Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Chanzo ni wamama wenyewe mama atubu kwanzaYa wasanii nchini
Vanessa Mdee ameelezea
inasikitisha sana na wa dini wanakimbilia lia kwenye hayo 😟
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chanzo ni wamama wenyewe mama atubu kwanzaYa wasanii nchini
Vanessa Mdee ameelezea
inasikitisha sana na wa dini wanakimbilia lia kwenye hayo 😟
Mkuu moyo wa mtu ni kichakaHafananii na matendo yake
huenda anaamini masharti hayo akitoa atafilisika, fedha zitaishaLabda ana pesa za ndagu.
Kuna pesa zingine zina masharti magumu huruhusiwi kuwasaidia ndugu
Ndio maana mi nshakataa sitaki wala sihitaji pesa za kishetani ni za kipumbavu
Huwezi kujua kila mtu ana siri ya utajiri wakeHakuna pesa za shetani ndugu Kugawa gawa pesa ni chanzo cha umasikini tafuta pesa kwa jasho lako tamu kuzitumia usililie pesa za mtu mwingine
Hakuna anaejitenga bila kutengwa akifanikiwa ndio anaonekana wa maana ila kabla alidharauliwa sanapesa za masharti
Kuna watu wengi sana hawalijui hili na hawatakubaliana nalo japo la kweli tupu.Ukisikia mtoto amsaidii mzazi jua tu huyo mzazi ndiyo MSHENZI AU ALIKUWA MSHENZI.....kamwe mzazi mwema awezi kulilia kusahidiwa na mtoto wake hilo jambo linakuja automatiki kama mzazi alikuwa mwema kwa watoto ....usikute ndiyo wale wazazi wapumbavu wanao kunywa chai ya maziwa na kuwapa watoto wao chai ya rangi au anakunywa chai na chapati watoto anawapa vitumbua na mihogo au analaza watoto wake kwenye mabanda ya kuku yeye anaishi kwenye nyumba nzuri.
Exactly ndio hua hivyoIla usisahau pia, ukiwa huna kitu ndugu wanakutenga, Ukipata wanasema UMEWATENGA,..
Ndugu hana shukhrani ndio maana wengi husaidia watu baki ila sio ndugu zaoKuna watu wengi sana hawalijui hili na hawatakubaliana nalo japo la kweli tupu.
Kuna wazazi walizingua sana kipindi wakiwa vijana. Wakitesa watoto wao, wengine waligoma kuwasomesha na hela wakatapanya na malaya na kuzaa hovyo hovyo kama mbwa halafu mwisho wa siku anarejea na kuomba msaada umsaidie yeye mwenyewe na utitiri wa watoto wake umsomeshee. Kwa hali kama hii mimi sisomeshi watoto wa mzee aliyekimbia majukumu na kama alijiona pesa na nguvu anavyo, asomeshe watoto wake nami nitasomesha wa kwangu na ndugu zangu wa mama&baba mmoja.
Chukua nafasi ya dada bahili, pia chukua nafasi ya mdogo wake dada bahili.Mabaya yako wapi hapo??
Ninae dada yangu ndio mkubwa kwetu. Anamsaidia sana mama tena bila kukumbushwa au kulazimishwa. Kiufupi ana msaada hata kwa sisi wadogo zake..sio mchoyo. Hata kama anacho kidogo atakugaia hicho hicho. Aishi maisha marefu dada yangu.Ni kawaida pesa ya dada haitokagi kirahisi hata kama ni ya muhimu mpaka abembelezwe sana wewe kama una dada mwenye pesa nambie hata 10 tu kukupngezea ni ngoma wakati ana drive.
Kisaidia ndugu Yako wa damu ni muhimu sana ukiwa vizuri kiuchumi au kwa connection wengi hapa mnasema si atafute pesa za dada ngumu mbona ma bro wanatupiga tafu sana
Ni ujinga na umasikini ndio unasababisha kulilia pesa za ndugu yakoChukua nafasi ya dada bahili, pia chukua nafasi ya mdogo wake dada bahili.
Hakuna watu wenye pesa ambao hawaoni tu umuhimu wa kusaidia ndugu zao bila sababu za kishirikina?Labda ana pesa za ndagu.
Kuna pesa zingine zina masharti magumu huruhusiwi kuwasaidia ndugu
Ndio maana mi nshakataa sitaki wala sihitaji pesa za kishetani ni za kipumbavu
Sahihi, ila watu weusi wa Africa ni vigumu sana kuelewa hili jambo, wengine wanazaa kabisa watoto ili waje kusaidiwa nao!Msaada sio haki yao kwahiyo apunguze kulia lia.
Ni ujinga ushindwe kujisaidia wewe mwenyewe utegemee usaidiwe, inajenga hali fulani ya ulemavu.Sahihi, ila watu weusi wa Africa ni vigumu sana kuelewa hili jambo, wengine wanazaa kabisa watoto ili waje kusaidiwa nao!