Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣😆🤣ni staili ya kizamani ila nzuri sana japo itakuwa na usaliti kama umelambishwa asali halafu ukajipange kwa mwingine
Mganga wake namfahamu ni YEYE, ndiye aliyemuokoa na zile pyu pyu, na ana makusudi na Lissu!. Huyu YEYE lile jiwe walilo likataa waashi, ana uwezo wa kulifanya kuwa jiwe kuu la pembeni!.Dah mganga wa Lissu kiboko
Tunatamani iwe hivyo! Ni Kiu yetu wengi. Unfortunately sisi wengine sio wajumbe, Kazi yetu ni kuhamasisha.Pesa zitaliwa na kura hatumpi huyo dalali wa ccm.
Acha pesa za Abdul zitufikie na sisi tuzitafune coz ni kodi yetu hiyo
Lowasa alikatwa....wangeachia wapigiwe kura za wazi.....ungeshangaa....kwa shangwe zile lowassa ilikuwa wa kushindwa?
Kawaida malaya macho yao hayatulii,kuangalia meza ipi ina bia nyingi,na hawana haya kuhamia kwenye hiyo mezaWajumbe ndio walivo kama malaya malaya ngoja siku wakutane na Mbowe utagundua Wajumbe ndio kipindi Chao cha kupiga pesa!!!
Duuuh kwa hio ume-bet kwamba kilichokukuta ndicho kitakachomkuta?Kuna wana Chadema wa aina mbili, kuna watu ambao ni binadamu na wana ubongo wa kufanya maamuzi, na kuna wengine machoni ni kama watu ila wana akili ya nyumbu, hivyo hizi ndio zao, kulipuka kwa shangwe kumshangilia Lissu, ila siku ya siku, Lissu atashangaa na hata amini!. Hata Lowassa alishangiliwa hadi kuimbiwa tuna imani na Lowassa, ila baada ya kukatwa, hawakuonekana tena!.
Tena hata mimi kwenye kura za maoni Kawe, nilipotajwa tuu jina langu, Pasco Mayalla, ukumbi ulilipuka kwa kushangiliwa, njoo kwenye kura!.
P
Kuna muda p unacoment ukiwa bwaxMganga wake namfahamu ni YEYE, ndiye aliyemuokoa na zile pyu pyu, na ana makusudi na Lissu!. Huyu YEYE lile jiwe walilo likataa waashi, ana uwezo wa kulifanya kuwa jiwe kuu la pembeni!.
P
Duuuidu budubudubudubuDuh aiseee
Duuuh emu rudia tena hapo umesema hao wajumbe ni malaya?Kawaida malaya macho yao hayatulii,kuangalia meza ipi ina bia nyingi,na hawana haya kuhamia kwenye hiyo meza
Huoni nini? Huelewi nini?MAPOKEZI YA MBOWE NA BAVICHA LEO, MLIOMSIFIA LISU MKUJE
CCM waliiba kura, nenda kafanya utafitiNakumbuka hata Lowasa aliwahi kushangiliwa hivi kwenye mkutano wa kamati kuu kama sijakosea ila mwisho wa siku akapita Jiwe. Hii nchi ina mambo ya miujiza mengi.
Hawa jamaa ni wageni wa mambo ya wajumbe.Kuna wana Chadema wa aina mbili, kuna watu ambao ni binadamu na wana ubongo wa kufanya maamuzi, na kuna wengine machoni ni kama watu ila wana akili ya nyumbu, hivyo hizi ndio zao, kulipuka kwa shangwe kumshangilia Lissu, ila siku ya siku, Lissu atashangaa na hata amini!. Hata Lowassa alishangiliwa hadi kuimbiwa tuna imani na Lowassa, ila baada ya kukatwa, hawakuonekana tena!.
Tena hata mimi kwenye kura za maoni Kawe, nilipotajwa tuu jina langu, Pasco Mayalla, ukumbi ulilipuka kwa kushangiliwa, njoo kwenye kura!.
P
Maria+ slaa+ heche+ msigwa + lema + lissu mwenyeweMbowe anategemea kuiba na kununua wajumbe