Beberu anamtaka sana Iran ajiingize Gaza

Beberu anamtaka sana Iran ajiingize Gaza

Nentanyau leo kasema ni siku nzito sana leo kwani wamepoteza askari 14 na mapigano makali. Ila kasema hawana budi lazima waendelee tu mpaka wakomboe mateka wote, sasa kweli akili za kawaida tu unataka kukomboa watu 200 sijui lakini umepoteza askari 153 na vita bado na hujui lini utafikia target. Ila nilivomuona leo akiongea unaona mtu ana stress mimi nadhani ali underestimate hii kazi. Vita vya siku hizi vigumu sana maana silaha ndogo bei rahisi zinaleta maafa makubwa. Hawa Houthi wanatumia drone za alfu 2 ma USA kuzitungia anatumia kombora la mil 2 bado gharama za patrol, hivi hawa jamaa wana akili kweli? sawa na kuuza mbuzi ushinde kesi ya Kuku.
 
Nentanyau leo kasema ni siku nzito sana leo kwani wamepoteza askari 14 na mapigano makali. Ila kasema hawana budi lazima waendelee tu mpaka wakomboe mateka wote, sasa kweli akili za kawaida tu unataka kukomboa watu 200 sijui lakini umepoteza askari 153 na vita bado na hujui lini utafikia target. Ila nilivomuona leo akiongea unaona mtu ana stress mimi nadhani ali underestimate hii kazi. Vita vya siku hizi vigumu sana maana silaha ndogo bei rahisi zinaleta maafa makubwa. Hawa Houthi wanatumia drone za alfu 2 ma USA kuzitungia anatumia kombora la mil 2 bado gharama za patrol, hivi hawa jamaa wana akili kweli? sawa na kuuza mbuzi ushinde kesi ya Kuku.

1. Mapema leo:

IMG_20231223_222306.jpg


2. Jana:

IMG_20231223_093546.jpg


3. Anapigana na nani huko wakati Gaza ni ndogo kuliko dar, ana vifaru, madege yenye watu hadi drones?
 
Usiwe punguani wewe mauaji ya watoto Gaza na raia wasiokuwa na hatia unadhani yatapita hivi kama vile wanauwa panya vita ndiyo vinaanza. visasi lazima vilipwe.
Yaani muwachokoze wenye, wawasukumie moto muanze kulaumu...😄😄😄😄
 
Nimsome literally or metaphorical?

Uliona alichoandika?

Huyu mwamba namwelewa hasira zake:

1. Joe Biden kwa umri wake na zaidi a democrat president; kinachoendelea, dunia haiafiki.

2. Kwa umri wake tunaweza kumtangulia, lakini anayo miaka 20 bado duniani?

3. Kulikoni kutokujikita katika haki?

Ukweli kuhusu Gaza, usiopendwa na wakristo wasio haki

4. Si kuwa ni undumila kuwili wa wazi tu, uliotamalaki kwenye kadhia hii?
 
Ni mtu mjinga tu anayefikiri ugaidi unazalishwa na uislamu.wenye akili wanajua ugaidi unatengenezwa na Marekani ili kuleta instability.ili kutawala vizuri maeneo mbalimbali kwa sababu watu wakiwa wamoja ni vigumu kuwatawala.Mfano ukifuatilia vizuri hata osama alikuwa assert ya CIA.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Ni mpumbavu ndiye anayeamini nchi moja inaweza kutengeneza ugaidi duniani.
 
Dunia haiwezi kua na amani maadam United Shits Of Americant ipo na israhell ipo
Hayo mapuuzi mawili hapo juu ndio tatizo la amani ya dunia wakishirikiana na shoga zao EU NATO na G7
Mudi aliwaharibu mno na hicho kitabu chenu kinachowabagua wasio wa imani yenu na kuwaita majina ya ajabu ajabu na tena kikiwaeleza kutumia jambia kuwakata binadamu wenzenu vichwa.
 
Kuchokozwa huku ni kupi ndugu?
Muisrael anaishi kwake na nyie kwenu, kawapatia maji umeme na ata ajira ila bado mnamvamia kuuwa raia na kuteka na hadi leo mmegoma kuachia watu wake na bado mnataka huruma na usuruhishi ....🤔🤔🤔
 
Kuua mazayuni yaliopo israhell ni halali kama uwezo unao!!!
Kwa sababu hao Israel siyo watu na nyie ndiyo binadamu mnaopaswa kuishi kwenye ulimwengu huu.....😄😄😄..

Wacha ya mabomu inyeshe tujue kesho mtalala wapi..😄😄
 
Hakuna ambae anataka kuingia vitani na Iran direct! Sio Marekani wala sio Israel na sababu kuu na hasara itakayopatikana kutokana na vita hiyo!

Mossad kwa kushirikiana CIA walikuwa wanauwaua sana wataalam wa Nuclear wa Iran kwa kutengeneza mashambulizi ya kigaidi ndani ya Iran! Kuna siku uliwahi kusikia Mossad akikiri kuhusika? Au Marwkani akiliri kuhusika? Basi hakuna anaetaka vita kamili na Iran.
Ikitokea unadhani nani ataumia zaidi?
 
Irani hatakuja kuvamiwa kijeshi na taifa lolote maana matokeo ya vita hivyo yatakua mabaya sana sio mashariki ya kati pekee bali dunia nzima kwa ujumla.
Iran ni rahisi kupigika kijeshi kuliko Hamas sababu Iran ni jeshi kamili na sio wanamgambo
 
Ndio mkampige Sasa sio maneno tu.

Mbwembwe nyingi utendaji sifuri, fanyeni tuone mmefanya. Mbona anawantima laha na hamna kitu mnafanya. Hii Dunia yetu site, Kila mtu Aishi Kwa matakwa yake sio pimbi mmoja ampangie mwenzie.
 
Huyu mwamba namwelewa hasira zake:

1. Joe Biden kwa umri wake na zaidi a democrat president; kinachoendelea, dunia haiafiki.

2. Kwa umri wake tunaweza kumtangulia, lakini anayo miaka 20 bado duniani?

3. Kulikoni kutokujikita katika haki:

Ukweli kuhusu Gaza, usiopendwa na wakristo wasio haki

4. Si kuwa ni undumila kuwili wa wazi tu, uliotamalaki kwenye kadhia hii?
Off point.

Where is your target?

Ume quote mtu siye mkuu.
 
Back
Top Bottom