Bei ya Mafuta: Rais Samia, badili uongozi wa juu ili wananchi tupate ahuweni

Bei ya Mafuta: Rais Samia, badili uongozi wa juu ili wananchi tupate ahuweni

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Chonde Rais Samia, utuonee huruma wananchi wako. Tunaonba sana, kwa aina ya uongozi wa Juu kabisa uliouweka kwenye nishati, na kama ukiendelea kuwepo tutaumia na kuishia kukulaumu wewe kila uchao.

Pamoja nar udhuku unayo toa, italiwa na mafuta yatazidi kupaa na bei za Vitu vingine vitapanda kila siku.

Uongozi hauna ubunifu kabisa. Mambo yanawakuta mezani tu na hawana ujanja wowote wa kupambana na mambo makubwa.

Kiufupi ni watu walio zoea dili, dili na wao, wao na dili tangu wazaliwe wako hivyo.

Ukiendelea kutoa rudhuku, italiwa na bei zitapanda vilevile.

Futa uongozi wa Juu na Ondoa hiyo rudhuku ikafanye kazi zingine.
 
Tutaongea tu lugha moja, tupande tu daladala, na ninaomba yazidi kupanda ili mchawi wetu tumjue.

Mikodi kibao kt mafuta, miamala uku wao wakidhani hatuumii.

Asante sana mungu na vyakula vipande kilo ya unga ifike elf5 kwan wanajua watanzania ni mafala kama nguruwe huwa hatuumii
 
Tutaongea tu lugha moja, tupande tu daladala, na ninaomba yazidi kupanda ili mchawi wetu tumjue.

Mikodi kibao kt mafuta, miamala uku wao wakidhani hatuumii.

Asante sana mungu na vyakula vipande kilo ya unga ifike elf5 kwan wanajua watanzania ni mafala kama nguruwe huwa hatuumii
Daladala si hadi zitoshe sasa?

Maisha yamekuwa changamoto.
 
Uongozi unahusikaje na bei? Kwanza haifai kabisa kutumia Kodi za Wananchi kuwagharamia mafuta nyie wenye magari wakati hata Bei za vifaa na Nauli hazijashuka.

Unachukua Kodi za Umma afu unaweka ruzuku kwenye mafuta?
 
Wachumi wetu bado Sana, hiyo Ruzuku ya billion 100 ipelekwe kwenye miundo mbinu ya maji Safi na salama itaonekana. Huko kwenye mafuta mmechemsha vibaya sana. Bado sijaona unafuu wowote serikali inapoteza fedha nyingi zinazoishia mikononi mwa wachache.
 
Sasa huyu mwenyewe ndio huyo ,yeye Huwa hajishugulishi kuchimba.

Yeye analetewa mezani nakupitisha .

Ukichanganga na Uanamke wake anaojitetea kila siku .

Basi Majamaa yanajipigia


Aliyempa wazo la Bilion 100, alafu Wabunge wakalipigia makofi, hapo ndipo nilisema TUNA BUNGE LIMEJAA MAMBUMBU KWELIKWELI.

Embu fikiria Majamaa yanapiga Bilion 100, alafu Bado yanakuoandishia Bei za mafuta yaan faida Mara mbili.

Ni Kiongozi mpumbavu pekee ndio anaweza kuukubali Huu upupu.


Sasa Gharama za Maisha tu ndogondogo zimenshinda, haya Majamaa atayaweza ??


Kwa Huyu, Hatuna Rais, tuna Rais Kwa kua Latina imesema.
 
Chonde Rais Samia, utuonee huruma wananchi wako. Tunaonba sana, kwa aina ya uongozi wa Juu kabisa uliouweka kwenye nishati, na kama ukiendelea kuwepo tutaumia na kuishia kukulaumu wewe kila uchao.

Pamoja nar udhuku unayo toa, italiwa na mafuta yatazidi kupaa na bei za Vitu vingine vitapanda kila siku.

Uongozi hauna ubunifu kabisa. Mambo yanawakuta mezani tu na hawana ujanja wowote wa kupambana na mambo makubwa.

Kiufupi ni watu walio zoea dili, dili na wao, wao na dili tangu wazaliwe wako hivyo.

Ukiendelea kutoa rudhuku, italiwa na bei zitapanda vilevile.

Futa uongozi wa Juu na Ondoa hiyo rudhuku ikafanye kazi zingine.
Hawezi kumtoa kipara sababu hajamuweka yeye, yeye kazi yake ni kutangaza tu
 
Mama SSH ana nia nzuri sana na nchi hii sema amezungukwa na mbwa mwitu wabaya sana pande zote.
Ni wapigaji wasio na huruma hata kdg, dawa ni kuachana na haya majizi na kuweka wazalendo na wenye hofu ya Mungu.
 
Mama SSH ana nia nzuri sana na nchi hii sema amezungukwa na mbwa mwitu wabaya sana pande zote.
Ni wapigaji wasio na huruma hata kdg, dawa ni kuachana na haya majizi na kuweka wazalendo na wenye hofu ya Mungu.
Nia nzuri ndio ikoje? Hao waliomzunguka kawaweka nani? Je, yeye hana Akili kubwa ya kujua kuwa waliomzunguka Ni Mbwa Mwitu? Nia Nzuri inaishia kuwa good wishes bila kuwa transformed into positive results? Hivi Vita vya Ukraine athari zake Ni Kwa Tanzania pekee?
 
Back
Top Bottom