BBT yaanza kukwama. Tulisema hapa kuwa BBT ni shimo la kuzikia fedha za Kodi zetu

BBT yaanza kukwama. Tulisema hapa kuwa BBT ni shimo la kuzikia fedha za Kodi zetu

Vijana wa BBT waliojikita ktk ufugaji wa ng'ombe wameanza kulia kwa kukosa soko la ng'ombe wao.

Hata bibi yangu anayefuga ng'ombe zake kule Katavi kilio chake ni hicho hicho?

Serikali ilipaswa kujikita ktk kutafua changamoto za wakulima na wafugaji nchini na siyo kujiingiza kwenye miradi ya mazingaombwe kama BBT.

View attachment 2786712
Source: ITV habari.
Watanzania mna vichwa butu sana.
Badala ya kuchangia nia nzuri ya serkali kuondoa vijana barabarani, ninyi mna zomea na kufurahia matatizo.
Mna mindset za kushindwa1
 
Watanzania mna vichwa butu sana.
Badala ya kuchangia nia nzuri ya serkali kuondoa vijana barabarani, ninyi mna zomea na kufurahia matatizo.
Mna mindset za kushindwa1
Aliyeanzisha ndiyo ana mindset ya kushindwa. Wote tunatambua kuwa nia ilikuwa njema, lkn vijana wa aliowachukuwa siyo sahihi.


Angewapa fursa na uwezo huo vijana waliopo ktk kilimo na ufugaji moja kwa moja, badala ya kukusanya vijana wadangaji, wacheza pool na wapaka poda. Wao kila kitu wanakiona ni tatizo.
 
Narudia kusema kama hujaleta fitina basi BBT haiwezi kufeli kirahisi hivyo Kwa sababu zifuatazo
-Serikali inawezaje Kushindwa kuingia mkataba na viwanda vya nyama eg TanChoice,wanunuzi wakubwa wanaouza Nje au wamiliki wa mabucha? Kwa nini wasiwe na bucha zao Mjini?

-Pili kwenye Kilimo inashindwaje kulima mazao maalumu ya kufanya exports kulingana na maeneo na hivyo Kwa utaratibu wa contract farming? Shule zote za bweni na vyuo?

Bashe ni business minded hawezi ruhusu BBT ifeli kizembe hivyo nakimsi gi lazima huu mradi uwe na gestation period walau ya miaka 5 kulelewa na Serikali kabla ya ku hand over Kwa Vijana.

Kama Wameshindwa wanipende kazi ya kuwasaidia mawazo.
Kwa hiyo hao vijana watafutiwe mtaji, watunzwe, na pa kuuza watafutiwe, kwani faida inaenda kwa nani? Au Serikali inapata gawio kwenye huu mradi?
Serikali inaweza kuwaonesha masoko ya nje kwa kuwapa uwezo kushiriki maonesha ya kimataifa ya kilimo, huko watatafuta masoko wenyewe
 
Hebu twende na wazo la magufuli tuwawezeshe matajiri ili wawaajiri vijana na masikini, mfano mzuri bhakresa tumempa shambapori leo anazalisha sukari na ana export hili shamba tumpatie sumri au na haya mapesa uone kama baada ya mwaka hata export nyama uarabuni na hawa vijana watakuwepo wakijipatia ajira

Pale bagamoyo tungewapa vijana wa bbt sasahivi wangekuwa wanalalamikia soko la miwq
Sounds good ila hivi ni kweli kwamba soko la hizi bidhaa mbali mbali za mashambani + mifugo Tanzania ni la uhakika kiasi hicho? Naona kama vijana wana hoja hivi
 
Acha kupotosha watu kama huna taarifa ya kitu sio lazima kuchangia!! Juzi hao vijana wamelalamikia masoko kuwa wanayoyapata yanahitaji ng'ombe mwenye kilo ndogo kabisa ni 200kg!!wakati hao wanao wanenepesha hapo mwabuki mwenye kilo nyingi zaidi ni 200!!! Na ni wachache!! Wengi ni chini ya hapo.
Huyo ng'ombe wa kuishia kilo 200 tu wanamlisha mchanga ?
Maana hata wafugaji wa kawaida kabisa ambao S100 hawapendi wanazalisha ng'ombe wenye kilo zaidi ya 200
 
Mimi ni mtaalam wa kilimo cha umwaviliaji kwa zaidi ya miaka 35 sasa. Kati ya hiyo miaka, nimefanya na Waholanzi zaidi ya miaka 15, Waisraeli zaidi ya miaka, nane,.miaka iliyo baki niko binafsi, Bashe alipo kuja na hii hypothesis yake ya BBT nilikuwa mstari wa mbele kuipinga, na hadi sasa naipinga. Ni ndoto za alinacha.
Nilisema kabisa, kilimo sio sawa na kuuza magazeti.
Tuwe na huruma na pesa za umma
Uliipinga kwa sababu gani za msingi ??
 
Unaenda sokoni unakuta wateja wanataka kumnunua kwa laki 5 huyo ng'ombe aliyekugharimu laki 7 kumfuga . Nchi hii aliyeturoga naye karogwa.
Eti kilimo bila ruzuku na kama KAZI haiwezekani!.kule ulaya na marekani serikali zinatoa ruzuku kwa wakulima wake.Kilimo na Ufugaji ni wito na si kipato.Hebu fikiria ulime eka Moja weka gharama za kukodi,kulima,kupandia,kupalilia,kuvuna,kukusanya,kubangua,kupaki na kupeleka sokoni,mbolea kupandia,kukuzia na kunenepeshea ,alafu uuze gunia tsh90,000.ndipo upate fedha ya kujikimu,hakuna kijana wa mjini na wale walioenda shule waliotoka familia zinazojiweza anaweza kufanya KAZI hiyo.ila kama itatolewa kwa wenye wito na kwa uwazi zaidi bbt itaweza kafanikiwa.
 
Eti kilimo bila ruzuku na kama KAZI haiwezekani!.kule ulaya na marekani serikali zinatoa ruzuku kwa wakulima wake.Kilimo na Ufugaji ni wito na si kipato.Hebu fikiria ulime eka Moja weka gharama za kukodi,kulima,kupandia,kupalilia,kuvuna,kukusanya,kubangua,kupaki na kupeleka sokoni,mbolea kupandia,kukuzia na kunenepeshea ,alafu uuze gunia tsh90,000.ndipo upate fedha ya kujikimu,hakuna kijana wa mjini na wale walioenda shule waliotoka familia zinazojiweza anaweza kufanya KAZI hiyo.ila kama itatolewa kwa wenye wito na kwa uwazi zaidi bbt itaweza kafanikiwa.
Wewe toka lini unalipa kodi?

Kwa mwandiko wako tu unaonesha hufanyi kazi.
 
Eti kilimo bila ruzuku na kama KAZI haiwezekani!.kule ulaya na marekani serikali zinatoa ruzuku kwa wakulima wake.Kilimo na Ufugaji ni wito na si kipato.Hebu fikiria ulime eka Moja weka gharama za kukodi,kulima,kupandia,kupalilia,kuvuna,kukusanya,kubangua,kupaki na kupeleka sokoni,mbolea kupandia,kukuzia na kunenepeshea ,alafu uuze gunia tsh90,000.ndipo upate fedha ya kujikimu,hakuna kijana wa mjini na wale walioenda shule waliotoka familia zinazojiweza anaweza kufanya KAZI hiyo.ila kama itatolewa kwa wenye wito na kwa uwazi zaidi bbt itaweza kafanikiwa.
Kwanini hauendi Ulaya ukalime?
 
Kwanini hauendi Ulaya ukalime?
Mimi ni Mkulima na pia Mfugaji najua shuruba za kulima na kufuga inahitaji moyo na uvumilvu na sio lelemama mtu hajawahi kufuga Wala kumuana mzazi wake akifuga atafuga huyo labda awe magereza au Jeshini,lakini kwa hiari ng'ooo
 
Mimi ni mtaalam wa kilimo cha umwaviliaji kwa zaidi ya miaka 35 sasa. Kati ya hiyo miaka, nimefanya na Waholanzi zaidi ya miaka 15, Waisraeli zaidi ya miaka, nane,.miaka iliyo baki niko binafsi, Bashe alipo kuja na hii hypothesis yake ya BBT nilikuwa mstari wa mbele kuipinga, na hadi sasa naipinga. Ni ndoto za alinacha.
Nilisema kabisa, kilimo sio sawa na kuuza magazeti.
Tuwe na huruma na pesa za umma
Waziri au serikali badala ya kuchukua watu kama wewe mkatengeneza mpango mkakati wa kuinua kilimo cha umwagiliaji, anaokoteza "nadharia" na wasomi wake wa kinadharia ambapo mwisho wa siku hakuna matokeo chanya yale yaliyokuwa yanasemwa.
 
Mimi ni Mkulima na pia Mfugaji najua shuruba za kulima na kufuga inahitaji moyo na uvumilvu na sio lelemama mtu hajawahi kufuga Wala kumuana mzazi wake akifuga atafuga huyo labda awe magereza au Jeshini,lakini kwa hiari ng'ooo
Kwani ulikatazwa kufuga na kulima Tanzania hii?

Au unataka mtu ambae siyo mfugaji wala siyo mkulima aje kukufundisha wewe mfugaji na mkulima?

Wewe utakuwa siyo mfugaji, ni mchungaji.

Pia utakuwa siyo mkulima (farmer) ni "peasant" (sifahamu Kiswahili chake), Kiarabu chake ni "falah".

Mana Watanzania tumewazowea, tu analima vieka viwili vitatu au anacchunga vingombe kumi au kumi na tano anasema mimi mkulima, au mimi mfugaji.

Tupishe huko, mkulima au mfugaji ana muda wa kuingia JF kubishana?
 
Wakulima wako huko chaka sahvi dada yangu kipenzi
Ila siyo hawa wa BBT ...wakulima wa Google,whatsap group na malaptop
[emoji1]
Kilimo kina wenyewe

Ova
Nchi ina danadana nyingi sana
 
Back
Top Bottom