Inaeleweka wazi kuwa kiburi chote alichonacho Spika Ndugai, alipewa na mwendazake.Mi kwa ushauri wangu kama kuna sababu za msingi ni vema akavunja tu bunge ili tuanze upya, kila mmoja akapambane kivyake
Rais anahusika vipi na wabunge wa Chadema kwani yeye ni Mwenyekiti wa Chadema??
Hivi kuwa CCM maana yake ni kuwa mtu wa kujibu hoja "kipuuzi" kiasi hicho??Rais anahusika vipi na wabunge wa Chadema kwani yeye ni Mwenyekiti wa Chadema??
Hiyo katiba unayoizungumzia wewe inasemaje kuhusiana na mamlaka ya Rais juu ya Mbunge?Hivi kuwa CCM maana yake ndiyo maana yake unakuwa mtu wa kujibu hoja kiasi hicho??
Kwani hujui kuwa Rais wa nchi anahusika na mambo yote yanayohusu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania "including" uendeshaji wa mhimili wa Bunge??
Ndivyo atakavyofanya kuuchuna tu maana kuharibu walisharibu toka awali.Rais yuko njia panda kwenye hili... Akisimamia katiba upande wa chama chake utanuna sana...! Sana sana anachoweza kufanya ni kufunika kombe....!
Ndio maana Rais ameelekeza Manji arudiRais anahusika vipi na wabunge wa Chadema kwani yeye ni Mwenyekiti wa Chadema??
Hii itakuwa msumari wa moto!! Sioni gumu waambiwe wakakidhi kwanza takwa LA kikatibaRais yuko njia panda kwenye hili... Akisimamia katiba upande wa chama chake utanuna sana...! Sana sana anachoweza kufanya ni kufunika kombe....!
Mkuu mbona wewe Ni mkongwe humu afu unaongea vitu simple Sana Sasa kwa akili yako unafikiri Mh Rais anaweza kuwafukuza hao covid 19?hao wamewekwa na serikali ili angalau wawadanganye mabeberu kua ni bunge la vyama vingi na Kuna hela hua serikali inapokea kwa budget ya nchi kutokana na kua nchi ipo kwenye mfumo wa democracy,Ndiyo maana akamuita Spika Ndugai katika kikao cha "siri" pale Ikulu ya Chamwino Dodoma
Wananchi tutaifuatilia hiyo hotuba kwa makini sana na iwapo ataipitisha hotuba yake bila kugusia suala hili la wabunge wa viti maalum wa Chadema, basi tutajua ndiyo wale wale wanaCCM, na hakuna jipya!
Kama mtihani haupo kwa mbowe ambae ni mwenyekiti wao yeye raisi inakuwaje uwe mtihani wajibuni rufaa zao wapeni barua za kuwafukuza zaidi ya hapo waacheni waendelee kula nchi tatizo lipo shinani wanapotokea!Inajulikana wazi kuwa Rais Samia Suluhu kabla ya kukabidhiwa madaraka haya ya urais, aliapa kuitii na kuiheshimu Katiba ya nchi.
Katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, katika Ibara ya 67(1)(b) inaeleza wazi kuwa huwezi kuwa mbunge wa Bunge letu, bila kwanza kuwa mwanachama chama cha siasa nchini.
Tunajua pia kuwa chama cha Chadema kilishawavua uanachama wao hao wanaoitwa ni wabunge wa viti maalum wa Chadema
Sasa tunamtegemea Rais wetu Samia Suluhu, alihutubie Bunge baadaye leo majira ya saa 10 jioni na kukitengua kitendawili hicho.
Aidha awe upande wa Spika Ndugai, ambaye kila mwananchi anajua kuwa ameivunja Katiba ya nchi, kwa kuendelea kuwatambua na kuwakumbatia hao wabunge akina Halima Mdee, au asimamie Katiba ya nchi na kumueleza Spika Ndugai kuwa anakosea kuendelea kuwakumbatia wabunge hao, kwa kuwa siyo wabunge halali, kwa mujibu wa Katiba yetu.
Kwa kuwa Rais wetu ameonyesha wazi kuwa anaitii na kuiheshimu Katiba ya nchi yetu. kwa hiyo "ramli" ya nini kitatokea baada ya hotuba yake hiyo kuhusiana na wabunge hao kinatabirika!
Nafikiri hilo ni jukumu la Spika na wala sio Rais kuhakikisha katiba imefuatwa katikak suala hilo.Inajulikana wazi kuwa Rais Samia Suluhu kabla ya kukabidhiwa madaraka haya ya urais, aliapa kuitii na kuiheshimu Katiba ya nchi.
Katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, katika Ibara ya 67(1)(b) inaeleza wazi kuwa huwezi kuwa mbunge wa Bunge letu, bila kwanza kuwa mwanachama chama cha siasa nchini.
Tunajua pia kuwa chama cha Chadema kilishawavua uanachama wao hao wanaoitwa ni wabunge wa viti maalum wa Chadema
Sasa tunamtegemea Rais wetu Samia Suluhu, alihutubie Bunge baadaye leo majira ya saa 10 jioni na kukitengua kitendawili hicho.
Aidha awe upande wa Spika Ndugai, ambaye kila mwananchi anajua kuwa ameivunja Katiba ya nchi, kwa kuendelea kuwatambua na kuwakumbatia hao wabunge akina Halima Mdee, au asimamie Katiba ya nchi na kumueleza Spika Ndugai kuwa anakosea kuendelea kuwakumbatia wabunge hao, kwa kuwa siyo wabunge halali, kwa mujibu wa Katiba yetu.
Kwa kuwa Rais wetu ameonyesha wazi kuwa anaitii na kuiheshimu Katiba ya nchi yetu. kwa hiyo "ramli" ya nini kitatokea baada ya hotuba yake hiyo kuhusiana na wabunge hao kinatabirika!
Mtihani mkubwa kwa Rais, kwa kuwa anatakiwa kuhakikisha kuwa kila mtanzania anapaswa kuitii na kuiheshimu Katiba ya nchiKama mtihani haupo kwa mbowe ambae ni mwenyekiti wao yeye raisi inakuwaje uwe mtihani wajibuni rufaa zao wapeni barua za kuwafukuza zaidi ya hapo waacheni waendelee kula nchi tatizo lipo shinani wanapotokea!
Spika ndiye mwenye kukumbatia hili, maana lipo kwenye muhimili wake. Kutaka kumbebesha lawama Mama sio sawa!!Inajulikana wazi kuwa Rais Samia Suluhu kabla ya kukabidhiwa madaraka haya ya urais, aliapa kuitii na kuiheshimu Katiba ya nchi.
Katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, katika Ibara ya 67(1)(b) inaeleza wazi kuwa huwezi kuwa mbunge wa Bunge letu, bila kwanza kuwa mwanachama chama cha siasa nchini.
Tunajua pia kuwa chama cha Chadema kilishawavua uanachama wao hao wanaoitwa ni wabunge wa viti maalum wa Chadema
Sasa tunamtegemea Rais wetu Samia Suluhu, alihutubie Bunge baadaye leo majira ya saa 10 jioni na kukitengua kitendawili hicho.
Aidha awe upande wa Spika Ndugai, ambaye kila mwananchi anajua kuwa ameivunja Katiba ya nchi, kwa kuendelea kuwatambua na kuwakumbatia hao wabunge akina Halima Mdee, au asimamie Katiba ya nchi na kumueleza Spika Ndugai kuwa anakosea kuendelea kuwakumbatia wabunge hao, kwa kuwa siyo wabunge halali, kwa mujibu wa Katiba yetu.
Kwa kuwa Rais wetu ameonyesha wazi kuwa anaitii na kuiheshimu Katiba ya nchi yetu. kwa hiyo "ramli" ya nini kitatokea baada ya hotuba yake hiyo kuhusiana na wabunge hao kinatabirika!
Sijaona hoja zaidi ya dharau tu. Weka akiba ya maneno ndugu...!!Mara nyingi wanaoandikaga ujinga huu ni watu vilaza sana waliokuwa wanaruka dirishani mwalimu wa hisabati akiingia kwa kifupi una tatizo kubwa sana kwenye ubongo wako hafu nahisi ulikuwa unatoroka darasani kila siku haujui unachoongea ni nn umekaririshwa maneno tu rubbish
Huo ni muhimili mwingine joh...Inajulikana wazi kuwa Rais Samia Suluhu kabla ya kukabidhiwa madaraka haya ya urais, aliapa kuitii na kuiheshimu Katiba ya nchi.
Katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, katika Ibara ya 67(1)(b) inaeleza wazi kuwa huwezi kuwa mbunge wa Bunge letu, bila kwanza kuwa mwanachama chama cha siasa nchini.
Tunajua pia kuwa chama cha Chadema kilishawavua uanachama wao hao wanaoitwa ni wabunge wa viti maalum wa Chadema
Sasa tunamtegemea Rais wetu Samia Suluhu, alihutubie Bunge baadaye leo majira ya saa 10 jioni na kukitengua kitendawili hicho.
Aidha awe upande wa Spika Ndugai, ambaye kila mwananchi anajua kuwa ameivunja Katiba ya nchi, kwa kuendelea kuwatambua na kuwakumbatia hao wabunge akina Halima Mdee, au asimamie Katiba ya nchi na kumueleza Spika Ndugai kuwa anakosea kuendelea kuwakumbatia wabunge hao, kwa kuwa siyo wabunge halali, kwa mujibu wa Katiba yetu.
Kwa kuwa Rais wetu ameonyesha wazi kuwa anaitii na kuiheshimu Katiba ya nchi yetu. kwa hiyo "ramli" ya nini kitatokea baada ya hotuba yake hiyo kuhusiana na wabunge hao kinatabirika!