BBT yaanza kukwama. Tulisema hapa kuwa BBT ni shimo la kuzikia fedha za Kodi zetu

BBT yaanza kukwama. Tulisema hapa kuwa BBT ni shimo la kuzikia fedha za Kodi zetu

Vijana wa BBT waliojikita ktk ufugaji wa ng'ombe wameanza kulia kwa kukosa soko la ng'ombe wao.

Hata bibi yangu anayefuga ng'ombe zake kule Katavi kilio chake ni hicho hicho?

Serikali ilipaswa kujikita ktk kutafua changamoto za wakulima na wafugaji nchini na siyo kujiingiza kwenye miradi ya mazingaombwe kama BBT.

View attachment 2786712
Source: ITV habari.
Serikali ilipaswa kujikita ktk kutafua changamoto za wakulima na wafugaji nchini na siyo kujiingiza kwenye miradi ya mazingaombwe kama BBT.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi story za kuwa kilimo ni mkombozi huwa sizielewi vizuri, maana wakulima wengi ndio wenye ugumu wa maisha. Fuatilia vizuri utakuta barmaid hapa mjini ana maisha mazuri, na ndio anayetuma hela kwa ndugu zake wanaomiliki zaidi ya hela 5 huko kijjini!

Ukitaka kujua kilimo ni janga katika nchi hii, aende barmaid bank na mkulima mwenye heka 5 wakitaka mkopo uone nani atakopeshwa mapema. Hapo ndio utajua kilimo ni Nini.
Watu huwa wanatelekeza hekari 5 zao na kwenda mjini kuokota makopo ama kuwa barmaid
 
Viwanda ndiyo jawabu sahihi.

Kutegemea soko la mpaka upewe mashariti ya kukubali ushoga ndiyo wanunue kwa bei nzuri ni ujinga
Big Brain JPM alianzisha hamasa ya viwanda...Makuhadi wa Uchumi wetu,na wachumia tumbo,wakamuhujumu.
 
Sasa waamekwama nini hapo na hayo ni mafunzo?

Tanzania kunakosekana soko la ng'ombe? Unaishi Tanzania hii au nje ya Tanzania?
Yan iko ivii bei wanayotaka kuuza iko juu kuliko bei ya Soko ambayo imezoeleka, na kadri siku zinavyozidi kusogea ,ndio gharama za kuwatunza zinazidi kuongezeka
 
Bashe tulimwambia kilimo ni wakulima, wakulima wa maeneo halisi wanamtumia taarifa za maombi ya mradi wa BBT ili ziwasaidie Kwa kuwa Wana uzoefu wa Muda mrefu, walicho kuwa wanakihitaji ni technology ya kisasa, lakini bashe hakutaka kuwapa mafunzo, .
 
E
Soko la ng'ombe lina shida gani au hawafugi ngombe wa kawaida?

Bei ya nyama iko juu sana maana yake soko la ngombe ni la uhakika
Exactly, kilo ya nyama ni elfu 8, ngombe anatoa kilo 400 za nyama, wakitengeneza butcher ya kisasa qana uhakika wa milioni 7 kila siku yaani kuuza ngombe wawili kila siku
 
Sasa vijana wa BBT wanalalamikia kukosa soko la ng'ombe wao 600 tu
Pale nyakato mwanza zaidi ya ngombe mia juchinjwa kilasiku, hao miasita ni mlo wa wiki tu, au wanaplan wakauze comoro?
 
Mimi ni mtaalam wa kilimo cha umwaviliaji kwa zaidi ya miaka 35 sasa. Kati ya hiyo miaka, nimefanya na Waholanzi zaidi ya miaka 15, Waisraeli zaidi ya miaka, nane,.miaka iliyo baki niko binafsi, Bashe alipo kuja na hii hypothesis yake ya BBT nilikuwa mstari wa mbele kuipinga, na hadi sasa naipinga. Ni ndoto za alinacha.
Nilisema kabisa, kilimo sio sawa na kuuza magazeti.
Tuwe na huruma na pesa za umma
Umebobea haswa.......naomba utufahamishe ni vitu gani vilikufanya upinge wazo la bashe na mpka leo umesimama nalo


Linaweza kuwa funzo kwetu pia
 
Yan iko ivii bei wanayotaka kuuza iko juu kuliko bei ya Soko ambayo imezoeleka, na kadri siku zinavyozidi kusogea ,ndio gharama za kuwatunza zinazidi kuongezeka
Walivyomaliza chuo wakadai ajira hakuna, wamepelekwa shambani wamepewa na ngombe wanasema soko hamna wakipewa soko watasema bei ndogo.

Rais chissano wa msumbiji alisema umasikini ni fikra, hawa vijana hata ufanyeje hamna kitu,

Hapo mwabuki wagawe plot wawahamishie hapo wasukuma kutoka sumbawanga baada ya mwaka wata export ngombe comoro
 
Vijana wa BBT waliojikita ktk ufugaji wa ng'ombe wameanza kulia kwa kukosa soko la ng'ombe wao.

Hata bibi yangu anayefuga ng'ombe zake kule Katavi kilio chake ni hicho hicho?

Serikali ilipaswa kujikita ktk kutafua changamoto za wakulima na wafugaji nchini na siyo kujiingiza kwenye miradi ya mazingaombwe kama BBT.

View attachment 2786712
Source: ITV habari.
Mbona tunaambiwa soko la ng'ombe hasa WA nyama ni kubwa ?

Mwisho umeleta habari kimbea Mbeya Kwa sababu zipi?
 
E

Exactly, kilo ya nyama ni elfu 8, ngombe anatoa kilo 400 za nyama, wakitengeneza butcher ya kisasa qana uhakika wa milioni 7 kila siku yaani kuuza ngombe wawili kila siku
Itakuwa hujawahi kuuza hata mshikaki wewe. Umepewa hayo mahesabu na motivation speaker ndiyo unayaleta huku JF.
 
Back
Top Bottom