Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Ukilinganisha mwenendo wa bei ya bidhaa na huduma 160 za Tanzania ambazo NBS inatumia kuangalia inflation.
Kwa vitu ivyo ivyo ukiangalia na Kenya si ajabu ukakuta Tanzania bei imepanda kwa bidhaa na huduma nyingi kushinda kwa majirani zetu.
Ajabu sisi tupo kwenye low single digit za inflation na majirani zetu wote inflation ni double digits. Bei ya kufunga umeme tu Tanzania imepanda kwa asilimia 1000% halafu eti national inflation ni 4.8% mwezi March.
Hakuna ata mtu mwenye kutaka kuwauliza hao NBS watoe hizo bidhaa na wenyewe wajionee hiyo 4.8% ya inflation wanaipataje.
Halafu wanatoka hadharani wanajigamba kabisa inflation ni low, kwa data ambazo obvious za kupikwa.
Kwa vitu ivyo ivyo ukiangalia na Kenya si ajabu ukakuta Tanzania bei imepanda kwa bidhaa na huduma nyingi kushinda kwa majirani zetu.
Ajabu sisi tupo kwenye low single digit za inflation na majirani zetu wote inflation ni double digits. Bei ya kufunga umeme tu Tanzania imepanda kwa asilimia 1000% halafu eti national inflation ni 4.8% mwezi March.
Hakuna ata mtu mwenye kutaka kuwauliza hao NBS watoe hizo bidhaa na wenyewe wajionee hiyo 4.8% ya inflation wanaipataje.
Halafu wanatoka hadharani wanajigamba kabisa inflation ni low, kwa data ambazo obvious za kupikwa.