Scentific predictions hizo. Ni kama vile ukiona mlevi anaendesha gari kwa speed ya 160 km/hr kutoka Posta kwenda Airport unaweza kupredict ajali bila kuminya makende.Nilipoona hiyo “As they prepare for a surge in cases..” nikabaki nacheka tu, yaana wamekaa wanaminya makende wakisubiri kwa shauku kubwa kuona number of case ls zikionhezeka kwa kasi? Hahahahah...!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app