Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh! mkuu serikali ikope posa tena inataka impose nani..? mnatutisha walahi..🤣Hii nchi ina viongozi matahira.
Kwanini wasiite mwekezaji achakate gesi ya ndani?
Kwanini serikali isikope posa na kujenga kiwanda cha kuichakata hapa nchini?
Haya mambo ya kutoa ruzuku ni utapeli na upigaji
Hapo kwenye red ni 2025 ila mmejisahauSerikali imejikita kuhakikisha inapunguza bei ya mitungi ya gesi ya kupikia na kutoa ruzuku ya asilimia 20 ya mitungi hiyo Ikiwa ni sehemu ya kutekeleza Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kwa mwaka 2024-2034.
Na wewe ukiwemo maana hapo kwenyewe umelalamika kwa hio kaa humo humoTanzania ni ya kwanza nafikiri kwa wingi wa watu wa kulalamika Kila sekunde, Kila dakika na Kila saa na kwa Kila jambo.
Miti niliyoipanda 2015 sasa hivi imekua mikubwa mno na ina matunda ya kutosha, renewable resourcesMpaka yaje yatokee hayo, kuni na mkaa vitakuwa vimetumika mpaka basi. Hizi ni politics
Sawa, kamandaNa wewe ukiwemo maana hapo kwenyewe umelalamika kwa hio kaa humo humo
Elopijiiiiiii ndo niniHii gesi ya elopiji nasikia inatoka nje kama mafuta ya mtwara inaenda nje
Unaishi maeneo gani mwanagenzi. Tanzania ni kubwa tembea uoneMiti niliyoipanda 2015 sasa hivi imekua mikubwa mno na ina matunda ya kutosha, renewable resources
Huku Itilima ndanindani karibu na Gamboshi kwa yule mzee mfuga FisiUnaishi maeneo gani mwanagenzi. Tanzania ni kubwa tembea uone
Wakati huu wa uchaguzi, hakuna "rangi" tutaacha ona..!! Si unaona hata hiyo mitungi ilivyo na "rangi" za kumwaga..!!Serikali imejikita kuhakikisha inapunguza bei ya mitungi ya gesi ya kupikia na kutoa ruzuku ya asilimia 20 ya mitungi hiyo Ikiwa ni sehemu ya kutekeleza Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kwa mwaka 2024-2034.
Naibu Waziri wa Nishati Judith Salvio Kapinga amesema hayo bungeni leo Januari 29 wakati akijibu swali la mbunge wa Viti Maalumu Maryam Azan Mwinyi aliyetaka kujua mkakati wa serikali wa kupunguza bei ya gesi ya matumizi ya nyumbani.
Tatizo sio bei ya mitungi ishu ni gas mkuu. Kama wanawajali kweli wananchi, washushe bei ya gas. Vinginevyo itakuwa ni siasa tu na kuwanufaisha wafanyabiashara.Labda Mtungi mdogo ukiwa aftatu-3000
Unaofatia ukiwa aftisa
Ule mkubwa uwe afkuminatano
Mtungi ukiuzwa aftatu kwa aftisa ndio watu wataacha kutumia mkaa
NASHANGAA WATU WANABWABWAJA KWENYE MIJADALA KAMA HII BILA KUWATAJA WATU WA KAZI KAMA HAWA,Askofu gwajima aliwai ongelea hili swala..
Gwajima ni big brain.
SEMA TATIZO NI CCM anatakiwa apatikane mtu Kama JPM ama TUNDU LISU