BAVICHA leo saa 5 kutangaza msimamo wao kuhusu Wabunge 19 wa Viti Maalum

Status
Not open for further replies.
Mtafaruku uliopo na stake ya uhai wa CDM ni kuwa lazima top executive alitolee kauli yake, not through KM or any other delegate!
Mkuu hata yale yanatokana na kikao hakutoka tu km nakusema yale, ccm jifunzeni kuheshimu sheria na kanuni.
 
Kama CCM msivyoisha vituko kupelekeshwa na mtu mmoja Jiwe mpaka mnamuita Yesu

una hoja ya msingi, Time will tell
Tafuta mahali pazuuri penye upepo mzuri mwanana, uagize na PEPs ya bariidi ili hasira zipungue kidogo mkuu, bili tuma kwangu

Ni mambo ya siasa tu mkuu
 
Chadema wako sahihi mara zote, seke seke hili la wabunge wa viti maalum, litaibua tafsiri zisizo za haki ili mradi kuhalalishwa uharamia wa uteuzi wa wabunge viti maalum.Halima mdee na wenzako wana kesi ya kujibu mbele ya Kamati kuu ya Chama.
 
Mbona hii 30% tu, ccm kuna wajumbe wa kamati kuu na ni wabunge.mtakuwa vichaa kama key decision makers wa chama mtawaweka nje ya chombo kikuu cha nchi cha kutunga sheria Chadema please raise up your game come on!!!!!
 
Bavicha wamefanya vizuri kukaa kikao mapema.

Kamati Kuu Chadema inaonyesha kulipuuza swala hili ndio maana haijakaa kikao cha dharura. Ni ishara kuwa Kamati Kuu iko nyuma ya mchezo unaoendelea wa kuwalaghai mashabiki waliojazwa hasira.

Mpaka mwisho, sakata hili litaishia kwenye kauli tupu za mdomoni zisizoathiri chochote.
 
Yaani BAVICHA wanakaa na wanataka kutoa 'msimamo wao' kabla ya kikao kilichoitishwa na KM tare 27 Nov 2020?

Hili saga usishangae BAWACHA nao wakakaa kikao na kutoa 'msimamo wao'. Troubled times!
Bawacha hawatokwenda kwenye kikao cha ijumaa
 
Bawacha hawatokwenda kwenye kikao cha ijumaa
Hii ni possible ila aliyewatuma atawasihi waende tu. Kinachofanyika sasa ni kujaribu kukisitiri chama na kupunguza magnitude ya aibu.

Mnyika anapaswa kuwa makini sana na kauli zake maana wale watu hawakawii kumuacha aaibike peke yake.
 
Kwanini wasisubiri kwanza kikao cha kamati kuu?
Chadema kila mtu ni kambale ana sharubu by Duni Haji aliohama Chadema

Huyo Pambalu wivu unamsumbua kashindwa ubunge Nyamagana Mwanza
 
Wafutiwe uanachama na huyo mwajiri wao Ndugai apewe barua
Yatakuwa maigizo tu

Wamewapa barua za kwenda bungeni halafu wnakuja mlango wa nyuma kusema wanawafuta uanachama!!! Huo utapeli tu wa kisiasa
 
Hii ni possible ila aliyewatuma atawasihi waende tu. Kinachofanyika sasa ni kujaribu kukisitiri chama na kupunguza magnitude ya aibu.

Mnyika anapaswa kuwa makini sana na kauli zake maana wale watu hawakawii kumuacha aaibike peke yake.
Mdee anazo Mpaka documents za kikao ambacho Walikaa na kukubali majina yaende Tena walibishana Mpaka ikafikia atua ya kupiga kura

Na waliotaka viti maalum waende walishinda

Hoja hapa ni moja tu, madem wa viongozi hawapo kwenye Ile list ndio shida
 
Siasa za Afrika hamna tofauti na kuishi kwenye hospitali ya vichaa
 
vyama vya kihuni utavijua tu kila mtu anaongea lake,wengine eti wanataka maelezo
Kamati kuu imeitwa Ijumaa,bavicha wanawashwa na nini badala ya kusubiri chombo chao cha juu kitoe tamko?
 
 
Yaani BAVICHA wanakaa na wanataka kutoa 'msimamo wao' kabla ya kikao kilichoitishwa na KM tare 27 Nov 2020?

Hili saga usishangae BAWACHA nao wakakaa kikao na kutoa 'msimamo wao'. Troubled times!
Hi Kali aisee
Yaani Bavicha nao wanna msimamo wait bawacha wanna msimamo wao na uongozi was Chadema msimamo wao
Kweli hii ndii Chadema kila mtu anaongea
Kila mtuy kambale
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…