BBT yaanza kukwama. Tulisema hapa kuwa BBT ni shimo la kuzikia fedha za Kodi zetu

BBT yaanza kukwama. Tulisema hapa kuwa BBT ni shimo la kuzikia fedha za Kodi zetu

Pale nyakato mwanza zaidi ya ngombe mia juchinjwa kilasiku, hao miasita ni mlo wa wiki tu, au wanaplan wakauze comoro?
Hao ng'ombe wa Nyakato ni wale wanaofugwa kwa kudra za Mungu. Yaani ng'ombe tangu azaliwe mpk anapelekwa sokoni hajawahi kupewa dawa hata siku moja. Amejawa magonjwa kama yote.

Kwahiyo hao wasukuma wa Nyakato wakipewa shilingi laki 6 kwa ng'ombe mwenye umri wa miaka 5 watapata faida kwasbb hawajawahi kugharamia hata shilingi moja zaidi ya kuwapigia mikoma.

Lkn hawa vijana wa BBT wanafuata taratibu za ufugaji bora, hivyo kuna gharama wanatumia. Ili kupata faida ni lazima ng'ombe auzwe kwa shilingi milioni 1.5 mpk milioni 2. Kuna mnunuzi gani hapo Nyakato anaweza kutoa hela hiyo kununua ng"ombe??
 
Hao ng'ombe wa Nyakato ni wale wanaofugwa kwa kudra za Mungu. Yaani ng'ombe tangu azaliwe mpk anapelekwa sokoni hajawahi kupewa dawa hata siku moja. Amejawa magonjwa kama yote.

Kwahiyo hao wasukuma wa Nyakato wakipewa shilingi laki 6 kwa ng'ombe mwenye umri wa miaka 5 watapata faida kwasbb hawajawahi kugharamia hata shilingi moja zaidi ya kuwapigia mikoma.

Lkn hawa vijana wa BBT wanafuata taratibu za ufugaji bora, hivyo kuna gharama wanatumia. Ili kupata faida ni lazima ng'ombe auzwe kwa shilingi milioni 1.5 mpk milioni 2. Kuna mnunuzi gani hapo Nyakato anaweza kutoa hela hiyo kununua ng"ombe??
Kama ngombe anauzwa Kwa kilo zake basi hao wa BBT wauzwe 1.5M Kwa kilo zile zile basi something is wrong
 
Kama ngombe anauzwa Kwa kilo zake basi hao wa BBT wauzwe 1.5M Kwa kilo zile zile basi something is wrong
miaka ya nyuma tulikuwa tunaenda kununua nyama na maziwa mwabuki, ilikuwa wanachinja kila jumamosi, sasa hawa dogo janja wanataka soko gani, hii program ingehusisha wastaafu au wafugaji wenyewe ingekuwa very good, kule misenyi wafugaji wamegawiwa plot kwenye shamba la kitulo ndo unasikia akina kahama fresh, kahama milk, ngara milk, sasa hawa sijui mliwatoa wapi?
 
Kama ngombe anauzwa Kwa kilo zake basi hao wa BBT wauzwe 1.5M Kwa kilo zile zile basi something is wrong
Yes mkuu wanauzwa kwa kilo, ngombe wa kawaida ana kilo 500 hadi 600, wakinyankole wale bugesera wana kilo 1,200 hadi 1,500. Huyu ukimchinja nyama haipungui kilo 1000, kwa bei ya jumla hukosi 7m, hapo hujauza ngozi kende kongoro pembe kichwa ulimi damu midisani kichuri
 
Kama ngombe anauzwa Kwa kilo zake basi hao wa BBT wauzwe 1.5M Kwa kilo zile zile basi something is wrong
Wapaka poda, wadangaji na wacheza pool wakidandia shughuli za kilimo na ufugaji lazima kuwe na "something wrong"
 
kule misenyi wafugaji wamegawiwa plot kwenye shamba la kitulo ndo unasikia akina kahama fresh, kahama milk, ngara milk, sasa hawa sijui mliwatoa wapi?
Hawa wametoka Facebook kupitia godfather anayepatikana Lumumba street
 
Una hamu project za serikali kukwamua watu wake zifeli,unapata faida gani?

Ng'ombe hakosi soko,labda ng'ombe wao wamenona Sana Bei kubwa
Acha kupotosha watu kama huna taarifa ya kitu sio lazima kuchangia!! Juzi hao vijana wamelalamikia masoko kuwa wanayoyapata yanahitaji ng'ombe mwenye kilo ndogo kabisa ni 200kg!!wakati hao wanao wanenepesha hapo mwabuki mwenye kilo nyingi zaidi ni 200!!! Na ni wachache!! Wengi ni chini ya hapo.
 
Nimesoma maoni sioni tatizo la BBT. Ikiwa kuna ng'ombe hakuna soko ni matatizo mawili tofauti yanayoingiliana.

Kenya wana 'BBT' ikimilikiwa na Mabwanyenye kama akina Uhuru Kenyatta.
Ni wazoefu wana masoko ulaya, Asia n.k. Vitunguu vya Babati na Manyara vinauzwa Ulaya kupitia Kenya.

Waziri Bashe kaanzisha BBT Tanzania ili mbele ya safari Vijana wawe ma tycoon kama wa Kenya
Kuanzisha jambo kubwa kama BBT linahitaji muda , kujifunza , kukosea lakini mwisho lina matokeo mazuri.

BBT ya Bashe ina mambo mawili, kwanza kutoa ajira siku za mbeleni na pili kukuza uchumi wa nchi.

Tuliandika hapa JF, Tanzania tulipaswa tulishe SADC yote. Bashe kalichukua wazo na kulifanyia kazi, kakosea wapi?

Ikiwa kuna matatizo tunawajibu wa kumwambia ni wapi na kifanyike nini. Nimesoma maoni sijaona

Waziri Bashe kama utasoma uzi huu, tafadhali njoo hapa tujadiliane , uulizwe, ujibu nawe uulize utajibiwa.
Moderator tusaidie kumtafuta Mh Waziri.

Katika mawaziri wanaofanya vizuri Bashe ni mmoja wao. Mnyongeni lakini haki yake mpeni.

Tumezungumza kilimo ni uti wa mgongo, Siasa ni Kilimo, Kilimo kwanza n.k. hakuna kilichofanyika.
Leo tunamhukumu aliyethubutu kwa vitendo na si mvua za Thailand kama yule Mzee

Kuna mawaziri wanakaa miaka nenda hawaachi alama. Tulisema hapa JF reli zitumike kwa usafiri Dar.

Mwakyembe akafanyia kazi. Alibezwa lakini mwisho ameacha alama na mahali tunapoendelea si kuanzia

Sidhani kama soko la ng'ombe ni tatizo, nadhani wakulima ni tatizo. Nyama ya ng'ombe inahitajika kila mahali.
Ni wajibu wa mkulima kutafuta masoko.

Si kazi ya Waziri bashe, ingawa anaweza ku facilitate. Hawa wanaokaa wakisubiri kutafutiwa soko ni tatizo.

Utashangaa Wakenya watakuja kununua ng'ombe hao na kuwauza Comoro, Zambia n.k.

Vijana wa Tanzania siyo 'aggressive katika Business' ndiyo maana hata mashirika mengi yanakwepa hapa kwetu.

JokaKuu Pascal Mayalla
 
Katika mawaziri wanaofanya vizuri Bashe ni mmoja wao. Mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Mkuu Nguruvi3 , naunga mkono hoja, Wapinzani msione aibu kushirikiana na CCM kwenye hoja zenye maslahi ya Taifa! Bashe ni mzalendo, aungwe mkono na wote!
Vijana wa Tanzania siyo 'aggressive katika Business' ndiyo maana hata mashirika mengi yanakwepa hapa kwetu.

JokaKuu Pascal Mayalla
Naunga mkono, capacity building kwa vijana wetu bado inahitajika.
P
 
Yaani unaanzisha project bila ya kuwa na uhakika wa soko? wamekosa hata soko la arabuni......bwashee bhana.
Soko lipi limekosekana?
Unamsikiliza huyo mnafiki aliyeleta huu uongo?

Kuna siku ngombe akakosa soko Tanzania hii? Huyo anaekosa soko la ng'ombe ni bwege tu, kwanza Tanzania wameanzisha mpaka gesti za ng'ombe ukiona soko limezubaa ulipo wanawapeleka gesti ya butre kabisa, wanakula vizuri wanaongeza kilo, wanapumzika, wanakuja wenyewe wateja kuwanunuwa.

Serikali haijakisia kwenye BBT.

Tusidanganyane. Roho zinawauma mahasidi kwa kuona mafanikio makubwa kwa muda mchache sana.
 
Vijana wa BBT waliojikita ktk ufugaji wa ng'ombe wameanza kulia kwa kukosa soko la ng'ombe wao.

Hata bibi yangu anayefuga ng'ombe zake kule Katavi kilio chake ni hicho hicho?

Serikali ilipaswa kujikita ktk kutafua changamoto za wakulima na wafugaji nchini na siyo kujiingiza kwenye miradi ya mazingaombwe kama BBT.

View attachment 2786712
Source: ITV habari.
Kuomba masoko sio kukosa masoko!.
BBT is doing well!.
P
 
Mtu anakwambia Ufuge ng' ombe wa kisasa ambaye mathalani atakugharimu laki saba kumtunza kuanzia anazaliwa hadi anakomaa kuuzwa.

Ukienda sokoni unakuta ng' ombe anauzwa laki saba hiyo hiyo.

Vilimo vya makaratasi viko namna hii.
Ukiacha kilimo cha makaratasi, pia ni kilimo cha kisiasa.
 
Wanangu mna hoja nzito sana hadi nashindwa niwe upande gani PROPOSE or OPPOSE sasa wanangu hebu leteni solution sasa tufanyeje kama nchi maana tumeshatoa maboko tayari....
 
Soko lipi limekosekana?
Unamsikiliza huyo mnafiki aliyeleta huu uongo?

Kuna siku ngombe akakosa soko Tanzania hii? Huyo anaekosa soko la ng'ombe ni bwege tu, kwanza Tanzania wameanzisha mpaka gesti za ng'ombe ukiona soko limezubaa ulipo wanawapeleka gesti ya butre kabisa, wanakula vizuri wanaongeza kilo, wanapumzika, wanakuja wenyewe wateja kuwanunuwa.

Serikali haijakisia kwenye BBT.

Tusidanganyane. Roho zinawauma mahasidi kwa kuona mafanikio makubwa kwa muda mchache sana.
Watu siyo 'innovative' halafu hawana business acumen. Mtu anataka Waziri Bashe amtafutie soko! noo ni ujinga.

Badala ya kulalamika katika TV,wafugaji walipaswa watafute connections halafu ikihitajika Waziri ndipo wamwambie.
Mfano, wamepata soko Mauritius lakini kuna matatizo ya kibiashara , hapo waziri anahusika ku facilitate

Wafanyabishara nje wanakuja nchini, serikali za nchi zao hazishusiki na biashara lakini zinatengeneza mazingira ya biashara. Waziri wa Biashara wa Japana atawasiliana na Balozi wa Japan Tanzania kwa fursa za kuuza magari na vipuri. Research ya soko wanafanya Wafanyabiashara wenyewe.

Yaani Tanzania hii kuanzia Mtwara hadi Tanga, Pemba hadi Kigoma mtu hawezi kuuza ng'ombe.

Kwanini wafikiri kuuza ng'ombe na si nyama ! Mbona nyama ya Kongwa inang'ang'aniwa Dar es Salaam
Ubora wa nyama na mazingira ya kuuzia ni muhimu , siyo zama za kutwanga nyama kwenye magogo.
Ni mashine maji na usafi.

Huyu kijana anayetaka kuuza ng'ombe masikini hajui kuna ngozi .

Watu wanamlaumu Bashe! . Bashe hawezi kukufanyia kila kitu, anatengeneza mazingira mazuri ya wewe kufanikiwa.
 
Back
Top Bottom