"Bebi niazime gari leo, nina mizunguko flani". Hiki kikombe mnakiepukaje wadau?

Kama Uchumi wako wa kifala usimpe ....hawakawiii kipigisha mzinga....we chakufanya mpe pesa ya kuzunguka na UBER siku nzima...kama kweli anashida ya usafir....otherwise uyo anataka akafanye showoff tu kwa rafk zake
 
Hahaha duuh!
 
The Man's happiest moment..is the man's weakest moment.. Epuka kuahidi kitu ukiwa na furaha sana hasa ukiwa juu ya kifua cha mchepuko.
Ukimpatu utashangaa anaenda nalo salon na kuanza kujifajilia kapewa na baby wake tena jirani yake aliyekwenye drier akiwa mkeo.
 
Ujumbe umefika una mandinga kadhaa.
 
Sasa kama ushafikia maamuzi, umekuja kutokwa povu huku la nin
 
Mwombe umsindikize ktk hiyo mizunguko, hapo utaondoa utata na utaonyesha kujali zaidi.
Nikwel,ila,sidhan kama ntakua nmekata,kiu yake na nahis bif lazma liwepo,..maana anataka gar ili akaoshe kwa wenzie
 
.....hauko pekee yako Mkuu kuna wengine wako rough sana katika uendeshaji wao, hukawii kujutia uamuzi wa kumuazima mtu gari yako.
Naam,..na kwa watunzaj kama sis ambao had leo ndinga haina scratch,..atakua hajanitendea hak
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…