BBC waendeleza ubeberu: Eti Tanzania nchi ya 23 kijeshi Afrika, Uganda ya 14 na Kenya ya 12

BBC waendeleza ubeberu: Eti Tanzania nchi ya 23 kijeshi Afrika, Uganda ya 14 na Kenya ya 12

Naongea nachokijua, nimeishi Ethiopia miaka, na bado nipo huku. Nafahamu siasa za Ethiopia na mauaji yanayo endelea. Jiulize ni kwanini Ethiopia ilimshindwa Eritrea? Unawajua Tigray wewe? Unajua ni kwanini Waziri ana haha kuwamaliza lakini kashindwa? Jeshi la Ethiopia halimuwezi Mtigray hata siku moja. Ndo maana linaomba msaada toka Eritrea, na majeshi ya Amhara.

Wewe inaonesha hujui vizuri Ethiopia na historia ya wa Tigray.
Nchi kadhaa uonesha silaha zake kutaka ufahari si kwamba wanaficha. Marekani uonesha, Korea, China, na zinginezo. Hata hapa majuzi Ethiopia kaonesha siraha zake kuwatisha Tigray, lakini anapokea kichapo haswa. Tigray wameingia hadi Amhara, wamefunga njia ya barabara na reli ya Djibout na Ethiopia. Na sasa wapo Gondar ambao ni mji mkubwa.
Usiongee story tu, hujui mengi ya Ethiopia. na hujui jeshi la Ethiopia? Unajua ni akina nani walikuwa jeshi la Ethiopia, na kwanini sasa jeshi linalegalega? usiongee kitu usichokijua.
Na ndicho kilichosababisha utatu wa Australia, USA na Uingereza ulioundwa jana
 
Huwa naamini JWTZ hakuna ufisadi na masuala ya rushwa. Sijui kama nipo sahihi? Nchi zingine unakuta Majenerali wanaukwasi wa kufa mtu. Wana makampuni na wameshika tenda nono nono.
Kama Kenya na Uganda
 
BBC wa ajabu Sana hawa.

Eti kijeshi Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12.

1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7. Sudan 8. Morocco 9.Libya na 10 ni Congo DRC.

Maajabu hayaishi duniani. Mbona Libya, Ethiopia, Congo DRC na Nigeria vita kibao na uimara huo wa Majeshi yao?

Source: BBC Swahili news.
Hamza ndio kaporomosha jeshi
 
CONCLUSION:
[emoji666][emoji666][emoji666]Tupo hapa tulipo kwa nguvu za mwez Mungu tu[emoji24][emoji24]

[emoji117]BONGO BADO SANA KISILAHA, KIMBINU , MPANGILIO NA HATA MAZOEZI.

MWANAJESHI KUTWA NZIMA ANAFANYISHWA KAZI SHAMBANI (KULIMA).

[emoji117]TUNAUZIWA SILAHA NA MABEBERU (MAADUI ZETU).
[emoji117]TUNAPEWA MBINU ZA KUJESHI NA MABEBERU.
[emoji117]N.K
iz so sad ....
 
South Africa walitakiwa wawe number 1
Jeshi lao lipo very well organised
Sio organised tu, bali wanatengeneza mpaka baadhi ya vifaa vya jeshi wenyewe, kama attack helicopters, armoured personnel carriers(APCs), armoured vehicles etc. Wa-South wapo vyema na mbali sana.
 
Sema vipi ngoja niamue nikubaliane na wewe kwenye mambo kadhaa kwakua umeamua kujenga hoja zako kwa style fulani ambayo imenishangaza ni kweli unaishi Ethiopia sijakataa but never use that again when you want to defend yourself and mind you being in Ethiopia does not prove that what you are saying here is true

Hiko hivi mwenyewe duniani nimebahatika kuzunguka kwa kiasi chake ni kuwa hamna nchi itadisplay mambo yake ya kijeshi coz hapa dunian tunaviziana sana asee, ila niseme kuwa nimependa ulivyojaribu kudefend hoja yako
Unajua maana ya utafiti? Ok, moja ya aina ya utafiti ni kujumuika na jamii husika ukaishi nayo na kufanya wafanyao, hii uwezesha kupata kile unachokihitaji kwa urahisi. Kuishi kwangu huku nimekuwa nikifatilia mgogoro huu mkubwa. Nashukuru kuwa nimekutana na watu wakubwa kwa wadogo ambao wamenipa historia hii. Lakini pia nimejionea mwenyewe.

Sijaongelea kujisifia kusafiri duniani. Nimeitaja Ethiopia kuliko na Tatizo na kuwakatalia hao BBC kuwa jeshi la Ethiopia linaudhahifu mkubwa.
Nashangaa wewe umefadhahika na kuanza kudhani tunaongelea kutembea duniani. Ingekuwa hivyo ningetaja nchi zote nilizotembelea lkn nimeongelea Ethiopia kwa sababu nipo huku na ninafanya tafiti kadhaa.

Wewe uzunguke dunia nzima ni maamuzi yako, ila swala hapa ni Ethiopia, nilioiongelea. Usiwe na mawazo ya kujihisi na sishindani nawe kuzunguka dunia. Jikite katika hoja. Utafiti unaruhusu mtu kwenda eneo husika na ukaeleza ulichokiona. Uwezi zuia nisiseme nilichokiona Ethiopia kwa kuwa niko huku. Nimeshuhudia mauaji kwa macho yangu. Nimeshuhudia mateso kwa macho yangu. Ati nisiseme niko Ethiopia. Naeleza nilichokiona. Mada si kuzunguka ulimwengu! Nimeongelea Ethiopia narudia unielewe.
 
Sio organised tu, bali wanatengeneza mpaka baadhi ya vifaa vya jeshi wenyewe, kama attack helicopters, armoured personnel carriers(APCs), armoured vehicles etc. Wa-South wapo vyema na mbali sana.
Kwa ajili ya wale makaburu
 
Unajua maana ya utafiti? Ok, moja ya aina ya utafiti ni kujumuika na jamii husika ukaishi nayo na kufanya wafanyao, hii uwezesha kupata kile unachokihitaji kwa urahisi. Kuishi kwangu huku nimekuwa nikifatilia mgogoro huu mkubwa. Nashukuru kuwa nimekutana na watu wakubwa kwa wadogo ambao wamenipa historia hii. Lakini pia nimejionea mwenyewe.

Sijaongelea kujisifia kusafiri duniani. Nimeitaja Ethiopia kuliko na Tatizo na kuwakatalia hao BBC kuwa jeshi la Ethiopia linaudhahifu mkubwa.
Nashangaa wewe umefadhahika na kuanza kudhani tunaongelea kutembea duniani. Ingekuwa hivyo ningetaja nchi zote nilizotembelea lkn nimeongelea Ethiopia kwa sababu nipo huku na ninafanya tafiti kadhaa.

Wewe uzunguke dunia nzima ni maamuzi yako, ila swala hapa ni Ethiopia, nilioiongelea. Usiwe na mawazo ya kujihisi na sishindani nawe kuzunguka dunia. Jikite katika hoja. Utafiti unaruhusu mtu kwenda eneo husika na ukaeleza ulichokiona. Uwezi zuia nisiseme nilichokiona Ethiopia kwa kuwa niko huku. Nimeshuhudia mauaji kwa macho yangu. Nimeshuhudia mateso kwa macho yangu. Ati nisiseme niko Ethiopia. Naeleza nilichokiona. Mada si kuzunguka ulimwengu! Nimeongelea Ethiopia narudia unielewe.
Mkuu embu gusia Kenya na Uganda ambao wanaaminiwa wametushinda.
 
Nchi zetu za Africa hatuna huo uwezo mnaosema eti tuna silaha za siri, ndugu zangu taifa letu tunanunua silaha zote toka kwa wakubwa China, Russia, USA n.k, hao wana intelejensia mwanzo mwisho na taarifa zote kuhusu uwezo wetu kijeshi, kawaida ya mzungu anaweza kukuuza muda wowote endapo kama kwake ni faida kukuuza.

Nchi kama North Korea au Iran wanaotengeneza silaha zao wenyewe lakini bado satellite za USA zita spy taarifa kwa yanayoendelea, silaha wanazotengeneza n.k, sisi tupo uchi mbele ya hao watu.

Someni hata jinsi Israel alivyompa Russia codes za kuhack drones kwenye ile vita na Georgia, na Russia akampatia codes za kuhack Tor M1 na S-300 za Syria.

Wenye siri ni hao wanatengeneza silaha huko Area-51 sio sisi, leo hii Rwanda wanaweza kununua taarifa zetu za ki usalama
 
Tanzania ilidharaulika hata wakati wa vita vya Idd Amini walijua itapigwa, Idd Amini alikuwa na vifaa zaidi ya Tanzania, akisaidiwa na Libya. Kipigo alichopata kilikuwa cha mbwa koko, dunia ilibaki ikishangaa.

Kwa taarifa yako Tanzania si kama nchi zingine, haioneshi vifaa ilivyonavyo. Ni siri kubwa. Nimebahatika kukaa katika Makambi ya jeshi. Tanzania wako vizuri na kuna vifaa ambavyo uwezi amini. Ila ni siri, hatujimwambafai kama hizo nichi nyingine.

Nikupe mfano Ethiopia imepigana vita na Eritrea miaka si chini ya Ishirini. Kinchi cha Eritrea ni masikini. Lakini Ethiopia inakiogopa. Hivi wewe unanguvu za kijeshi unapigana miaka ishirini na ki nchi kidogo hivyo tena masikini.

Ok, sasa hivi jeshi la Ethiopia limeshindwa kumaliza nguvu za jeshi la Tigray, ambalo ni kabila tu. Hadi wameomba msaada toka Eritrea kuipiga Tigray kijeshi. Lakini wapi. Na Tigray hawana vifaa. Jeshi la Ethiopia halina fedha sasa walikuwa wanachangisha. Wanachukuliwa hadi vijana chini ya miaka 18, wanaenda kupigana hawana viatu, kofia yaani ukiona unacheka. Lakini utakuta Ethiopia kwa kujisifia wakati wameshindwa na kabila dogo tu la Tigray, na wanakwenda muondoa waziri Mkuu.

Eti jeshi la nchi mnashindwa kupigana hadi mnaomba jeshi la nchi jirani kuingia nchini mwenu kupigana na kabila moja. Matokeo wakawa wao ni kubaka wanawake na kuiba mali.
Leo BBC wanawapa namba tano Africa. Ha ha ha ha!
Hao BBC wanadhani jeshi la Tanzania litatoka liongee, wanatafuta kujua kitu, lkn kwa Tanzania achana nayo. Tanzania hatujawahi shindwa vita.
Marekani wamepigana na Taleban (kikundi Cha wahuni) kwa miaka 20, wakakimbia uwanja wa mapigano...

Ubora wa kijeshi ni bias classification.

Ila Ukinunua T 72, MIG, Sukhoi, Kamikaze Drone... kabla haijafika kwako wao wanajua.

Ukiiwasha kabla haijaijaanza kusogea, wanajua.. probably wametutendea haki kama hamza aliweza kusimamisha robo ya mji mkuu peke yake.

Siongelei kwa ushabiki Ila kwa aliyewahi kufika msumbiji mji unaoitwa quelimane kabla ya makaburi ya askari wetu hayajahamishwa na mabaki ya vifaru vyetu hayajatolewa anaweza kutoa ushuhuda..... Jeshi letu ni la kawaida
 
BBC wa ajabu Sana hawa.

Eti kijeshi Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12.

1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7. Sudan 8. Morocco 9.Libya na 10 ni Congo DRC.

Maajabu hayaishi duniani. Mbona Libya, Ethiopia, Congo DRC na Nigeria vita kibao na uimara huo wa Majeshi yao?

Source: BBC Swahili news.
Kwa jinsi Hamza alivyowaendesha mpaka wakapata kizunguzungu sikutegemea kuwaona hata kwenye 40.Tumejitahidi hapo mbona
 
Unajua maana ya utafiti? Ok, moja ya aina ya utafiti ni kujumuika na jamii husika ukaishi nayo na kufanya wafanyao, hii uwezesha kupata kile unachokihitaji kwa urahisi. Kuishi kwangu huku nimekuwa nikifatilia mgogoro huu mkubwa. Nashukuru kuwa nimekutana na watu wakubwa kwa wadogo ambao wamenipa historia hii. Lakini pia nimejionea mwenyewe.

Sijaongelea kujisifia kusafiri duniani. Nimeitaja Ethiopia kuliko na Tatizo na kuwakatalia hao BBC kuwa jeshi la Ethiopia linaudhahifu mkubwa.
Nashangaa wewe umefadhahika na kuanza kudhani tunaongelea kutembea duniani. Ingekuwa hivyo ningetaja nchi zote nilizotembelea lkn nimeongelea Ethiopia kwa sababu nipo huku na ninafanya tafiti kadhaa.

Wewe uzunguke dunia nzima ni maamuzi yako, ila swala hapa ni Ethiopia, nilioiongelea. Usiwe na mawazo ya kujihisi na sishindani nawe kuzunguka dunia. Jikite katika hoja. Utafiti unaruhusu mtu kwenda eneo husika na ukaeleza ulichokiona. Uwezi zuia nisiseme nilichokiona Ethiopia kwa kuwa niko huku. Nimeshuhudia mauaji kwa macho yangu. Nimeshuhudia mateso kwa macho yangu. Ati nisiseme niko Ethiopia. Naeleza nilichokiona. Mada si kuzunguka ulimwengu! Nimeongelea Ethiopia narudia unielewe.
This isn't a battle ground so just relax. Hiko hivi mwanzo kabisa ulikuwa unaweza kutoa maelezo yako vizuri without telling me that you are in Ethiopia ni kaelewa vizuri

Yes, unaweza kuwa na picha nzuri ya kinachoendelea huko but guess what I also have sources that I can rely on to get what is taking place in Ethiopia

Moreover, thank you man for your clarification.
 
Marekani wamepigana na Taleban (kikundi Cha wahuni) kwa miaka 20, wakakimbia uwanja wa mapigano...

Ubora wa kijeshi ni bias classification.

Ila Ukinunua T 72, MIG, Sukhoi, Kamikaze Drone... kabla haijafika kwako wao wanajua.

Ukiiwasha kabla haijaijaanza kusogea, wanajua.. probably wametutendea haki kama hamza aliweza kusimamisha robo ya mji mkuu peke yake.

Siongelei kwa ushabiki Ila kwa aliyewahi kufika msumbiji mji unaoitwa quelimane kabla ya makaburi ya askari wetu hayajahamishwa na mabaki ya vifaru vyetu hayajatolewa anaweza kutoa ushuhuda..... Jeshi letu ni la kawaid
Tofautisha jeshi la kulinda amani, na vita. Marekani haijawai kuwa na Vita na Afghanistan, bali walikuwa walinda Amani dhidi ya Wataliban. Kama ilivyo jeshi la Tanzania DRC Congo, Ilivyokuwa Msumbiji na Kwingineko. Lakini Ethiopia na Eritrea zilikuwa na vita ya kupigania eneo.
Si kulinda amani.

Jeshi la Tanzania lilipelekwa Libya kulinda Amani. Kuna muda walivamiwa baadhi waliuwawa hata huko Congo. Nilikuwa najiuliza zamani kwa nini Tanzania tusipeleke jeshi likawashambulia? Nilikuwa bado mjinga, ndo nikaelimishwa tupo kulinda amani si vita japo majeshi ya waasi mara nyingi ufanya makusudi kuvamia majeshi ya kulinda amani.

Marekani nayo huko walivamiwa na Taliban wakauwawa baadhi ya askari. Unadhani ni kwanini Marekani aikupeleka jeshi na vifaa kuwafutilia mbali wataliban. Marekani haikuwa kwenye vita bali kulinda Amani. Ndo maana iliamua kuondoa majeshi yake Afghanistan. Hata wanapoondoa watu wao Taliban waliheshimu. Haikuwa vita ndugu yangu. Ha ha ha ha!
Tujue kutofautisha kulinda amani na Vita. Na ulindaji amani unasheria zake.
 
Tofautisha jeshi la kulinda amani, na vita. Marekani haijawai kuwa na Vita na Afghanistan, bali walikuwa walinda Amani dhidi ya Wataliban. Kama ilivyo jeshi la Tanzania DRC Congo, Ilivyokuwa Msumbiji na Kwingineko. Lakini Ethiopia na Eritrea zilikuwa na vita ya kupigania eneo.
Si kulinda amani.

Jeshi la Tanzania lilipelekwa Libya kulinda Amani. Kuna muda walivamiwa baadhi waliuwawa hata huko Congo. Nilikuwa najiuliza zamani kwa nini Tanzania tusipeleke jeshi likawashambulia? Nilikuwa bado mjinga, ndo nikaelimishwa tupo kulinda amani si vita japo majeshi ya waasi mara nyingi ufanya makusudi kuvamia majeshi ya kulinda amani.

Marekani nayo huko walivamiwa na Taliban wakauwawa baadhi ya askari. Unadhani ni kwanini Marekani aikupeleka jeshi na vifaa kuwafutilia mbali wataliban. Marekani haikuwa kwenye vita bali kulinda Amani. Ndo maana iliamua kuondoa majeshi yake Afghanistan. Hata wanapoondoa watu wao Taliban waliheshimu. Haikuwa vita ndugu yangu. Ha ha ha ha!
Tujue kutofautisha kulinda amani na Vita. Na ulindaji amani unasheria zake.

Nilikushangaa ulivyoshuka habari za Ethiopia na Tigray. Hili la Marekani na Afghanistani umesema uongo. Marekani na washirika wake walienda kupigana vita vya kuzima ugaidi. Wameshimdwa na washirika wo na wamekimbia uwanja wa kiutuuzima na kuwaacha magaidi taliban wakiendelea kuitawa Afghanistan kama ilivyokuwa kabla ya uvamizi.

Uganda, Rwanda, Kenya na waaina hizo hawewezi kuwa juu ya JWTZ, hata wao wenyewe wanawashangaa BBC. Uganda wakati mwengine wanajeshi wao wanavya gumboots!!! Uganda na Kenya wanataka kuikimbia Somalia lakini hawana budi wanakufa na tai shingoni.
 
Nakubaliana nao kwa 100% hapa kazi yao kupiga raia kwa sababu za kipumbavu utakuta mwanajeshi amedundwa na raia kwenye bar au klabu ya pombe za kienyeji kwa kugombea mwanamke anakimbilia kambini halafu wanatoka zaidi ya 10 kwenda kumchangia raia sasa si upuuzi huo.
Maajabu ni mengi sana hapa nyumbani.
 
kukiwa na vita kati yetu na jirani zetu kenya, nakwambia kenya itaiteka mji wa dar ndani ya siku 7 za mwanzo, jwt ni mboga kabisa, wale wengi sio ati wanajua kitu, ni watoto wa wakuu wa ccm na familia zao na mambo kaa hayo, jiulize bona kila uchanguzi wanatumiwa kuua watu, haswa kule zanzibar????
 
Back
Top Bottom