BAWACHA kutinga Bungeni tarehe 10/05/2021 kuwatimua Wabunge 19 waliopora nafasi za CHADEMA

kwa nini sasa?
 
Tena tunataka Ndugai awapokee na kuwakaribisha Bungeni maana hawa wenzake kama alivyoutangazia umma juzi!!,
 
Asiyekujua anaweza kuhisi huna matatizo ya akili
 
nina imani na Husna Saidi kazi iendelee
 

Wivu unawasumbua sana
 
Njaa imekuwa kali sana eeeh.si mlisema hamuutambui uchaguzi.mkauita uchafuzi mkuu?leo mnautambua?mwacheni mdee na wenzie wale bata.
 
Ni mambo kama haya ndiyo yanaongeza msongamano wa mahabusu.
Ni kosa la John Mnyika. Anajua hasira mbaya za Spika, lakini anataka kuwaruhusu kufanya hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…