Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Tatizo wakishakuwa kondoo wa watumishi kila kitu wanaona ni vita ya kiroho.Watoe tu, itasaidia wengine..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo wakishakuwa kondoo wa watumishi kila kitu wanaona ni vita ya kiroho.Watoe tu, itasaidia wengine..
Nimefurahi kuona wengi ni wazunguBreaking News: BBC inatazamia kuchapisha nakala ya uchunguzi wa kuacha vinywa wazi inayoeleza matukio ya kikatili, Miujiza ya Kughushi, uhalifu, na ubakaji uliofanywa na Marehemu Mchungaji Temitope Balogun Joshua, almaarufu Nabii TB Joshua!!!
Kupitia page ya twitter ya Sahara Reporters wameelezea matukio aliyofanya ambayo yanatarajiwa kupostiwa na BBC katika video
View attachment 2864719
Tizama kipande hiki cha BBC wakihoji watu waliokumbwa na unabii feki wa TB Joshua....
Hii inashangaza!!! 😱🚴🏿♀️🚴🏿♀️🚴🏿♀️💨
📺 Video Credit: BBC
View attachment 2864718
TB Joshua alikuwa ni mchungaji maarufu wa Kikristo na mwanzilishi wa kanisa la Synagogue, Church of All Nations (SCOAN) huko Lagos, Nigeria. Alikuwa na ushawishi mkubwa katika jamii na alihusika katika huduma za kiroho, uponyaji, na mafundisho ya Biblia. Hata hivyo, alifariki dunia mnamo Juni 2021.
Inategemea wamepata habari lini. Kuna vitu/siri nyingine hujulikana baada ya mtu kufariki. Mimi huyu hata kabla hajafariki nilishajua ni mwongo. Kuna siku aliponya mtu kasema am,etoka Tanzania huku anazungumza ikiingereza kila cha ki-nigeriaMimi ninachojiuliza kwa nini wamesubiri kuitoa wakati ameshafariki
Nachosikitika Watu weusi maarufu huishia kuuliwa,kufilisiwa au kupuuzwaMimi ninachojiuliza kwa nini wamesubiri kuitoa wakati ameshafariki
yani Hadi msubiri BBC...Breaking News: BBC inatazamia kuchapisha nakala ya uchunguzi wa kuacha vinywa wazi inayoeleza matukio ya kikatili, Miujiza ya Kughushi, uhalifu, na ubakaji uliofanywa na Marehemu Mchungaji Temitope Balogun Joshua, almaarufu Nabii TB Joshua!!!
Kupitia page ya twitter ya Sahara Reporters wameelezea matukio aliyofanya ambayo yanatarajiwa kupostiwa na BBC katika video
View attachment 2864719
Tizama kipande hiki cha BBC wakihoji watu waliokumbwa na unabii feki wa TB Joshua....
Hii inashangaza!!! 😱🚴🏿♀️🚴🏿♀️🚴🏿♀️💨
📺 Video Credit: BBC
View attachment 2864718
TB Joshua alikuwa ni mchungaji maarufu wa Kikristo na mwanzilishi wa kanisa la Synagogue, Church of All Nations (SCOAN) huko Lagos, Nigeria. Alikuwa na ushawishi mkubwa katika jamii na alihusika katika huduma za kiroho, uponyaji, na mafundisho ya Biblia. Hata hivyo, alifariki dunia mnamo Juni 2021.
Hata uwavunje shingo hao.Watoe tu, itasaidia wengine..
HAwawezi kutoa wananufaikaSasa msingoje Hadi Mwamposa amekufa, toeni ushuhuda sasa.
Ila kapotea midomoni mwa watu mapema sanaTV yake inayoitwa Emmanuel TV bado hipo
Wasimsahau Gwajima😁Waje na Kawe kwa bulldozer Mwamposa..[emoji23]
Hakuna hata mmoja mwenye hiko kitu unaita upako.Sema huyu jamaa alivokufa tu kila kitu chake kimezima... Sijui kama alikua na upako kweli
Huyo TB Joshua si ashakufa mambo yake wayaache tu
Upako my footSema huyu jamaa alivokufa tu kila kitu chake kimezima... Sijui kama alikua na upako kweli
TV yake inayoitwa Emmanuel TV bado hipo
Mimi ninachojiuliza kwa nini wamesubiri kuitoa wakati ameshafariki
TV yake inayoitwa Emmanuel TV bado hipo