Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,273
Una andika na kujikomenti mwenyewe?! Hii ni sawasawa na kufanya mastabesheni!na kama wanadai wamewavua uanachama huku hawataki kusikiliza rufaa zao sasa kinachowasumbua nini ? mmemvua uanachama siyo mwanachama wenu kinachowafanya waanze kutaka kumsumbua mama avunje katiba kuingilia mhimili wa bunge ni nini?
Na nyie msimchoshe Rais wa JMT!Unateseka sana ndugu. Wewe pambana na hali ya unyonge wako. Iache chadema ipambane na hali yake
Inakua ngumu sana kujibu au kukubali hoja ya aina hii kwa sabab ni ukweli ambao ukiusema unakua ni mtovu wa nidhamu na unapaswa uwajibishwe.Kuna wakati kuwaelewa Chadema ni lazima unywe pombe kwanza
Wote tunakumbuka mara baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 Chadema ilitangaza kuyakataa matokeo yaliyompa ushindi Dr Magufuli na mama Samia na wakadai hawamtambui Rais aliyetangazwa.
Leo Chadema hao hao wanamtaka Rais Samia aliyeshinda pamoja na hayati Magufuli 2020, asiwatambue wabunge wake wa viti maalumu walioko bungeni.
Pamoja na kwamba siyo kazi ya Rais Samia kutambua nani ni mbunge na nani siyo, Chadema waelewe wanatuchanganya wafuasi wao kwa namna wanavyoendesha mambo kienyeji.
Ramadhan Kardem!
Katika mkutano huo, Catherine Ruge amesema:
Tumeona kwenye vyombo vingi vya habari kuwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassani anaenda kulihutubia Bunge tarehe 22 -04-2021 kwa mara ya kwanza tangu alipoapishwa kwa rais wa JMT kufuatia kifo cha mtangulizi wake, Dkt John Magufuli.
Kuelekea tukio hilo, sisi BAWACHA tuna jambo mahususi amabalo tungependa kuliwasilisha kwa Mh. Rais.
Jambo hilo ni uwepo wa wanaoitwa Wabunge 19 katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Rais Samia Suluhu Hassan akiwa anakwenda kulihutubia Bunge hapo kesho, sisi wanawake wa CHADEMA tungependa atambue, katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuna watu wanaoitwa Wabunge 19 ambao wapo katika hilo bunge analotaraji kuhutubia, kinyume na katiba...
Hata hivyo, hao Wabunge 19 hawajakidhi vigezo kwa mujibu wa Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwakuwa Rais Samia Suluhu Hassan ameapa kuilinda katiba ya JMT na amekuwa akieleza hivyo mara kadhaa kwenye hotuba zake ambazo amekuwa akizitoa baada ya kuwa ameapishwa.
...atakuwa amevunja katiba kwa kuwaruhusu hao wanaoitwa Wabunge 19 kuhudhuria vikao vya bunge na kushiriki shughuli mbalimbali za bunge.
----- MAONI YANGU ----
BAWACHA hawaelewi maana ya kutofautisha mihimili
Nimesikiliza maongezi ya Bawacha walivyokuwa wanaongea na waandishi wa habari Dodoma yaani inaonekana wazi kuwa hawajui ni nini wanataka au ninini wafanye.
Unapomwambia Rais anapoenda bungeni asiwatambue au aende kuongelea suala la hao wabunge ni kumkosea adabu mheshimiwa Rais.
Yaani mnamtaka avunje katiba hadharani ili baadae mje tena muanze kusema kavunja katiba; hivyo atakuwa anaingilia mhimili mwingine, hiyo haiwezekani.
tafuteni agenda nyingine siyo kumuingiza mama kwenye mifarakano ya taasisi yenu.
Asante
Walikubali kumtumikia mtu kwa shinikizo aliliwapa na kusaliti viapo vyao kwa chama Chao tena kwa kejeli na matusi unataka wasaidiae je.Zaidi ya wait kupambana na matunda ya usaliti .Habari zenu wana Jamvi.Nimekaa nawaza sana siasa za hapa nyumbani Tanzania,nawaza namna Siasa inavyotugeuza itakavyo,nawaza namna tunavyoimbishwa nyimbo mpya mpya kila siku na wanasiasa.Nimeenda mbali zaidi nikawaza kwanini watanzania tumekuwa na maswali sana juu ya uwepo wa wabunge feki bungeni?Kwann Chadema wamekaa kimya juu ya rufaa za hawa wabunge wanaodaiwa kuwa HEWA?Tukisema Ndugai,Mahera na Mbowe lao moja tutakuwa tumekosea wapi?
Wataalamu wa Siasa njooni mnisaidie.
Yeye alikubali kuwa zuzu.Mimi sijageuzwa kuwa zuzu na mtu yeyote yule. Naomba unitoe katika hao Watanzania Mazuzu.