Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Huu uchafu ndio unaitwa mabehewa ya kisasa?pathetic
Kwanamna dikteta JPM alivyopenda kutesa na kuua watu wasiomtaka na kwa jinsi alivyojiona naye ni mungu fulani, kifo chake kiliepusha mambo mengi sana.Nawaambia hivi hakuna siku itapita bila kumkumbuka jpm.
Juzi nililia kweli, nilikuwa kijiji fulani huko ndani ndani wakawa wanalaamika umeme, mara babu akasema "nilinunua jenereta ili tuwe tunaangalia tv tumuone magufuli " baada ya kifo chake babu anasema hajawahi kununua mafuta wala kuwasha jenereta.
Nikawaza huyu magufuli alikuwa ni nani watu hawana umeme kijijini ila wanaweka jitihada za kumuona hata kwenye taarifa ya habari. Na wakasema jpm angekuwa hai umeme wangekuwa washapata maana nguzo jpm alikwisha peleka kule kabla ya kifo chake.
Ni kweli kabisa wakati jpm. Yupo hata wewe usiempenda unaesoma hapa ulikuwa unamfatilia kwa karibu, ulitaka kujua leo jpm alikuwa wap? Leo jpm kaongea nini? Leo jpm kamtumbua nani? Leo jpm kafanya wapi ziara za kushutukiza.
Nyie watu Mungu alileta huyu mtu duniani kwa njia ya tofauti sana.
Yaani mtu anamchukia jpm ila taarifa ya habari yeye ndo wa kwanza kuwasha tv ili amuone tu.
Hivi hili mnaliwaza au mpo mnapinga pinga na akili zenu za ajabu?
Mnaweza sema sisi tunaoumizwa na kifo cha jpm ndo tunateseka ila niwaambie hata nyie msiompenda mnammiss sana jpm
Kubwa kuliko yote hata wapinzani wamemmiss chuma ya chato.
Rip jpm wetu.
CCM wameshapiga chaoHaya mabehewa ni mazuri sana kwa Utalii na Watalii
Pia Bongo movie watayapenda kwa ajili ya karate juu ya treni wakati inatembea
DuhHaya mabehewa ni mazuri sana kwa Utalii na Watalii
Pia Bongo movie watayapenda kwa ajili ya karate juu ya treni wakati inatembea
Aiseee 😀,sisi watanganyika tutubu sijui tulimkosea nini MUNGU
Nawaambia hivi hakuna siku itapita bila kumkumbuka jpm.
Juzi nililia kweli, nilikuwa kijiji fulani huko ndani ndani wakawa wanalaamika umeme, mara babu akasema "nilinunua jenereta ili tuwe tunaangalia tv tumuone magufuli " baada ya kifo chake babu anasema hajawahi kununua mafuta wala kuwasha jenereta.
Nikawaza huyu magufuli alikuwa ni nani watu hawana umeme kijijini ila wanaweka jitihada za kumuona hata kwenye taarifa ya habari. Na wakasema jpm angekuwa hai umeme wangekuwa washapata maana nguzo jpm alikwisha peleka kule kabla ya kifo chake.
Ni kweli kabisa wakati jpm. Yupo hata wewe usiempenda unaesoma hapa ulikuwa unamfatilia kwa karibu, ulitaka kujua leo jpm alikuwa wap? Leo jpm kaongea nini? Leo jpm kamtumbua nani? Leo jpm kafanya wapi ziara za kushutukiza.
Nyie watu Mungu alileta huyu mtu duniani kwa njia ya tofauti sana.
Yaani mtu anamchukia jpm ila taarifa ya habari yeye ndo wa kwanza kuwasha tv ili amuone tu.
Hivi hili mnaliwaza au mpo mnapinga pinga na akili zenu za ajabu?
Mnaweza sema sisi tunaoumizwa na kifo cha jpm ndo tunateseka ila niwaambie hata nyie msiompenda mnammiss sana jpm
Kubwa kuliko yote hata wapinzani wamemmiss chuma ya chato.
Rip jpm wetu.
Wananchi wanyonge ndio watakaopanda na sio mawaziri au viongozi wengineMwanzo tuliahidiwa hivi[emoji1313][emoji1313][emoji1313]Picha namba 1
Tumeletewa haya mabox Picha namba 2
Ni huzuni[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
View attachment 2424970View attachment 2424971
Usije ukakurupuka! Hizo behewa za ahadi uliwahi kupanda ukaona ndani zikoje; ili ulinganishe na hizi ambazo sisi wengi hatujapanda?Mwanzo tuliahidiwa hivi[emoji1313][emoji1313][emoji1313]Picha namba 1
Tumeletewa haya mabox Picha namba 2
Ni huzuni[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
View attachment 2424970View attachment 2424971
Kaonjesha wa moo kafungashiwa wa meeAah wapi! Double M alikwenda jikoni na akaonja mchuzi au mmesahau.
Aisee kuna wabongo hawana aibu linapokuja suala la 10%!!!!
Mwanzo tuliahidiwa hivi[emoji1313][emoji1313][emoji1313]Picha namba 1
Tumeletewa haya mabox Picha namba 2
Ni huzuni[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
View attachment 2424970View attachment 2424971
[emoji16][emoji16]Haya mabehewa ni mazuri sana kwa Utalii na Watalii
Pia Bongo movie watayapenda kwa ajili ya karate juu ya treni wakati inatembea