Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Jaribu hii mkuuYah version ni ya zamani
Chief niliipata App,lakini baada ya kui install kufunguka inagomaJaribu hii mkuu
Squawker | F-Droid - Free and Open Source Android App Repository
An open-source privacy oriented Twitter/X clientf-droid.org
Yenyewe minimum version ni Android 4.4
Mkuu download hio f-droid, kisha ifungue nenda setting kwenye repository enable archive. Rudi kwenye app search mwenyewe, app karibia zote zitakuja version za zamani ambazo zinakubali simu yako, itakusaidia...Chief niliipata App,lakini baada ya kui install kufunguka inagoma
[emoji106][emoji106]Mkuu download hio f-droid, kisha ifungue nenda setting kwenye repository enable archive. Rudi kwenye app search mwenyewe, app karibia zote zitakuja version za zamani ambazo zinakubali simu yako, itakusaidia...
Hivi ukiwa na hii kitu ndo unabrowse anonymousJaribu hii mkuu
Squawker | F-Droid - Free and Open Source Android App Repository
An open-source privacy oriented Twitter/X clientf-droid.org
Yenyewe minimum version ni Android 4.4
Yah inawezekanaHivi ukiwa na hii kitu ndo unabrowse anonymous
Ipo vizuri kiasi chake, sema Ina upgrade path nzuri sana,Reyzen 5 3500 2.4 GHz kwa gaming ipoje?
Upgrade path nzuri sana hapa sijaelewa mkuu naomba unieleweshe, kuna mtu anataka kuniuziaIpo vizuri kiasi chake, sema Ina upgrade path nzuri sana,
Kama unafahamu sehemu inauzwa bei reasonable pia share.
Unaweza ukabadili cpu ukaweka ryzen 5, 7 ama 9 huko mbele ya safari. I hope ni 3500 (desktop) na sio 3500U (laptop)Upgrade path nzuri sana hapa sijaelewa mkuu naomba unieleweshe, kuna mtu anataka kuniuzia
Ni laptop mkuuUnaweza ukabadili cpu ukaweka ryzen 5, 7 ama 9 huko mbele ya safari. I hope ni 3500 (desktop) na sio 3500U (laptop)
Then hio sio 3500 ni 3500U, ni Equivalent ya intel gen ya 8, graphics zake zipo vizuri kidogo. Around 500K hivi fair price.Ni laptop mkuu
Kuna model tofauti tofauti ila common sana ni sata Ssd na Nvme.Mkuu nahitaji laptop SSD Kwa ajili ya internet na ishu ndogondogo naomba unielekeze ninunue ipi na bei ipoje
Samahan nilikosea kuandika,Kuna model tofauti tofauti ila common sana ni sata Ssd na Nvme.
Angalia laptop yako ina port gani kama ni ya kizamani ina hdd tu basi sata ssd unaweka ila kama ina port ya nvme unaweza ukaweka ssd ya m2 na ukabakisha hdd ya sasa zikafanya kazi zote.
Kama hujui kuangalia niwekee model full ya laptop/desktop nikuchekie.
Budget ni kiasi gani? Nipe rangeSamahan nilikosea kuandika,
Yani nahitaji kununua laptop yenye SSD for internet na issues ndogondogo, kwahyo nataka unielekeze nichukue hipi ambayo ni bora na bei yake ipoje
Rahisi kupata Ryzen 5 3500U ama intel i5 8250U laptop zake zipo nyingi mtaani, tafuta tu brand unayo penda, ikiwa na hio M2 slot itakua vizuri zaidi ili usipoteze nafasi ya kuwa na storage kubwa zaidi.Laki 5
Mkuu brand new HP ProBook 635 Aero G7 kwa 800k ni sawa??Kwa Desktop
200,000-300,000
Tafuta machine za Ryzen Amd kama Ryzen 2400G hizi as cheap as 230,000 then nunua Aliexpress ram mbili za 8GB around 2900mhz utacheza games hizi za kibongo bongo hadi 1080p low setting.
300,000+
Tafuta intel generation ya 8 kama i5 8400, 8500 ama i7 8700 hizi, nyingi hizi unazipata around laki 4 hivi, halafu baadae mdogo mdogo uta upgrade gpu.
Tofauti na hapo ni uandae zaidi ya milioni kupata cpu za kisasa za Amd/intel kuanzia Zen 3 ama gen ya 12.
Kwa Laptop
Uhakika kabisa kupata laptop nzuri ni intel Gen ya 10 kupanda ama Ryzen 5 4xxx series kupanda, hizi kibongo bongo nyingi zinaanzia laki 8 hivi, japo unaweza zipata chini ya hapo pia.
Kama unatafuta nje ebay unaweza pata bei chini kidogo.
Alternative ni kutafuta laptop za zamani zenye dedicated gpu, mfano intel gen ya 8 zenye Nvidia gpu.
Kuna possibility kubwa mkuu ni mtumba, ni laptop ya zamani ngumu kuipata mpya.Mkuu brand new HP ProBook 635 Aero G7 kwa 800k ni sawa??