Kumbe na Hamas wanaweza kutengeneza propaganda za kitoto hivi na raia wakaamini? ππππ
Halafu leo hii hao hao hamas waliotengenezwa na Israel wanakujavamia Israel kuua na kuteka raia kisha kuanza kuwaua askali wa Israel walioingia gaza π€π€Usichoelewa ni kuwa Israel alisaidia kuanzishwa HAMAS ili kutengeneza utengano Palestina.
Sera zile zile za CCM na upinzani Tanzania. Kwani CCM inataka umoja wa upinzani?
Israel haikutaka umoja wa akina PLO; HAMAS, PIJ na vikundi vingine ilikuwa Kwa maslahi yake zaidi.
Mkumbushe pia hata mujahideena (al qaeda) ilitengenezwa na Marekani ili ipambane na USSR ilipovamia Afghanistan.Usichoelewa ni kuwa Israel alisaidia kuanzishwa HAMAS ili kutengeneza utengano Palestina.
Sera zile zile za CCM na upinzani Tanzania. Kwani CCM inataka umoja wa upinzani?
Israel haikutaka umoja wa akina PLO; HAMAS, PIJ na vikundi vingine ilikuwa Kwa maslahi yake zaidi.
Hakuna ambae anataka kuingia vitani na Iran direct! Sio Marekani wala sio Israel na sababu kuu na hasara itakayopatikana kutokana na vita hiyo!
Mossad kwa kushirikiana CIA walikuwa wanauwaua sana wataalam wa Nuclear wa Iran kwa kutengeneza mashambulizi ya kigaidi ndani ya Iran! Kuna siku uliwahi kusikia Mossad akikiri kuhusika? Au Marwkani akiliri kuhusika? Basi hakuna anaetaka vita kamili na Iran.
Vita ni mbaya sana tunaomba ceasefire ......mateka kuachiliwa
Irani hatakuja kuvamiwa kijeshi na taifa lolote maana matokeo ya vita hivyo yatakua mabaya sana sio mashariki ya kati pekee bali dunia nzima kwa ujumla.
Hakuna taifa lolote ulimwengu la kuanzisha vita vya moja kwa moja na Iran au Korea kaskazin
Wataishia kwenye vikwazo na mikwara tuu
Siku yake roho ikiondoka tutamuangalia live anaenda kuliwa na mchwa. Hakuna atakaemsaidia.1. Joe Biden ametimba Camp David kinafiki kwa mapumziko ya Christmas; masikitiko yake kulikoni Iran hajichanganyi Gaza?
2. Kwenye simu yake na Natenyahu kabla ya kuelekea mapumzikoni, amempa Natenyahu baraka zote: "kazi iendelee, Mungu si Athumani."
3. Kwake yeye, kila shambulizi dhidi ya Israeli mtuhumiwa awe Iran, mwenye tuhuma yeye; alipo subira yavuta kheri:
View attachment 2851314
View attachment 2851315
View attachment 2851316
4. Wenye kuyafanya mashambulizi wanathibitisha, ila mwenye lake jambo sasa:
View attachment 2851317
View attachment 2851320
5. Pole yao wapalestina, mchawi marekani; Israel kama paka huyo katumwa tu, wao ni mbagusilo, mlengwa ni Iran.
6. Wanafiki wameamua kufunika kombe mwanao kharamu apite.
7. #6 Hapo, yaani kila mtu na apambane na hali yake.
8. Ila ukweli mchungu:
View attachment 2851323
Anatafutwa kivipi tena kwani hawajui iran ilipo jamani
Hivi ISRAEL huwa wanasherehekea krismass kiserikali? , namaanisha je sikukuu ya xmass inatambulika na serikali ya huko.!?
Maana naona ligi za nchi nyingi zinasimama kupisha xmass.
π€π€π€π€
Ety umvutie mtegoni kwa hizo proxywars Kama Hezbollah na houthi pamoja na teknolojia anayowapa Hamas ya kutengeneza siraha hasa maroketi na maandaki huoni Kama amefanikiwa pakubwa na Hana haja ya kujiingiza huko Ila alishakubali kuwa anawasapoti waziwazi, Sasa kwanini wasimfuate kwake wamkung'ute, π hapo hamna jipya ni danganya toto tu maana wanajua mziki wake.1. Tofautisha kumvamia Iran na kumvutia mtegoni akung'utwe.
2. Haipo siri kuwa nguvu za Iran zinaongezeka na hiyo Marekani na Israel ni kitisho kisichopaswa kupuuzwa.
Ety umvutie mtegoni kwa hizo proxywars Kama Hezbollah na houthi pamoja na teknolojia anayowapa Hamas ya kutengeneza siraha hasa maroketi na maandaki huoni Kama amefanikiwa pakubwa na Hana haja ya kujiingiza huko Ila alishakubali kuwa anawasapoti waziwazi, Sasa kwanini wasimfuate kwake wamkung'ute, π hapo hamna jipya ni danganya toto tu maana wanajua mziki wake.
Kinachowauma wamerekani na israle na kuwaongezea uoga ni kuwa irani imeeekewa vikwazo kila kona na umoja wa ulay ili kumdhoofisha kama walivyofanya kwa sadam lakin jamaa ndo anaimarika kijeshi kila siku , huu na kwa sasa nadhani wameishiwa vikwazo la bda waanzishe vita ambayo itagharim uchumi wa dunia nzimaIrani hatakuja kuvamiwa kijeshi na taifa lolote maana matokeo ya vita hivyo yatakua mabaya sana sio mashariki ya kati pekee bali dunia nzima kwa ujumla.
Vikao vinaendeleaHiyo coalition ya red sea imeishia wapi?
Wenyewe wanashangaa iran amwewezaje kufika hapo kila wakifikiria available option othe tablet hawana zaidi ya sanction ambazo hazina athari tena1. Kwa maana hiyo hii ni mikwara kumrai Iran asiingie.
Au:
2. Ni kumweka busy Iran asiunge mkono kama anavyofanywa west bank.
Usiwe punguani wewe mauaji ya watoto Gaza na raia wasiokuwa na hatia unadhani yatapita hivi kama vile wanauwa panya vita ndiyo vinaanza. visasi lazima vilipwe.Hii dunia haiwezi kutulia as long mtaendelea kuzalisha magaidi