BBC: Shehena ya makombora 1,500 ya Kutungulia ndege aina Strela na Bunduki 100 MG3 zimewasili nchini Ukraine

umeona kiduku akitest mitambo?? au media za magharibi hazija ripoti hili?? yajayo yana sikitisha, mpo tayari?
 
Endeleeni kushangilia upofu wenu, China, N Korea na Iraq wakipeleka misaada yao ya kivita mje mshangilie hapa pia [emoji4]
China hapendi huo upuuzi mkuu yeye sio mjinga Yaani Awekewe vikwazo vya uchumi na Iran nao Wana shida
 
Mkuu unakalia pande zipi hapa nchini? Leo rasmi russia katangaza kushindwa vita na anarud katika majimbo ya Donabas ambako Ukraine pia watamtilia timu ayateme respectively, cremea pia., mrusi atarudi kwao urusi kwa atakaesalimika na Stinger
Kunywa soda moja hapo kwa Mangi shop
 
Mkuu uko perfect asilimia mia Moja
 
Hivi wewe unafahamu masharti walioweka Warussia lakini au unaongea tu.
 
Ulisoma class moja na mwendazake nini? chakura ni nini hasa, lete hoja wenzako ndio wanaenda kuumizwa zaidi apo, hiyo mizinga 1500 lazima itue kwenye migongo ya warusi
hahahaaa migongo ya warus
 
kumshauri auze nchi ? na nyinyi ndo mnajiita taifa la kesho , stpd kbs
 
Chakura=Chakula,
Waelekeze na wenzako wote huko Musoma.
Thnx!
Sio Musoma tu hata Magufuli nilikuwa nikisikia kwenye r anaweka l na kwenye l pia alikuwa akiweka r.

Hata kule Bukoba pia chunguza kwa makini na wenyewe wana hilo tatizo, halafu tunasema eti Tanzania tunafahamu kiswahili..!!
 
Wale Wachenchen nao itakuwa wameamua kunyoa zile ndevu baada ya kukutana na moto wa aina yake.
 
End that madness now!
Enough is the suffering of innocent civilians!
 
Na wakati huo huo anaomba po
 
China keshapeleka msaada wa kifedha Ukraine. China na Ukraine ni marafiki mno.
Humanitarian aid to Ukraine, may be behind the scene there are more aids from China to Russia, including the military aids,,, China hawezi kubali Russia akadondoshwa kwa urahisi kwani ikitokea hivo basi usalama wa China utakuwa mdogo sana.
Ili China indelee kuwa salama inabidi Urusi ashinde Vita hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…