Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Nikishashiba sikumbuki Bei ya bidhaa tumbo kitu kingine Ila njaa ikiuma alafu mfuko hauna kitu lawama zote kwa mamaKuna wanaoponda ila kupanda bei maharage ni mfano tu, hapa nazungumzia kupanda bei bidhaa kiujumla, pamoja na mambo mengine ya hovyo yanayoendelea kama migao ya umeme, maji n.k.
Emu hio inflation iweje kwa kiswahili kuna ngumbaru hawakuelewi unamaanisha niniUkilinganisha mwenendo wa bei ya bidhaa na huduma 160 za Tanzania ambazo NBS inatumia kuangalia inflation.
Kwa vitu ivyo ivyo ukiangalia na Kenya si ajabu ukakuta Tanzania bei imepanda kwa bidhaa na huduma nyingi kushinda kwa majirani zetu.
Ajabu sisi tupo kwenye low single digit za inflation na majirani zetu wote inflation ni double digits. Bei ya kufunga umeme tu Tanzania imepanda kwa asilimia 1000% halafu eti national inflation ni 4.7%.
Hakuna ata mtu mwenye kutaka kuwauliza hao NBS watoe hizo bidhaa na wenyewe wajionee hiyo 4.7% ya inflation wanaipataje. Halafu wanatoka hadharani wanajigamba kabisa inflation ni low, kwa data ambazo obvious za kupikwa.
Kipimo cha ‘gharama ya maisha’ kwa kulinganisha bei ya huduma na chakula kwa vipindi tofauti.Emu hio inflation iweje kwa kiswahili kuna ngumbaru hawakuelewi unamaanisha nini
Hapo sasa umeeleweka mkuu,Kipimo cha ‘gharama ya maisha’ kwa kulinganisha bei ya huduma na chakula kwa vipindi tofauti.
Huu ni uongo kabisa ,acha kupotosha tumepita chalinze sokoni hapo. Hamna bei kama hii.Njoo Chalinze kilo 4,200.
Toka hapa na bei zako zakubumba mwanza bei ni 3200 ,2500 ya nyoko!?Bei ya maharage Kibondo ni 2250 TSH, Mpanda 1800 TSH, Kasulu 2100 TSH, Kahama 2400 TSH, Mwanza 2350 hadi 2500 TSH, Tabora 2400 TSH, Singida 2500 TSH, Karagwe 1950 TSH. Nitaendelea kuleta bei za maeneo mbalimbali. Maharage hutofautiana bei kama njano ndefu, njano ya glori na rose coco, nyekundu, kitenge. Bei ni tofauti kwa kila sampo.
Safi Sanaa mkuu wauzie kwa Bei nzuri wanantanzania wale na kushibaNina Maharage mapya ya njano yapo Dar es salaam.
Ninauza shilingi 2500 kwa kilo.
Kwa anae hitaji tuwasiliane kwa namba +255789740368
Asante
Hata Kenya hawajaandamana wote,yamkini hata Kenya Kuna maeneo bei Iko chiniHakuna bei flat Kwa nchi nzima.
Hapahapa Tanzania kuna sehem maharage ni Chini ya 2800 kg .
Angeweka na maharage 4200Hebu weka uthibitisho wa bei ya 2861.
Mpaka hapo mtoa mada muongo mkoani maharage average price ni2500 halafu yeye kasema 4200 yaan impossible hata kama ni mjin daresalamaBei ya maharage Kibondo ni 2250 TSH, Mpanda 1800 TSH, Kasulu 2100 TSH, Kahama 2400 TSH, Mwanza 2350 hadi 2500 TSH, Tabora 2400 TSH, Singida 2500 TSH, Karagwe 1950 TSH. Nitaendelea kuleta bei za maeneo mbalimbali. Maharage hutofautiana bei kama njano ndefu, njano ya glori na rose coco, nyekundu, kitenge. Bei ni tofauti kwa kila sampo.
Nenda Kenya kanunie uje uuze Tz Fursa hiyoAma kweli, ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni. Huu ndiyo uhalisia wa hali zilivyo katika nchi hizi mbili.
Ukiachilia mbali swala la mfumuko wa bei, nina uhakika endapo haya yanayotokea katika shirika la TANESCO na kutesa wananchi kwa migao ya umeme kila kona lingetokea kwa majirani zetu, tayari baadhi ya watu wangeshawajibishwa na umma. Achilia mbali maji, huduma za afya, elimu, miundombinu, ulambaji asali n.k.
Lakini cha kushangaza, Watanzania wako busy na kusifu na kuimba mapambio ya kupongezana kana kwamba sasa Tanzania ni New York kubwa [emoji1].
Ni mwendo wa kupongezana na kusifiana tu! Tanzania mbele kwa mbele! Note: Kuna wanaoponda ila kupanda bei maharage ni mfano tu, hapa nazungumzia kupanda bei bidhaa kiujumla, pamoja na mambo mengine ya hovyo yanayoendelea kama migao ya umeme, maji n.k.
Watu wachukue bei ya juu kabisa kufikiwa eneo lolote nchini (peak), hiyo ndiyo mjadala. Mara nyingi itakuwa kwenye miji au majiji yenye masoko na maduka ya tabaka mbali.Jamaa mbna nyie ni waongo HV Lina maharage yameuzwa Bei hyo ya elf 4200 mnampotosha Nani na kwa manufaha gani
Mm nimlagi wa maharage Bei ya juu sna nanunua kwa kg 3400 ya Chini San 3200 Niko ddm ,ilazo
Nilikuwa dar es salama Bei ilikuwa hvyo hvyo ya 3400 kwa kg SAS unavyosema Bei ni 4200 nawashangaa sna
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kama mandamano ndiyo ufumbuzi, naomba yakisha hayo mandamano uje Tena hapa utueleze, namna bei ilivyopunguaAma kweli, ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni. Huu ndiyo uhalisia wa hali zilivyo katika nchi hizi mbili.
Ukiachilia mbali swala la mfumuko wa bei, nina uhakika endapo haya yanayotokea katika shirika la TANESCO na kutesa wananchi kwa migao ya umeme kila kona lingetokea kwa majirani zetu, tayari baadhi ya watu wangeshawajibishwa na umma. Achilia mbali maji, huduma za afya, elimu, miundombinu, ulambaji asali n.k.
Lakini cha kushangaza, Watanzania wako busy na kusifu na kuimba mapambio ya kupongezana kana kwamba sasa Tanzania ni New York kubwa 😄.
Ni mwendo wa kupongezana na kusifiana tu! Tanzania mbele kwa mbele! Note: Kuna wanaoponda ila kupanda bei maharage ni mfano tu, hapa nazungumzia kupanda bei bidhaa kiujumla, pamoja na mambo menginndsndamsano e ya hovyo yanayoendelea kama migao ya umeme, maji n.k.