa akitweet kabla ya tukio hilo.

Ova
 
Nchi ichukue Hatua
Mtu dizaini ya SATIVA hana cha kupoteza tena mwili ushakufa ganzi, Serikali ifanye jambo kuguswa na uchungu alionao. Hapo alipo anaweza jivika bomu afe na kijiji hana cha kupoteza amekosa mtu/taasisi ya kutia kiberiti awake.

Lets take care of it. SATIVA ana maumivu sana hashindwi kuvaa bomu akailipua Osterbay na askari wake wote wakaaangamia! Tumtafutie tiba ya wanasaikolojia haraka.
 
Uzalendo is very wide stuffs. Uzalendo una pande mbili na yeye japo kakubali kutumikia Mamlaka kwa upande Wananchi wasioupenda ila ni kitu ambacho ni kawaida. Hata yeye akiondoka Mamlaka wana resources ya watu kama hao wa kutosha. Kumlaumu mtu mmoja ambaye ni mdogo na yuko tayari kupoteza maisha yake kwa ajili ya nchi yake ni kumuonea. On my limited knowledge opinion this guy is perfect and he execute what is needed for greater benefits like a country like Tanzania. Wakati nyie mnaona mtu wa kuua watu yeye anajiona ni mtu wa kuukoa nchi hii. Watu kama hawa tunawahitaji and i really appreciate his work. Sativa ni Fala flani hiivi ambae anaona social media itamuokoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…