Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna pesa za shetani ndugu Kugawa gawa pesa ni chanzo cha umasikini tafuta pesa kwa jasho lako tamu kuzitumia usililie pesa za mtu mwingineLabda ana pesa za ndagu.
Kuna pesa zingine zina masharti magumu huruhusiwi kuwasaidia ndugu
Ndio maana mi nshakataa sitaki wala sihitaji pesa za kishetani ni za kipumbavu
Nilisoma comment moja inasema huyu Rehema ni Malaya kaliwa na mumewe Martha hahaha mashemeji buanaMdogo wa Martha Mwaipaja aanika mabaya ya dada yake akidai kuwa Martha Mwaipaja ana fedha nyingi sana lakini hamsaidii mama yake vilevile akidai kuwa amejitenga na ndugu zake
Tazama Video hizi kwa utulivu
Ni kawaida pesa ya dada haitokagi kirahisi hata kama ni ya muhimu mpaka abembelezwe sana wewe kama una dada mwenye pesa nambie hata 10 tu kukupngezea ni ngoma wakati ana drive.Mdogo wa Martha Mwaipaja aanika mabaya ya dada yake akidai kuwa Martha Mwaipaja ana fedha nyingi sana lakini hamsaidii mama yake vilevile akidai kuwa amejitenga na ndugu zake
Tazama Video hizi kwa utulivu
Ukisikia mtoto amsaidii mzazi jua tu huyo mzazi ndiyo MSHENZI AU ALIKUWA MSHENZI.....kamwe mzazi mwema awezi kulilia kusahidiwa na mtoto wake hilo jambo linakuja automatiki kama mzazi alikuwa mwema kwa watoto ....usikute ndiyo wale wazazi wapumbavu wanao kunywa chai ya maziwa na kuwapa watoto wao chai ya rangi au anakunywa chai na chapati watoto anawapa vitumbua na mihogo au analaza watoto wake kwenye mabanda ya kuku yeye anaishi kwenye nyumba nzuri.Mdogo wa Martha Mwaipaja aanika mabaya ya dada yake akidai kuwa Martha Mwaipaja ana fedha nyingi sana lakini hamsaidii mama yake vilevile akidai kuwa amejitenga na ndugu zake
Tazama Video hizi kwa utulivu
Wamama wa hivyo wapo wengi sanaMdogo wa Martha Mwaipaja aanika mabaya ya dada yake akidai kuwa Martha Mwaipaja ana fedha nyingi sana lakini hamsaidii mama yake vilevile akidai kuwa amejitenga na ndugu zake
Tazama Video hizi kwa utulivu
Babe cocochanel kitambo sana, sikuhizi hata nyuzi zinazohusu chama tawala sikuoni sanaYa wasanii nchini
Vanessa Mdee ameelezea
inasikitisha sana na wa dini wanakimbilia lia kwenye hayo 😟