Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
usije hata siku moja kufanya makosa kuamin kwamba Marekani hana uwezo kupiga taifa lolote bila msaada wowote. of course wahurthu yemen ni wadogo sana, na marekani anaona kama anapoteza silaha kupiga panzi. anatamani Iran, ipatikane sababu ya msingi kuingia Iran, na haipati.Hiyo coalition ya red sea imeishia wapi?