Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
mbuzi wa magengeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃😁😀Wawe makini tu maana MKIRU bado haijapoa ,wanaweza wakawekwa under siege.
Hunaga jema kwa opposition party period!!! 😊😊😊😊Umewahi kuona wapi CHADEMA wakatoa misaada wakati wao wenyewe ndio watafuna misaada? Waulize kwenye maporomoko ya Hanang walipata shilingi ngapi kwenye kale kanamba ambako waliweka picha ya Mbowe? Walipeleka wapi kilichopatikana? CHADEMA ni matapeli sana na mafisi linapokuja suala la pesa mbele yao
Musukuma na Kibajaji wako bungeni wanatunga sheria na kuisimamia serikali.Hapo kuna hata aliyemaliza kidato cha nne?
Bavicha ipo mpaka UN vijana tupo mpaka huku Duniani kuisaidia jamii...we imba tu mapambio kusindikiza walioshibaUmewahi kuona wapi CHADEMA wakatoa misaada wakati wao wenyewe ndio watafuna misaada? Waulize kwenye maporomoko ya Hanang walipata shilingi ngapi kwenye kale kanamba ambako waliweka picha ya Mbowe? Walipeleka wapi kilichopatikana? CHADEMA ni matapeli sana na mafisi linapokuja suala la pesa mbele yao
Kwani wewe hujuwi kuwa wamekwenda kupiga picha tu kama kawaida yao? Huoni wapo mikono mitupu utafikiri wametoka jera?Weka tathmini hiyo hapa
Weka picha hapa ya misaada waliyotoa hao matapeli . Kwani hujaona namna UVCCM walivyomimina misaada kwa waathirika?Bavicha ipo mpaka UN vijana tupo mpaka huku Duniani kuisaidia jamii...we imba tu mapambio kusindikiza walioshiba
Sasa hapo wewe umeona jema lipi zaidi ya watu waliokwenda kupiga picha na kutuma mitandaoni utafikiri wamepotea makwao?Hunaga jema kwa opposition party period!!! 😊😊😊😊
Bavicha haina ubishoo Tayari andiko la Kitaalam kukabiliana na hili janga lipo Engine room...Bavicha imejaa wasomi wapo sehemu mbali mbali vitengo nyeti Kulitumilkia TaifaWeka picha hapa ya misaada waliyotoa hao matapeli . Kwani hujaona namna UVCCM walivyomimina misaada kwa waathirika?
Ba vichaa ni matapeli tu na watu waliokosa muelekeo na Dira. Ndio maana wapo wapo tuBavicha haina ubishoo Tayari andiko la Kitaalam kukabiliana na hili janga lipo Engine room...Bavicha imejaa wasomi wapo sehemu mbali mbali vitengo nyeti Kulitumilkia Taifa
We piga miayo tu huko uswekeni chama kiko Mjini
Chama kina wenyewe hama hukoBa vichaa ni matapeli tu na watu waliokosa muelekeo na Dira. Ndio maana wapo wapo tu
Niwekee hapa picha au video ya michango waliyoitoa hao matapeli kwa waathirika.Chama kina wenyewe hama huko
Umewahi kuona wapi CHADEMA wakatoa misaada wakati wao wenyewe ndio watafuna misaada? Waulize kwenye maporomoko ya Hanang walipata shilingi ngapi kwenye kale kanamba ambako waliweka picha ya Mbowe? Walipeleka wapi kilichopatikana? CHADEMA ni matapeli sana na mafisi linapokuja suala la pesa mbele yao
Nani kakupiga fix kwamba zimeliwa ?Pesa za join the chain wamekula uvccm!
Hujui kitu wewe kapuku , Shut Up !Umewahi kuona wapi CHADEMA wakatoa misaada wakati wao wenyewe ndio watafuna misaada? Waulize kwenye maporomoko ya Hanang walipata shilingi ngapi kwenye kale kanamba ambako waliweka picha ya Mbowe? Walipeleka wapi kilichopatikana? CHADEMA ni matapeli sana na mafisi linapokuja suala la pesa mbele yao
Mwashambwa wa Chadema!Viongozi wa Bavicha , ambayo imetajwa kote Duniani kama Taasisi bora kabisa ya Vijana Barani Africa , imefika Rufiji kwa ajili ya kuwafariji Wahanga na kushiriki uokozi, ikiwa ni pamoja na kufanya tathmini ya madhara yaliyotokea.
Baada ya kumaliza ziara hiyo wataongea na Waandishi wa Habari na kufumua kila kilichofichwa.
Usiondoke JF
😆😆😆😆Bavicha ipo mpaka UN vijana tupo mpaka huku Duniani kuisaidia jamii...we imba tu mapambio kusindikiza walioshiba
Napokea matusi ya aina zote , endeleeni kunitukana .Mwashambwa wa Chadema!