Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Of coz na saiv Naona kam uchawi umekwisha, au waganga hawapo tena ingekuwa miaka flani wakat hizi Facebook na WhatsApp hazipo wazee wapo wengi..... Hili grupu La watekaji lingepukutika kwa kulogwa tuDah nimpe pole huyu jamaa kwa nyakati ngumu alizopitia sio jambo jepesi.
Sema hapa naona kuna kitu hakipo sawa kwake.Sijui kiasi gani amejipanga kumkabili huyu mtu lakini kwa hesabu nyepesi unaona battle anaweza shindwa tena
Angeweza angemwachia Mungu au kama anataka kuchukua njia za asili hakuwa na sababu ya kuparade hizi taarifa kizembe(labda ni kutoa ufahamu kwa wengine hili wajichunge kama ndio lengo basi sio vibaya lakini kama ni lengo la kupata huruma ya watz niseme hapa uongo kwani watanzania unafiki ni mwingi)
11. Amekwishaandika kila alichotendewa na Mafwele na kukabidhi kwa ndugu na radiki, hata akifa leo Dunia itajuwa
View: https://x.com/Sativa255/status/1834153043366985868?t=1uKE5kzRxEBGBx-G-fmFJQ&s=19
Picha yake ipo wapi?Mara nyingi nikiangalia picha ya huyu mtu, kwa jicho la tatu, huyu ameanza kutafunwa na nafsi yake. Damu alizomwaga ni nyingi sana. Hana raha ya kipato anachopata, watoto wake wanalipiwa kwa fedha ya damu za watu masomo yao hayana baraka ya Mungu. Mkewe akivaa akadhani kapendeza ni mavazi ya damu za watu.
Muuaji wa kwanza tangu ulimwengu kuumbwa alikuwa Kaini.
Baada ya Kaini kumuua Abel, Kaini alichimba shimo akamfukia, damu ya Abel ikamlilia Mungu, Mungu akasikia kilio cha Abel. Mungu akamuita Kaini, naye akaitika Mungu akamuuliza yu wapi Abel ndugu yako? Kaini akamjibu ovyo sana Mungu eti kwani mimi ni mlinzi wake?
Majibu ya ovyo ya Kaini kwa Mungu ni dailies ya kufadhaika kwa nafsi ya Kaini. Ndivyo wauaji wanavyofadhaika. Mwisho wataanza kuelezea kwa watu kuhusu maovu waliyotenda na kamwe haitasaidia.
8. Sativa atishia kuwa kama Mafwele haondolewi basi itakula kwa Samia
View: https://x.com/Sativa255/status/1834144210556969437?t=SyrjN8FY1Y3lwvPKOfR2QQ&s=19
Ila matunda ya damu , mateso na maumivu ya WaTz waendelee kula tu si ndio? Wakatae kusomeshwa kwa pesa za damu, maumivu na mateso makali dhidi ya binadamu, otherwise hao watoto wana hatia sawa sawa na baba yao, lolote liwapate..Tusiwadhuru watoto wake kwa kuwa hawana hatia na hawakupanga kuzaliwa ma huyu HAYAWANI
Labda nafikiria vibaya, mtanikosoa. Lakini, sijui kwanini naona tweet za Sativa zinadogosha tukio lile baya alilofanyiwa. Yaani naliona ni kubwa kuliko anavyolitweet.Nitaweka mfulizo wa posts za Sativa kutoka kwenye ukurasa wake wa Twitter akimshutumu ZCO Faustine Mafwele kuwa ndiye kinara wa utekaji na uuaji unaotekelezwa na taasisi za Serikali dhidi ya wakosoaji/ wanaharakati wa siasa.
1. Namna alivyomtambua ZCO MAFWELE
Siku ya kwanza nimeongea story yangu public niliongea kwenye Club house. Ilikuwa 7/8 saa mbili kamili usiku.
Kwenye story yangu kuna mahali nilimtaja mtu mwenye sifa hizi hapo awali sikumjua kabisa kwa majina.
Sifa nilizozitaja;
1. Mrefu
2. Mweusi
3. Mwili wa ukakamavu (kama mtu wa mazoezi)
4. Ni kama mtu wa kanda ya Ziwa kimuonekano wake (watu wa Mwanza, geita, ukerewe).
5. Alivaa jezi ya simba (ya msimu uliopita nyekundu)
6. Alivaa bukta ya kaki.
7. Mkononi alikuwa na simu nyingi kama sio 2 basi 3.
Siku 20 baadae nikaja kuona picha za huyu jamaa hapo pichani alifahamika kwa jina la MAFWELE. Siku nimeiona hii picha nilitetemeka sanaa.
Niliogopa sana nikakumbuka mateso makali niliyopitishwa, nikarudia kuangalia hii picha nikakumbuka ni yeye aliekuja kituo cha polisi usiku ule OSTABAY.
Hapo hapo nikawatumia watu wangu wa karibu kuwa huyu mtu ndie alikuja usiku ule Obay na kutoa amri niwekwe pembeni aongee na wale mapolisi waliokuja kunikamata KOROGWE.
Hili jamaa ndio lilitaka nife, Huyu ndio anahisi yeye atafika 2099 hapa duniani.
Kama kweli jina lako ndio MAFWELE NKUAHIDI tutakuwa na safari ndefu mimi na wewe.🤝
Pia soma
kuna uzi nilisoma anasema alikua board member na Prof. Assad hii kenge ya kuitwa UCDWewe ni mbumbumbu wa mambo ya sheria. Kaa kwa utulivu. Kwenye criminal cases ni DPP ndiye hupeleka mashtaka Mahakamani, siyo raia kama ilivyo kwenye civil cases
Huyu jamaa ni nani ?Huyu hapa:
View attachment 3094233
dogo nilijua una akili kumbe ni zwazwaAsiyefundwa na mame hufundwa na ulimwengu ndivyo impasayo sativa17, anayoyataka atayapata.
Maneno mingi kazi kidogo
Atapata anachotaka aendelee na kelele zake hao wanaompa kichwa ni vibwengo tu hamna kitu.
Wadiz
Dada yangu kipenzi mafwele atakuibukia huko ohooo 😄Watu kama hao huwa hawana mke wala watoto huwa ni mashoga.
DuhWaoga haooo
Acha dharau ameandika kwa imani yake na wale wanao amini haikuhusu unaweza kupita bila kejeli wala matusi,heshimu dini za watu.......nyie ni mfano mbaya katika jamii utaleta chuki na visasi visivyo vya lazima jaribu kuwa mstaarabu basi huna wazazi au ulizaliwa gesti?/Haya matakataka ndo nini