Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Actually watoto wa kike siku hizi ndiyo wanajali sana wazee wao kuliko hata wa kiume. Na hii haijalishi kama hao wazazi wana pesa ama la! Nina mifano mingi sana.Nimeshangaa sana huyo jamaa kuwasema wadada. Wengi sio wachoyo na wanatunza wazazi wao. watakuwepo ambao sio wema lakini ni wachache.
Naam!Hizi ndio harakati za mtu mweusi
Huyu sio Rehema,ulisoma habari za mtu mwingineNilisoma comment moja inasema huyu Rehema ni Malaya kaliwa na mumewe Martha hahaha mashemeji buana
Kumbe ni imani ya mambo ya "mapepo"? Simlaumu kwa kujitenga nao.Mdogo wa Martha Mwaipaja aanika mabaya ya dada yake akidai kuwa Martha Mwaipaja ana fedha nyingi sana lakini hamsaidii mama yake vilevile akidai kuwa amejitenga na ndugu zake
Tazama Video hizi kwa utulivu
Ahsante kwa uchangia!Nachojua huyo Dada ana abudu katika Giza sio pesa tu anatembelea latest cars .
Ukienda Mbezi Kwa zena anakopanga Simba la masimba utamkuta trip hazikauki .
Inshort huyo anayelalamika aachane na hayo mambo ya kulalamika hizi pesa asione watu wanazo
Kuna hidden sacrifices ambazo sio kila MTU anaweza kufanya .
Wadada wengi wapo hivyo. Ukikuta ni mchoyo basi amerogwa kama dada yetu Martha Mwaipaja😀Nimeshangaa sana, ninapokuwa na dada zangu hupenda kugharimia kila kinachohitajika, ukitoa pesa unaambiwa rudisha mfukoni, sisi tutafanya!! Nimeshangaa mwenzangu dada zake wachoyo!!
Kuna situation moja niliishangaa sana, dada alikuja na shemeji, wakiwa pamoja wakanipa pesa, baadaye kila mmoja kwa upekee akanipa pesa, kwa kweli sikuelewa maana yake.
swal la msingi sana hili,Fedha ni zake au za urithi?
Wachungaji sio Waganga wa Kienyeji.....! Wala Mungu hafanyi kazi Kwa namna ya Kibinadamu...!Tatizo ni hao wanaojidai kumtoa mapepo na hawana uwezo huo
Tatizo ni hao wanaojidai kumtoa mapepo na hawana uwezo huo
Pesa za masharti hizo, uwa ndugu wa karibu hawazigusagi kabisa.Hafananii na matendo yake
Nawe ni mwezako nini, mbona unamfunika na shuka ?Hakuna anaejitenga bila kutengwa akifanikiwa ndio anaonekana wa maana ila kabla alidharauliwa sana
Hiyo mikoa haina umasikini wa kutisha ila haina matajiri wa kutisha vilevile.Huwa nikisikia mtu wa Mbeya,Makambako,Njombe amefanikiwa kiuchumi wakati katokea kwenye umasikini wa kutisha huwa nakuwa na mashaka nao sana,mnisamehe watu wa huko,nina mifano japo michache....
Kwa hiyo, wewe mwenye mawazo ya kitajiri vipi unawasaidia wazazi wako?Akili na mawazo ya kifukara. Pole sana.