BBC: Misinformation on corona virus has spread in Africa

BBC: Misinformation on corona virus has spread in Africa

Hili andiko ( lenye kivuli cha BBC) linalenga kufedhehesha na kudhoofisha maarifa ya ndani ya Afrika.Siliungi mkono hata kidogo ninalipinga kuanzia mwanzo mpaka mwisho kama linavyopinga mawazo ya ndani ya Africa mwanzo mpaka mwisho.
Naomba kwanza niweke sawa juu ya njia ya kufukiza "steam therapy" hii njia siyo ngeni Afrika Asia, Amerika na Ulaya na imekuwa ikitumika kusaidia kupunguza maumivu yaletwayo na mafua tusitake kupotosha sana kana kwamba hii njia haipo kabisa na ni wazo potofu.
Mbona Rais wa Marekani anasisitiza matumizi ya hadroxlcloroquine na kwa watu wake mbona hamlikosoi hili?
Nchi nyingi Duniani zinafanya blending ya indigenous knowledge na expert knowledge ili kupata suluhisho siyo Tanzania tu.
BBC ninaamini wana ubobevu , weledi na umahiri ukiachiloa mbali umilisi wa kuchukua habari lakini hii inaoneka ni habari iliyojaa pendeleo binafsi " vested interest news" Juu ya msaada wa barakoa Afrika na Tanzania kwa upekee inachohitaki ni usalama "kushuku siyo tatizo" na haipo haja ya kujitetea juu ya hili " they must be tested first".Kwanini mnataka tuamini tu wakati kuna "bureau of standards".Mbona tukija Ulaya mnatupima mpaka minyoo na nyie inakuja Africa bure?.Let us be skeptic for our benefit just like you.
Kwa nini kujitetea sana na kuonesha Afrika inakosea kuwa na mashaka?
Kila Taifa leo lina mashaka kwa nini inasemwa tu Afrika kwenye andiko hili? Je Afrika ndilo bara lenye mashaka sana kuliko Mabara mengine yote? Na he kuwa na mashaka ni kukosea au ni njia ya kutafuta usahihi?.
 
Whites wanatamani sana kusikia vifo 5,000+ kila siku toka mataifa mbalimbali ya kiafrika, huku wakiongozwa na wafia mabeberu. They're all doomed coz tutajifukiza, tutakunywa hadi mwarobaini, tangawizi, maliamo nk na we'll be safe.

Waliproject maambuki zaidi ya 500k mwisho wa mwezi huu. They're just imbeciles + hao wafia mabeberu.
 
Hillary Clinton katika ukurasa wake wa Twitter amewashauri wananchi wasinywe sumu kwa sababu tu Rais Donard Trump anaona ni wazo zuri.
Waambieni BBC wairipoti hii habari kwa kina kwa kufanya mahojiano na Hillary Clinton siyo kukazania kujitetea na misinformation.
 
Whites wanatamani sana kusikia vifo 5,000+ kila siku toka mataifa mbalimbali ya kiafrika, huku wakiongozwa na wafia mabeberu. They're all doomed coz tutajifukiza, tutakunywa hadi mwarobaini, tangawizi, maliamo nk na we'll be safe.

Waliproject maambuki zaidi ya 500k mwisho wa mwezi huu. They're just imbeciles + hao wafia mabeberu.
God is good hakijatokea trust me
 
Waafrica kujifukiza ni dawa tena imesaidia wengi si Wazungu, si Wa Asia, mpende kutumia dawa zenu za asili acheni kupelekeshwa ndio maana mnadharauliwa,

Nani hajawahi kujifukiza kwenye mafua na pua kweli zikaibuka? Yaan kisa Mzungu amekataa basi na nyie mnawafatisha kama manyumbu,

Emancipate yourselves from Mental Slavery, mnatia aibu.

Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Well said culture me. Hapa kuna wafia ubeberu wanadhani anachoongea mzungu ni 100% sawa. Tunajifukiza, tunakunywa chai ya tangawizi na limao, tinasukutua maji ya moto/vuguvugu yenye chumvi nk.
 
MK254 kunywa plombe hakuzuii corona

Hehehe!! Tuna viongozi wa hovyoo sana, yaani anadiriki kushauri tunywe pombe, yaani Waafrika huwa hatuna mchango wowote kwa hii dunia, japo huwa hatuamini ila ukweli ni kwamba sisi ni mzigo kwenye huu ulimwengu.
Wenzetu wanashirikisha ubongo lhali sisi tupo tupo tu.
 
Tunadharauliwa hasa tunapokuwa na viongozi wa karne ya 21 lakini mawazo yao ni kama yale yale ya akina Kinjeketile Ngwale back in 1905!

Tunadharauliwa wanapoona hadi karne ya 21 bado kuna viongozi wa Afrika wanaoamini Mzungu na Mwarabu anampenda sana Mwafrika kiasi kwamba akawaletea Yesu na Uislamu bureeeeeee ili iwe kinga na tiba ya coronavirus.

Halafu ona unavyojichanganya... unajifanya kuhusudu tiba za Kiafrika lakini mwishoni unaishia ku-conclude "Stay at Home"!! Hiyo nayo ni tiba au kinga ya Kiafrika?!
Umeandika kwa mihemko sana, kunywa maji utulize hasira zako,

Mvuke tunatumia, kama hutaki ni wewe kaa usubiri dawa inakuja.

BTW, hiyo kaa home ni signature yangu, nipo ndani kwa mwezi na kitu sasa.

Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
 
Well said culture me. Hapa kuna wafia ubeberu wanadhani anachoongea mzungu ni 100% sawa. Tunajifukiza, tunakunywa chai ya tangawizi na limao, tinasukutua maji ya moto/vuguvugu yenye chumvi nk.
Sio tu wafia ubeberu ni wafia siasa, siasa ikimtawala sana mtu inamtoa akili na ufahamu, huo ushauri angeutoa mtu wanayemtaka wao ungeona vile wanavyosapoti,

Yaan leo hii mtu anaukataa mvuke wakati ni dawa tangu enzi na enzi,
Huwezi amini ushauri wa mvuke niliwapa rafiki zangu wa kizungu sasa hivi wananishukuru mnoo na wao wanawafukiza wapendwa wao, hao wa Asia ndio kila siku wanajifukiza,

Endelea kutumia Tangawizi, Limao na Asali, Hili litapita tu mpendwa.

Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
 
Inhaling steam ni njia zinazotumiwa na waganga wa kienyeji ifike mahali magufuli ajitafakari maneno yake kama anaponda kufanya fumigation basi huyu Mzee sio mzima kichwani
 
Umeandika kwa mihemko sana, kunywa maji utulize hasira zako,

Mvuke tunatumia, kama hutaki ni wewe kaa usubiri dawa inakuja.

BTW, hiyo kaa home ni signature yangu, nipo ndani kwa mwezi na kitu sasa.

Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Jibu swali ewe Msukule wa Lumumba... na hiyo Stay At Home ni Dawa ya Kiafrika?!

Kwamba mnaendelea kutumia, kwani kuna mtu kawakataza?! Hakuna anayekatazwa kuwa mjinga kwa sababu ujinga ni hulka, manake hakuna mwenye akili timamu hata mmoja anayeweza ku-inhale mvuke at 100 degree centigrade!
 
Sasa Nani hapo wa kudharauliwa huyo anae sisitiza tiba za asili au wewe unapinga kwa nguvu zote mi naona wa kudharauliwa ni wewe
Wewe na wenzako wote mnaoaminishana ujinga!!

Si juzi juzi tu hapa mlikuwa mnaaminishana Yesu ni kinga na tiba ya coronavirus na kwamba mkiindia kanisani coronavirus anaungua ungua, huku mkihamasishana mkajazane makanisani na misikitini etu huko "kirusi cha kishetani hakiwezi kuingia kwenye nyumba za ibada!!

Kwanini basi msidharauliwe kwa kuamini simulizi za hovyo kama hizo?! Btw, how come tena maambukizi yanaongezeka, tena at increasing rate badala ya kupungua?!

Mmetoka makanisani na misikitini sasa mnaenda kwenye mitishamba... ajabu wanaokutwa na COVID-19 badala ya kuwapeleka kwa akina Matunge, au makanisani na misikitini ili wakaombewe, mnawapeleka hospitali!

Mbona hamueleweki?!
 
Hillary Clinton katika ukurasa wake wa Twitter amewashauri wananchi wadijinywedhevsumunkwa sabubu tu Rais Donard Trump anaona ni wazo zuri.
Waambieni BBC wairipoti hii habari kwa kina kwa kufanya mahojiano na Hillary Clinton siyo kukazania kujitetea na misinformation.
wadijinywedhevsumunkwa!!!!!!!
 
Kuna tofauti Kati ya kilichoandikwa kwenye reference yako na alichosema Magufuli.

Nukuu yako inazungumzia mvuke wa maji wakati Magufuli anazungumzia mvuke wa madawa(miti, majani, mizizi au madini yaliyochemshwa au kuchomwa)
unapata aibu kiasi hiki kisa kumsafisha jiwe
 
HAKUNA Mataga atakaelewa ulichoandika hapa. Akitokea Mataga akasema ukweli nitakuonyesha mbuzi mwenye miguu mitano.
Tatizo la kuleta siasa kwenye kila jambo?
Kujifukiza dawa za asili ni jambo geni?

Vipi kuhusu sauna bath?
Akili zenu mmehamishia kwenye ushabiki Wa ccm na chadema hata mnatia kinyaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom