BBC: Misinformation on corona virus has spread in Africa

Fia beberu mojawapo linaitwa sky eclact....
lenyewe ni buruza twende.....
kazi yake ni kufifisha jitahada za mtu mweusi...
 
Wasingefanya chochote wangepukutika mamilioni wacha siasa.
Hvyo walivyovifanya na wanaisha mpaka wazir mkuu wa iltaly ana wanamuachia mungu TU,

Kama wao Wana kila kitu lakin wameprove fail katika technology zao sembuse sis dunia ya tatu ambapo kila kitu tunategemea kwao

Kuwa muelewa jikinge na familia yako na wengne wanao kuzunguka acha ujinga wa kufuatulia propaganda za vyombo vya kimagharib

kilicho akilini kitumie
 
Kama nchi za Asia zingekuwa na watu wenye akili kama za waafrika wengi walivyo sidhani kama zingepiga hatua za kimaendeleo. Ndiyo maana hatupigi hatua yoyote kubwa ya maendeleo kwa sababu tulishaaminishwa kwamba kila kitu kizuri kinatoka ulaya na hivyo sisi waafrika ni kupokea tu kila kitu hatuhangaishi vichwa vyetu katika kubuni na hata kupambana na matatizo mbali mbali yanayolikabili bara la africa. At least Asians walijitambua mapema na kuchukua hatua leo wanaenjoy juhudi zao na hawamtegemei mzungu kwa kila kitu kama huku kwetu africa.
 
Wow

Puppet on a string
 
Kwahiyo ukiwa mvuke wa madawa ndo unaamini poa tu to inhale at 100 degree centigrades? Yaani baada ya kusoma mwanzo hadi mwisho ukaona issue hapo ni maji badala ya huo ukiwa na joto kali kiasi hicho!!!
Duh, yaani sijui nianzie wapi kukuelimisha? Lakini kabla ya hayo naomba mtafute babu yako wa kijijini mwulize kufukiza ilikuwa ni moja ya tiba Yao? Jibu utakalopata litakupa mwanga mkubwa badala ya kuwa mamluki wa JF
 
Duh, yaani sijui nianzie wapi kukuelimisha? Lakini kabla ya hayo naomba mtafute babu yako wa kijijini mwulize kufukiza ilikuwa ni moja ya tiba Yao? Jibu utakalopata litakupa mwanga mkubwa badala ya kuwa mamluki wa JF
Babu yangu hakuwahi kuumwa coronavirus kwahiyo hawezi kuwa na jibu na akitoa jibu atakuwa mwongo tu sawa na JPM aliyesema kujifukisha na mvuke ni tiba ya kuua coronavirus!.

That's one but second hivi kwanini mna-assume kila babu na bibi lazima awe anaishi kijijini!

Anyway, babu yangu tumeshamzika na bibi yangu ingawaje ni mzee sana, bado yupo Mikoroshini ingawaje hawezi kuwa na jibu cuz' hajawahi kuumwa corona
 
Watuache mbona Trump ametaka watu wachomwe detol injection kama tiba ya Corona
 
We Msukule na Mpiga Makofi wa Jiwe, taja hizo propaganda za BBC na acha kurukaruka!
Never... Soma posts zangu humu

Sibabaikii wazungu Wala jiwe

Nasimama penye maana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…