Be Forward wamekuwa wajanja na waongo, magari yanaletwa mabovu

Be Forward wamekuwa wajanja na waongo, magari yanaletwa mabovu

Screenshot hayo mawasiliano, halafu weka sawa na rekodi zako za gharama ulizoingia, kisha nenda kwa mwanasheria ambaye yupo vema kwenye international laws akupe ushauri wa namna ya kudai fidia yako sababu huo ni utapeli wa mchana kweupe.
Soma term and condition ndiyo uanze kudai fidia bila hivyo itakula sana kwenu
 
Wakuu natumai mu wazima!

Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja.

Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na tena Be Forward Tanzania ndio walifanya clearance. Sasa cha ajabu gari imefika inavuja oil, pia imepigwa rangi nyeusi kumbe Original color ilikuwa ni Nyeupe, ikabidi tena ifanyiwe service hapa Tanzania kwenye yard ya Be Forward ndio TBS wakaipitisha.

Lakini gari bado ina matatizo mengi sana ya check engine, rejeta, masega na Engine box. Nimejaribu kufuatilia Be forward Tanzania wananijibu sababu niliagiza moja kwa moja Japan na Singapore hiyo haiwahusu. Nimefuatilia ilipotoka wananizungusha bila majibu ya kueleweka. Sasa nimeishia kupaki gari sababu haina nguvu na injini inachemsha.

Naomba mnisaidie kama kuna mwenye ushauri wa nini cha kufanya.

Asanteni wakuu.
tbs wanakula tu rushwa, wanapewa laki 3 gari wanapitisha
 
Kama una evidence zote, fungua kesi utashinda. Beforward wana kesi nyingi sana mahakamani za aina hiyo
 
  • Thanks
Reactions: PYD
Hawajanipa
Ndo nimemchek davina nimemwambia nahitaji yeye ndo nilimtumia
Nina kama 3 weeks tangu nilipie
Kwani karatasi natakiwa kupewa lini?

Unaweza kunisaidia number ya davina ya davina tafadhali kama hutojali kaka...Nakumbuka mara ya kwanza nilitaka kuagiza gari online nikamtuma mtu aende pale ofisini kwao eakaingalia wakakuta ina matatizo wakanitafutia gari nyingine nzuri kabisaa na haikuwa na shida kabisaa....ila kuna mtu nilimuachia amepata nayo ajali inabidi ninunue nyingine tena.....
 
Wakuu natumai mu wazima!

Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja.

Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na tena Be Forward Tanzania ndio walifanya clearance. Sasa cha ajabu gari imefika inavuja oil, pia imepigwa rangi nyeusi kumbe Original color ilikuwa ni Nyeupe, ikabidi tena ifanyiwe service hapa Tanzania kwenye yard ya Be Forward ndio TBS wakaipitisha.

Lakini gari bado ina matatizo mengi sana ya check engine, rejeta, masega na Engine box. Nimejaribu kufuatilia Be forward Tanzania wananijibu sababu niliagiza moja kwa moja Japan na Singapore hiyo haiwahusu. Nimefuatilia ilipotoka wananizungusha bila majibu ya kueleweka. Sasa nimeishia kupaki gari sababu haina nguvu na injini inachemsha.

Naomba mnisaidie kama kuna mwenye ushauri wa nini cha kufanya.

Asanteni wakuu.
POLE SANA MKUU M NILIPGWA NANKITU KIZITO SIJARUDI TENA HUKO
 
MIAKA 7 AMA 8 ILIOPITA NILIAGIZA NOAH NYEUSI IKAFIKA SALAMA NIKAENDACHUJKUA NDUGU ACHA TU NAENDESHA KUFIKA MAENEO YA CLOUDS IKANIZIMIKIA...PIGA AWAPOKEI NIKAITA WYFE AKAJAKUNIVUTA NA MSALABA WANGU

IKAPAKI TANKIBOVU NIKAWAPIGIA ASBH YAKE WAKASEMA NIIPELEKE GODWN LAO LIKO HAPO GEREXAN NKHAWAMBIA HAIWAKI AITEMBEI BASI NIKALIVUTA MPAKA GARAGE LAO KULE NKASHIKWA NA MSHANGAOO MAGARI KIBAO MAPYA YANAREKEBISHWA NA MAFUNDI AISEEE KUWA UYAONE


NKAWACHIA GARI LAO NXTYDAY NAPIGIWA ENGINE IMENOCK YA KUBADILISHA SITOSAHAU YULE KAKA ANAITWA MASSAWE MCHAGA AKANIAMBIA KAKA HII UMEPIGWA

MIKISUBIR MWEZI WANADAI ENGINE IMEAGIZWA JAPAN NDUGU KUJA KUICHUKUA N BALAA NIKAAMUA AKAFE NALO MWINGINE TOKA SIKUHIO SINAHAMU NAO
 
SASA KULE GARAGELAO WANACHOFANYA KAMA WEWE UNAHITAJI KITU UKIWAMBIA WAO WANATAKA CHA ZAMAN WANAKUTOLEA KWENYE MAGARI MAPYA BALAA
 
Unaweza kunisaidia number ya davina ya davina tafadhali kama hutojali kaka...Nakumbuka mara ya kwanza nilitaka kuagiza gari online nikamtuma mtu aende pale ofisini kwao eakaingalia wakakuta ina matatizo wakanitafutia gari nyingine nzuri kabisaa na haikuwa na shida kabisaa....ila kuna mtu nilimuachia amepata nayo ajali inabidi ninunue nyingine tena.....
0752 920 227
 
Ndio hivyo na gari ipo juu ya mawe, inaniumiza sana. Mbaya zaidi Be forward hawakutaka kunisaidia kwa lolote. Imenikatisha sana tamaa ya kutumia Be forward, na sifahamu sana mitandao mingine ambayo ni genuine ya kuagiza magari
kuna mtandao unaitwa 'Every Japan' , huwa wanakuwa na gari chache lakini nyingi ni nzuri na mara nyingi wanaweka kwenye platform yao gari ambazo zinatembea na zina hari nzuri, ila bei zao ziko juu kidogo lakini unapata kilichobora.
 
Wakuu natumai mu wazima!

Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja.

Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na tena Be Forward Tanzania ndio walifanya clearance. Sasa cha ajabu gari imefika inavuja oil, pia imepigwa rangi nyeusi kumbe Original color ilikuwa ni Nyeupe, ikabidi tena ifanyiwe service hapa Tanzania kwenye yard ya Be Forward ndio TBS wakaipitisha.

Lakini gari bado ina matatizo mengi sana ya check engine, rejeta, masega na Engine box. Nimejaribu kufuatilia Be forward Tanzania wananijibu sababu niliagiza moja kwa moja Japan na Singapore hiyo haiwahusu. Nimefuatilia ilipotoka wananizungusha bila majibu ya kueleweka. Sasa nimeishia kupaki gari sababu haina nguvu na injini inachemsha.

Naomba mnisaidie kama kuna mwenye ushauri wa nini cha kufanya.

Asanteni wakuu.
Sijawahi kumuamini mbongo kwenye biashara! Labda kinyozi!
Hiyo ngoma imenunuliwa hapa hapa bongo! Ni chezo tu limechezwa!
 
kuna mtandao unaitwa 'Every Japan' , huwa wanakuwa na gari chache lakini nyingi ni nzuri na mara nyingi wanaweka kwenye platform yao gari ambazo zinatembea na zina hari nzuri, ila bei zao ziko juu kidogo lakini unapata kilichobora.
Enhance Auto nao wako vizuri sana
Wanachangua magari mazuri na yako kwenye ubora wa hali ya juu
 
Ushaambiwa recondition aka used 😄
Ila kununua gari mpya brand new ina raha yake bana

Ova
 
Back
Top Bottom