Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Nimeshangaa sana huyo jamaa kuwasema wadada. Wengi sio wachoyo na wanatunza wazazi wao. watakuwepo ambao sio wema lakini ni wachache.Wakina dada ni watu wema sana. Madada Hawanaga baya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshangaa sana huyo jamaa kuwasema wadada. Wengi sio wachoyo na wanatunza wazazi wao. watakuwepo ambao sio wema lakini ni wachache.Wakina dada ni watu wema sana. Madada Hawanaga baya.
Tatizo ni hao wanaojidai kumtoa mapepo na hawana uwezo huoTatizo ni huyo anayeripuka Mapepo...!
Hapa ndipo tatizo lilipo! Na ole wako uwe una kamjengo na kagari! utasumbuliwa balaa. Eti tajiri unawatenga.Wamatumbi huwa tunaonaga kama kupata msaada kutoka kwa ndugu ni haki yetu.
Hatuwezi kujua kama Martha pesa zake ni za giza au halaliHela za masharti ya kuzimu haiwezi saidia ndugu wa damu, na ni kwa usalama wao maana inaweza beba hao ndugu kama kafara kama muhusika pasipo update file.
Tatizo mojawapo kubwa la Waafrika hawajiandai na maisha yao ya uzeeni, ni muhimu mtu ajipange kivyake kwa maisha ya uzeeni badala ya kusubiria kutegemea watoto na ndugu.Mama zetu Hawa wa kitanzania watatafutaje pesa mkuu unakuta mama umri umeende ana presha ana kisukari doctor anampa ushauri asifanye kazi kulinda afya yake ni wakuonewa huruma tu
Ugomvi wa familia tuuuachie wenyeweMdogo wa Martha Mwaipaja aanika mabaya ya dada yake akidai kuwa Martha Mwaipaja ana fedha nyingi sana lakini hamsaidii mama yake vilevile akidai kuwa amejitenga na ndugu zake
Tazama Video hizi kwa utulivu
We mwenye mawazo ya kitajiri,ni tajiri namba ngapi TANZANIA,acha dharauAkili na mawazo ya kifukara. Pole sana.
Ahahahahaha! Ahahahahaha! Ahahahahaha!!Labda ana pesa za ndagu.
Kuna pesa zingine zina masharti magumu huruhusiwi kuwasaidia ndugu
Ndio maana mi nshakataa sitaki wala sihitaji pesa za kishetani ni za kipumbavu
[emoji23][emoji23][emoji23]Ahahahahaha! Ahahahahaha! Ahahahahaha!!
Nimeshangaa sana, ninapokuwa na dada zangu hupenda kugharimia kila kinachohitajika, ukitoa pesa unaambiwa rudisha mfukoni, sisi tutafanya!! Nimeshangaa mwenzangu dada zake wachoyo!!Nimeshangaa sana huyo jamaa kuwasema wadada. Wengi sio wachoyo na wanatunza wazazi wao. watakuwepo ambao sio wema lakini ni wachache.
Walio wengi wanabanwa masharti mkuu,unakuta jamaa yupo town goodlife alafu ukifika kwa wazazi wake nyumba inauliza niue au nisiueHakuna watu wenye pesa ambao hawaoni tu umuhimu wa kusaidia ndugu zao bila sababu za kishirikina?
Martha Mwaipaja ameokokaWalio wengi wanabanwa masharti mkuu,unakuta jamaa yupo town goodlife alafu ukifika kwa wazazi wake nyumba inauliza niue au nisiue
Mambo ya familia waachie wenyeweMdogo wa Martha Mwaipaja aanika mabaya ya dada yake akidai kuwa Martha Mwaipaja ana fedha nyingi sana lakini hamsaidii mama yake vilevile akidai kuwa amejitenga na ndugu zake
Tazama Video hizi kwa utulivu
hawakumbuki maneno ya wahenga, "mtegemea cha nduguye hufa maskini"Ndugu wapuuzi sana sometimes.