- Thread starter
- #121
Kwa hiyo mwenzako amekupa fact ww unakaza fuvu shauri yako
Kwa hiyo wewe fact ni ile unayotaka wewe? Hapo sasa ndipo wewe unakuwa umelegeza fuvu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo mwenzako amekupa fact ww unakaza fuvu shauri yako
Sio ndogo ni kama wilaya kimoja tu, Dar es salaam ni 1340 Square kilometers na Ghaza ni 340 tu Square kilometers sasa sijui kama Kinondoni au Ilala. Vita vya ardhini havina mwenyewe hata USA wazuri kupiga kwa mbali makombora melini au ndege lakini ukiwaweka ardhini hamna kitu tumeona yaliyowakuta Vietnam, Somali na Afghanstan.1. Mapema leo:
View attachment 2851676
2. Jana:
View attachment 2851678
3. Anapigana na nani huko wakati Gaza ni ndogo kuliko dar, ana vifaru, madege yenye watu hadi drones?
Wanajua haitakuwa vita na Iran bali itakuwa vita na axis of resistance by iran tegemea nchi 5 zitaingia vitani kuitetea iran hii haitakuwa weak isolated Iraq ya saddam hussein.Hakuna ambae anataka kuingia vitani na Iran direct! Sio Marekani wala sio Israel na sababu kuu na hasara itakayopatikana kutokana na vita hiyo!
Mossad kwa kushirikiana CIA walikuwa wanauwaua sana wataalam wa Nuclear wa Iran kwa kutengeneza mashambulizi ya kigaidi ndani ya Iran! Kuna siku uliwahi kusikia Mossad akikiri kuhusika? Au Marwkani akiliri kuhusika? Basi hakuna anaetaka vita kamili na Iran.
Waulize mazayuni walikua wapi kabla ya 1948walikuwa wapi before 1948 hadi hivi sasa wamebakia wapalestina wachache kama mkoa mmoja wa tz?
Kinondoni na ilala kubwa sana kwa ukanda wa ghazaSio ndogo ni kama wilaya kimoja tu, Dar es salaam ni 1340 Square kilometers na Ghaza ni 340 tu Square kilometers sasa sijui kama Kinondoni au Ilala. Vita vya ardhini havina mwenyewe hata USA wazuri kupiga kwa mbali makombora melini au ndege lakini ukiwaweka ardhini hamna kitu tumeona yaliyowakuta Vietnam, Somali na Afghanstan.
Hamas kundi teuleMtakufa temaneni na Myahudi, panafanywa shamba pale
Halafu nimeona mnaanza ugomvi na Wahindi, yaani nilikuambia popote mnaanzisha ugomvi ninaunga hao wa upande wa pili, hapa sasa natamani kusikia Wahindi wameanza kuawasaka India na kuwapa kichapo
Meli yenye Wahindi yapigwa na drone ya Iran
Mnapenda kulazimisha ugomvi kote kisha mnalia lia kwamba mnaonewa, fahamuni kwamba Wahindi nao ni kama Wayahudi, hupiga sana, temaneni nao, yaani kwenue maugomvi yenu temaneni na Wayahudi, Wahindi, Wachina. Shobo zenu tufanyieni sisi. ===== https://www.youtube.com/watch?v=tdcWFEf-zQI A...www.jamiiforums.com
Ni kama Gongo la mboto tuKinondoni na ilala kubwa sana kwa ukanda wa ghaza
Ukanda wa ghaza nikaeneo kadogo sana sanaaaaaaaa
Ila mazayuni mpaka leo yanataabika napo tu nahayatafanikiwa
Hiyo italazimisha Israel iifagie Gaza yote ili maisha yaanze upya.Usiwe punguani wewe mauaji ya watoto Gaza na raia wasiokuwa na hatia unadhani yatapita hivi kama vile wanauwa panya vita ndiyo vinaanza. visasi lazima vilipwe.
Majibu tutapata tu wacha mabomu yanyeshe ili mabomu wayaite "mubumu"Waulize mazayuni walikua wapi kabla ya 1948
Wapalestine hawatishwi na mabomu tenaMajibu tutapata tu wacha mabomu yanyeshe ili mabomu wayaite "mubumu"
Sawa, sisi yetu macho na mb, hivyo vilio hatusikilizi tena.Wapalestine hawatishwi na mabomu tena