1. Joe Biden ametimba Camp David kinafiki kwa mapumziko ya Christmas; masikitiko yake kulikoni Iran hajichanganyi Gaza?
2. Kwenye simu yake na Natenyahu kabla ya kuelekea mapumzikoni, amempa Natenyahu baraka zote: "kazi iendelee, Mungu si Athumani."
3. Kwake yeye, kila shambulizi dhidi ya Israeli mtuhumiwa awe Iran, mwenye tuhuma yeye; alipo subira yavuta kheri:
4. Wenye kuyafanya mashambulizi wanathibitisha, ila mwenye lake jambo sasa:
5. Pole yao wapalestina, mchawi marekani; Israel kama paka huyo katumwa tu, wao ni mbagusilo, mlengwa ni Iran.
6. Wanafiki wameamua kufunika kombe mwanao kharamu apite.
7. #6 Hapo, yaani kila mtu na apambane na hali yake.
8. Ila ukweli mchungu:
2. Kwenye simu yake na Natenyahu kabla ya kuelekea mapumzikoni, amempa Natenyahu baraka zote: "kazi iendelee, Mungu si Athumani."
3. Kwake yeye, kila shambulizi dhidi ya Israeli mtuhumiwa awe Iran, mwenye tuhuma yeye; alipo subira yavuta kheri:
4. Wenye kuyafanya mashambulizi wanathibitisha, ila mwenye lake jambo sasa:
5. Pole yao wapalestina, mchawi marekani; Israel kama paka huyo katumwa tu, wao ni mbagusilo, mlengwa ni Iran.
6. Wanafiki wameamua kufunika kombe mwanao kharamu apite.
7. #6 Hapo, yaani kila mtu na apambane na hali yake.
8. Ila ukweli mchungu: