BAVICHA yatinga Rufiji, Yakagua Mafuriko na kufanya Tathmin kabambe

Hunaga jema kwa opposition party period!!! 😊😊😊😊
 
Bavicha ipo mpaka UN vijana tupo mpaka huku Duniani kuisaidia jamii...we imba tu mapambio kusindikiza walioshiba
 
Weka picha hapa ya misaada waliyotoa hao matapeli . Kwani hujaona namna UVCCM walivyomimina misaada kwa waathirika?
Bavicha haina ubishoo Tayari andiko la Kitaalam kukabiliana na hili janga lipo Engine room...Bavicha imejaa wasomi wapo sehemu mbali mbali vitengo nyeti Kulitumilkia Taifa
We piga miayo tu huko uswekeni chama kiko Mjini
 
Bavicha haina ubishoo Tayari andiko la Kitaalam kukabiliana na hili janga lipo Engine room...Bavicha imejaa wasomi wapo sehemu mbali mbali vitengo nyeti Kulitumilkia Taifa
We piga miayo tu huko uswekeni chama kiko Mjini
Ba vichaa ni matapeli tu na watu waliokosa muelekeo na Dira. Ndio maana wapo wapo tu
 
hizi ndizo hoja zinazokuhusu wewe kiazi
 
Hujui kitu wewe kapuku , Shut Up !
 
Mwashambwa wa Chadema!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…