mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Mrusi ameshaweka mpira kwapaniHuo mzigo unatakiwa ukifika Ukraine raia na wanajeshi wagaiwe saa hiyo hiyo ukiuweka stoo urusi wataulipuwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrusi ameshaweka mpira kwapaniHuo mzigo unatakiwa ukifika Ukraine raia na wanajeshi wagaiwe saa hiyo hiyo ukiuweka stoo urusi wataulipuwa
Hili hata mimi limenishangaza sana.... Urusi amekwama wapi kuuwahi msafara akaulipua kabla ya kuwasili yanakopelekwa? Satelaiti zao hazijauona?
China analenga kugain tu, ameshatambua kuwa mmarekani anamuwinda na kuwa akiingilia tu vita basi uchumi wake utaporomoka mara moja.Endeleeni kushangilia upofu wenu, China, N Korea na Iraq wakipeleka misaada yao ya kivita mje mshangilie hapa pia [emoji4]
Una uhakika haina mpinzani? Watu wanahifadhi mashine ghalani kwao mkuu.Kwani anatunguaga misafala yeye analenga tu pale zitakapohifadhiwa hizo silaha uzuri hypersonic haina mpinzani cha muhimu ni kujua tu watu wamehifadhi silah wapi unapiga kombora moja tu watu wanaanza upya tena
Mkuu wote wanaogopa kuchanganywa kwenye vikwazo kutoka magharibi, marekani kaitawala dunia muda mref sanaNauliza hivi wale Elite force wa Russia Sputnik wapo wapi?
Watu wamuondoe kabisa mchina ktk hii vita.China analenga kugain tu, ameshatambua kuwa mmarekani anamuwinda na kuwa akiingilia tu vita basi uchumi wake utaporomoka mara moja.
Ulijua Hilo kombora wewe! Unaweza kulibeba ukiwa na njaa?Ulisoma class moja na mwendazake nini? chakura ni nini hasa, lete hoja wenzako ndio wanaenda kuumizwa zaidi apo, hiyo mizinga 1500 lazima itue kwenye migongo ya warusi
Washenzi Sana, waafrika wanapigana miaka nenda Rudi hatuoni mayowe kama ya Ukraine halafu na chanzo ni wao.Safi kabisa wapeleke za kutosha tuone wanavyouwana live bila chenga.waendelee kukaziana ivyoivyo kmamae zao.
Soon utaona wait.Si mlisema mtamsabulia kwake yeyote atakaeisadia Ukraine? Anzeni na Poland kwenye channel ya kupela silaha Ukraine.
Na huu ni mchongo wa US chini ya NATO.Kwa jicho la tatu hii vita inapiganwa kuidhoofisha Rusia......atashinda hii vita lakini atarudi nyuma sana kiuchumi.......
Putin alisema response itakuwa 'papo hapo', sasa wewe upo huko kijijini mpigamiti unaleta story za wait!Soon utaona wait.
Mkuu unakalia pande zipi hapa nchini? Leo rasmi russia katangaza kushindwa vita na anarud katika majimbo ya Donabas ambako Ukraine pia watamtilia timu ayateme respectively, cremea pia., mrusi atarudi kwao urusi kwa atakaesalimika na StingerKwa jicho la tatu hii vita inapiganwa kuidhoofisha Rusia......atashinda hii vita lakini atarudi nyuma sana kiuchumi.......
Ni Chief Mangungo pekee ndo angeweza kukubali ushauri wa kukubaliana na masharti ya kipumbavu kama yale. Acha masikhara.Nini hatma ya huu "mgogoro"?
Hii ni habari njema au mbaya kwetu (mataifa yote kiujumla)?
Je, Putin atasitisha "operesheni" yake ya kijeshi baada ya hili (kumsaidia silaha Ukraine)? Kipi ni rahisi na muhimu kufanya katika "mgogoro" huu? Kuisaidia "kijeshi" Ukraine au "kumshawishi" rais wa Ukraine akubaliane na masharti ya Urusi?
Hakuna cha chapter mbaya wala nzuri, russia naye muoga tu. Nimegundua nilimu overrate sana mwanzo.Sio habari njema kwa hii vita. Na ninaona kama Ukraini anazidi kuchongewa, Urusi itaamua kubadilsha Chapter na kutumia Chapter mbaya zaidi dhidi ya Ukraine. NATO wanachokifanya ni sawa na Kumlipa mdeni wako katika tukio la Ujambazi, yaani Mmevamiwa na majambazi ndio hapohapo unamlipa Deni mdeni wako sasa hapo ni kumtakia meme kweli mdeni wako?
Russia naye muoga tu. Alitoa biti la tembo kumbe msuli wa sisimiziKwanini mrusi hashushi mabomu ya kutosha hapo mpakani ili kusiwe na uwezekano wa gari kuvuka
Putin kwisha wanaume wameaza kujibu yeye akiwa amechoka na kishafahamika kwakilakitu.Hawakosi cha kuongea kaka, hawana zuri, nato wakikaa kimya wanaanza sema wamesusa, wakijibu kwa vitendo namna hio wananza maneno tena wao na putin wao wafaa wavalishwe kanga sasa
Sahau Hilo unaweza ukajua kwann Ukraine kila wakiomba ulaya na marekani wafunga anga la urusi na Ukraine walimgomea rais wa Ukraine ilimanisha muda ambao Putin kajiwekea kutwaa Ukraine yote hautoshi ili nawao watumie anga Hilo Hilo kummaliza Putin nahiyo itatokea swala lamudaKwa jicho la tatu hii vita inapiganwa kuidhoofisha Rusia......atashinda hii vita lakini atarudi nyuma sana kiuchumi.......
usije jaribu kujisaidia njiani usiku wamanane ukijua huonwi watakutajia na tisheti uliyokua umevaa... Urusi amekwama wapi kuuwahi msafara akaulipua kabla ya kuwasili yanakopelekwa? Satelaiti zao hazijauona?