Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Kwani zile silaha zilizotunguliwa mwanzoni walizihifadhi uwanjani!?? Tena ghala lipo chini y ardhi na watu wakalifumua ghala pamoja na silaha zakeUna uhakika haina mpinzani? Watu wanahifadhi mashine ghalani kwao mkuu.
Mzee, mbona umejibu swali moja tu?Masharti ya kipumbavu kama kuiachia Crimea,,asiwe na jeshi wala silaha nk. Hivyo ndo vitu vya kumshauri Ukraine akubaliane navyo!?? Uko serious!
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Sawa, lakini haujajibu maswali yangu mengine.Ni Chief Mangungo pekee ndo angeweza kukubali ushauri wa kukubaliana na masharti ya kipumbavu kama yale. Acha masikhara.
Sent using Jamii Forums mobile app
... kuna mgari wake wa deraya saa hizi uko njiani kupelekwa Ujerumani kabla ya kwenda Marekani kufanyiwa uchunguzi wa kina baada ya kutekwa kwenye uwanja wa mapambano; utapekuliwa kila idara; codes zote hata ziwe ngumu namna gani unazofikiria wewe zitakuwa decoded.Putin kwisha wanaume wameaza kujibu yeye akiwa amechoka na kishafahamika kwakilakitu.
Chai na kahawa........siri zote za jeshi ziwekwe kwenyw gari moja..........propaganda... kuna mgari wake wa deraya saa hizi uko njiani kupelekwa Ujerumani kabla ya kwenda Marekani kufanyiwa uchunguzi wa kina baada ya kutekwa kwenye uwanja wa mapambano; utapekuliwa kila idara; codes zote hata ziwe ngumu namna gani unazofikiria wewe zitakuwa decoded.
Unaaminika kubeba siri zote za jeshi la Russia; ni kati ya mamitambo yaliyokuwa yanawindwa kwa udi na uvumba Putin kauza nchi; Kremlin kazi ipo kuna majenerali watanyongana!
... huo mgari ni kati ya vifaa vya kijeshi vilivyokuwa vinalindwa zaidi duniani na ulikuwa unawindwa na western kuliko chochote kile. Let's wait and see.Chai na kahawa........siri zote za jeshi ziwekwe kwenyw gari moja..........propaganda
We danganya mazuzu wenzio..........kama ni asset muhimu kiasi hiko haiwezi pelekwa kizembe hivyo vitani........tena eneo ambalo mambo yakibuma inaweza ikachukuliwa... huo mgari ni kati ya vifaa vya kijeshi vilivyokuwa vinalindwa zaidi duniani na ulikuwa unawindwa na western kuliko chochote kile. Let's wait and see.
... isingekuwa asset muhimu isingepelekwa kote huko kwa uchunguzi zaidi. Washington wamethibitisha ni asset muhimu anatokea mrusi wa Buza anadai sio muhimu; ajabu sana.We danganya mazuzu wenzio..........kama ni asset muhimu kiasi hiko haiwezi pelekwa kizembe hivyo vitani........tena eneo ambalo mambo yakibuma inaweza ikachukuliwa
China kapeleka misaada ya kibinadamu sio kijeshiSio marafiki kama urafiki wa China Vs Russia hata Russia yenyewe inatoa misaada Kwa watu Ukraine.
Hii inaitwa "kura tumekura,pa kurara jee"?Ulisoma class moja na mwendazake nini? chakura ni nini hasa, lete hoja wenzako ndio wanaenda kuumizwa zaidi apo, hiyo mizinga 1500 lazima itue kwenye migongo ya warusi
Kwahio wamekubali kua kwenye hio teknolojia wameachwa mbaaali sana kwahio wameshaokota desa la kwenda kukariri sio mmarekani wa kwa mpalange?... isingekuwa asset muhimu isingepelekwa kote huko kwa uchunguzi zaidi. Washington wamethibitisha ni asset muhimu anatokea mrusi wa Buza anadai sio muhimu; ajabu sana.
... uko sahihi ewe mrusi wa Buza ndio maana fashisti kakimbia uwanja wa mapambano siri zote nje.Kwahio wamekubali kua kwenye hio teknolojia wameachwa mbaaali sana kwahio wameshaokota desa la kwenda kukariri sio mmarekani wa kwa mpalange?
Kama kwenu hizo ni siri basi kuna siri zaidi ya hizo......endeleeni kusaka madesa ya mrusi awafunze vizuri. ......ndo maana hata haogopi kuuza mitambo yake kwa nchi hasimu...kama mturuki kauziwa s400 na ni mwanachama wa Nato.....mmarekani kuuza tu f35 kwa mturuki Nato mwenzie kaogopa kisa mturuki ana f35 anaogopa desa lake litasomwa......mrusi hana woga huo sababu anajua kipindi utakapojua maarifa haya leo, yeye tayari atakua ameshapiga hatua yupo kwngne... uko sahihi ewe mrusi wa Buza ndio maana fashisti kakimbia uwanja wa mapambano siri zote nje.
Hilo Mana yake nikitakiwa kulipuliwa baada ya kutekwa inaonesha majenero wali sabotage mfano marekani wagunduapo kifaa Chao muhimu kimedondoshwa hukulilipua kubaki majivu na majivu huzolewa ,ngoja tuoneWe danganya mazuzu wenzio..........kama ni asset muhimu kiasi hiko haiwezi pelekwa kizembe hivyo vitani........tena eneo ambalo mambo yakibuma inaweza ikachukuliwa
... zidumu fikra sahihi za mwenyekiti fashisti Putin rais wa maisha wa Russia.Kama kwenu hizo ni siri basi kuna siri zaidi ya hizo......endeleeni kusaka madesa ya mrusi awafunze vizuri. ......ndo maana hata haogopi kuuza mitambo yake kwa nchi hasimu...kama mturuki kauziwa s400 na ni mwanachama wa Nato.....mmarekani kuuza tu f35 kwa mturuki Nato mwenzie kaogopa kisa mturuki ana f35 anaogopa desa lake litasomwa......mrusi hana woga huo sababu anajua kipindi utakapojua maarifa haya leo, yeye tayari atakua ameshapiga hatua yupo kwngne
Hio sytem ina part 2 na part iliyobaki haina uwezo wowote wa kufanya kazi bila nyingine.......ili hio system iweze kufanya kazi ni lazima part zote 2 ziwepo.....kwa mazingira ilivyoachwa ingekua ni sensitive hivyo wangeilipua tu..................hilo lidude wanalibeba ila bado pia wanajiuliza kwanini mrusi kaiacha hapo yasije yakawa mambo ya nidukue nikudukue.............hao wameipata command post ila part ya electronic warfare haikuwepoHilo Mana yake nikitakiwa kulipuliwa baada ya kutekwa inaonesha majenero wali sabotage mfano marekani wagunduapo kifaa Chao muhimu kimedondoshwa hukulilipua kubaki majivu na majivu huzolewa ,ngoja tuone
... zidumu fikra sahihi za mwenyekiti fashisti Putin rais wa maisha wa Russia.
Malori yalikuwa na nembo za UNHCR hivyo ingetokea angepiga wangesema mengi yeye anawasubiri uwanjani... Urusi amekwama wapi kuuwahi msafara akaulipua kabla ya kuwasili yanakopelekwa? Satelaiti zao hazijauona?