Bei ya Mafuta: Rais Samia, badili uongozi wa juu ili wananchi tupate ahuweni

Bei ya Mafuta: Rais Samia, badili uongozi wa juu ili wananchi tupate ahuweni

MKUU
Mtoto wa siku TATU SIO!!?
Nahisi ulikuwa ni ujumbe wa dola KWA mama !
Kupitia stori ya Mtoto au Sio!!?
Ngoja TUONE!!
Ni feedback kuwa machozi na vilio vya Watanzania wanaoonewa na kubebeshwa mizigo ya Kila aina umefika Kwa MUUMBA.

Ni kusubiri ADHABU tu, maana dalili za TOBA hazionekani.
 
Mnashabikia vita ya Urusi afu mnamlaumu Rais
Mama hana Mukono wa Uongozi.

Majanga yanakuja lakini hajui nini afanye badaa yake anasikiliza marekani/uingeleza wanasema nini.
Huyu angekuwa Rais wakati Corona inaanza tungekufa na njaa na vitu vingepanda bei.
 
Back
Top Bottom