Pre GE2025 BAVICHA walipuka kwa shangwe Lissu akiingia Ukumbini. Kwa shangwe hili, Freeman Mbowe atatoboa kweli?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
labda assist ya kukiua chama hicho kwa mikono ya sultan
Na ndiyo mpango ulioko nyuma ya pazia,Sultan mwenyewe anaona Samia anamsaidia kumbe anamtumia kumnyooshea njia October. Konyagi zimemharibu sana Sultan.
 
Kaka nakumbuka jinsi ulishangiliwa sanaaa kwenye kura za maoni jimbo la kawe🤣🤣🤣🤣🤣
 

Eti niliota Lissu anagombea Urais alaf wagombea wakawa na midahalo ya live
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…