Uchaguzi 2020 BAWACHA amkeni, uwezo wa kumfanya Tundu Lissu awe Rais wa Tanzania uko mikononi mwenu kwa sasa

Jumamosi nilienda saloon fulani.. Bahati ilihoje nikakuta wamama kabisa wanaongea hawampi Kura Magufuli..wanampenda Lissu ..nilizizima kwa Raha..wamama wengi wamejitambua ..biashara kibao zimefungwa wasiamke mchezo!
Bawacha tupo nyuma ya Lissu ..
 
Nimekuelewa Sana mkuu...tuwatumie vizuri hao kina Malisa
 
Mleta Uzi anawakumbusha wajibu wenu Kupambana katika kipindi hiki cha uchaguzi, ni Uzi mzuri though.


Let's meet at the top, cheers 🍻
Nimeuelewa Sana mkuu..tuko alive mkuu...Sisi tunasubiri tu mwaka huu undava undava tu
Bdw uliadimika sana mkuu..Bata la wapi Hilo?
 
Jumamosi nilienda saloon fulani.. Bahati ilihoje nikakuta wamama kabisa wanaongea hawampi Kura Magufuli..wanampenda Lissu ..nilizizima kwa Raha..wamama wengi wamejitambua ..biashara kibao zimefungwa wasiamke mchezo!
Bawacha tupo nyuma ya Lissu ..

πŸ˜…πŸ˜… I guess ulim-double pay hadi muhudumu wa saloon hapo ulivyofurahi πŸ˜‚


Let's meet at the top, cheers 🍻
 
Nimeuelewa Sana mkuu..tuko alive mkuu...Sisi tunasubiri tu mwaka huu undava undava tu
Bdw uliadimika sana mkuu..Bata la wapi Hilo?

Nilipatwa na changamoto fulani fulani tu mkuu, but thanks God I'm back now....

Let's meet at the top, cheers 🍻
 
Haya sasa @Bawacha mnaangushiwa jumba bovu,makamanda wameshindwa wanawatupia mpira nyinyi kikundi cha wakina mama wa kichaga.
 
Waambie, kule kijijini hawamjui kabisa huyo mgombea. Wachahe sana wamewahi kusikia hilo jina na wanajua ni mbunge mstaafu wa singida
 
Jumamosi nilienda saloon fulani.. Bahati ilihoje nikakuta wamama kabisa wanaongea hawampi Kura Magufuli..wanampenda Lissu ..nilizizima kwa Raha..wamama wengi wamejitambua ..biashara kibao zimefungwa wasiamke mchezo!
Bawacha tupo nyuma ya Lissu ..
Vizuri, lakini Kuna vilinge vingi vya kina mama zaidi ya saloon, mfano masoko na maeneo mengine mnayoyafamu nyie wamama! Makanisa pia yana akina mama wengi na yanatumika sana chini kwa chini kueneza propaganda za hofu! Pigeni kazi msilale!
 
Vizuri, lakini Kuna vilinge vingi vya kina mama zaidi ya saloon, mfano masoko na maeneo mengine mnayoyafamu nyie wamama! Makanisa pia yana akina mama wengi na yanatumika sana chini kwa chini kueneza propaganda za hofu! Pigeni kazi msilale!


Ni kweli mkuu hapa inahitajika propaganda ya maana
 

Mambo ya bashiri hayo buku 7 mpya. Kasi mpya. Tutawaona wengi.
 
Nimesema wachache. Kamwe Tundu Lissu hawi Raisi wa Nchi hii.
Abaki tuu kutazama picha zimepigwaje.
Ni Imani yako, hakuna ubaya, na kwa kuwa akili yako faida ya kuwa rais ni kupiga picha nimekuelewa!
 

..uko sahihi kabisa.

..nadhani CDM walijitahidi kabla ya kampeni kuiimarisha Bawacha.

..Na hata katika mkutano mkuu wa CDM Mh.Mdee alisema kwamba Bawacha wako tayari kwa kampeni.

..Nadhani huu ni wakati wa kuyaweka maneno yao ktk vitendo-- putting words into actions.

..CDM lazima wa-test mitambo yao waliyoi-set ktk Bawacha.
 
BAVICHA nao sijui kwa nini wako kimya mitandaoni nana kama wanaidiwa na kundi la ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…