Bei ya maharage Kenya ni 2861 Tsh/Kg huku Tz ni 4,200Tsh/Kg lakini wakenya wapo Barabarani huku watanzania tukipongezana miaka 2

Bei ya maharage Kenya ni 2861 Tsh/Kg huku Tz ni 4,200Tsh/Kg lakini wakenya wapo Barabarani huku watanzania tukipongezana miaka 2

Ama kweli, ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni. Huu ndiyo uhalisia wa hali zilivyo katika nchi hizi mbili.

Ukiachilia mbali swala la mfumuko wa bei, nina uhakika endapo haya yanayotokea katika shirika la TANESCO na kutesa wananchi kwa migao ya umeme kila kona lingetokea kwa majirani zetu, tayari baadhi ya watu wangeshawajibishwa na umma. Achilia mbali maji, huduma za afya, elimu, miundombinu, ulambaji asali n.k.

Lakini cha kushangaza, Watanzania wako busy na kusifu na kuimba mapambio ya kupongezana kana kwamba sasa Tanzania ni New York kubwa 😄.

Ni mwendo wa kupongezana na kusifiana tu! Tanzania mbele kwa mbele! Note: Kuna wanaoponda ila kupanda bei maharage ni mfano tu, hapa nazungumzia kupanda bei bidhaa kiujumla, pamoja na mambo mengine ya hovyo yanayoendelea kama migao ya umeme, maji n.k.
Hili ni tatizo litokanalo na Mwenge wa Uhuru. Tambiko la Taifa
 
Hamna kitu kinanikera et kumpongeza mtu kwa kazi aliyoitaka mwenyewe kwa nguvu zote na bado asifanye yaliyotarajiwa alafu mkeshe mkisifia kisa ni utamaduni.... bladenfaka...
Kwani unapompongeza chama Kwa kufunga goli hiyo kazi hakuitaka mwenyewe? Wewe ukiona Huwa hupongezwi? Ulilazimishwa? Acha ujinga na chuki zisizo na msingi.
 
Jamaa mbna nyie ni waongo HV Lina maharage yameuzwa Bei hyo ya elf 4200 mnampotosha Nani na kwa manufaha gani

Mm nimlagi wa maharage Bei ya juu sna nanunua kwa kg 3400 ya Chini San 3200 Niko ddm ,ilazo

Nilikuwa dar es salama Bei ilikuwa hvyo hvyo ya 3400 kwa kg SAS unavyosema Bei ni 4200 nawashangaa sna

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Njoo Chalinze kilo 4,200.
 
Ama kweli, ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni. Huu ndiyo uhalisia wa hali zilivyo katika nchi hizi mbili.

Ukiachilia mbali swala la mfumuko wa bei, nina uhakika endapo haya yanayotokea katika shirika la TANESCO na kutesa wananchi kwa migao ya umeme kila kona lingetokea kwa majirani zetu, tayari baadhi ya watu wangeshawajibishwa na umma. Achilia mbali maji, huduma za afya, elimu, miundombinu, ulambaji asali n.k.

Lakini cha kushangaza, Watanzania wako busy na kusifu na kuimba mapambio ya kupongezana kana kwamba sasa Tanzania ni New York kubwa 😄.

Ni mwendo wa kupongezana na kusifiana tu! Tanzania mbele kwa mbele! Note: Kuna wanaoponda ila kupanda bei maharage ni mfano tu, hapa nazungumzia kupanda bei bidhaa kiujumla, pamoja na mambo mengine ya hovyo yanayoendelea kama migao ya umeme, maji n.k.
Nilitegemea utoke jf uwe Barabarani.kukiwasha kumbe ni wale wale nyumbu tuu.

Unategemea mtoto wa nani akaandamane wewe uwe unatoa updates?
 
Bei ya Jana tu katk soko la mapinduzi jijin DSM Bei ya mazao yameanza kuporomoka had mchele HV Sasa Ni 2800 na maharage nayo hyo

Mkuu sifagilii hi serekali hii ila nasema ninacho ona na kusikiaa siyo sawa kudanganya umma kuwa Bei ya mahareg imegota 4200 haijawai tokea

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sio Kuporomoka ni msimu wa mavuno unaanza Kwa hiyo zitapanda Disemba
 
Bei ya Jana tu katk soko la mapinduzi jijin DSM Bei ya mazao yameanza kuporomoka had mchele HV Sasa Ni 2800 na maharage nayo hyo

Mkuu sifagilii hi serekali hii ila nasema ninacho ona na kusikiaa siyo sawa kudanganya umma kuwa Bei ya mahareg imegota 4200 haijawai tokea

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mapinduzi hapo Mwananyamala?
 
60kshs ni Sawa na 1000tshs ,umepigaje hesabu Yako ,Ili ujue kwann wakenya wanaitika wito wa raila odinga ,ichukue hiyo bei ya Kenya harafu ichenji kwapesa ya Tanzania harafu uje na bandiko jipya hapa
 
Ama kweli, ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni. Huu ndiyo uhalisia wa hali zilivyo katika nchi hizi mbili.

Ukiachilia mbali swala la mfumuko wa bei, nina uhakika endapo haya yanayotokea katika shirika la TANESCO na kutesa wananchi kwa migao ya umeme kila kona lingetokea kwa majirani zetu, tayari baadhi ya watu wangeshawajibishwa na umma. Achilia mbali maji, huduma za afya, elimu, miundombinu, ulambaji asali n.k.

Lakini cha kushangaza, Watanzania wako busy na kusifu na kuimba mapambio ya kupongezana kana kwamba sasa Tanzania ni New York kubwa 😄.

Ni mwendo wa kupongezana na kusifiana tu! Tanzania mbele kwa mbele! Note: Kuna wanaoponda ila kupanda bei maharage ni mfano tu, hapa nazungumzia kupanda bei bidhaa kiujumla, pamoja na mambo mengine ya hovyo yanayoendelea kama migao ya umeme, maji n.k.
Sijasoma kilichoandikwa ndani ya mada yenyewe, lakini kichwa cha mada kinajitosheleza kabisa.

Pongezi kwa ufundi wako wa kupanga maneno vizuri.
 
Inafanyika kampeni kubwa sana ya kujaribu kuwaaminisha watu kuwa awamu ya sita imefanya miujiza. Magazeti karibu yote, radio, tv nk wanaimba mapambio. Kiuhalisia hali ya maisha imekuwa mbaya sana kipindi hiki sababu kubwa ni kuongezeka kwa kasi ya ufisadi na mafisadi papa kuwa sehemu ya utawala wa awamu ya sita
Bonge la point.
 
Bei ya maharage Kibondo ni 2250 TSH, Mpanda 1800 TSH, Kasulu 2100 TSH, Kahama 2400 TSH, Mwanza 2350 hadi 2500 TSH, Tabora 2400 TSH, Singida 2500 TSH, Karagwe 1950 TSH. Nitaendelea kuleta bei za maeneo mbalimbali. Maharage hutofautiana bei kama njano ndefu, njano ya glori na rose coco, nyekundu, kitenge. Bei ni tofauti kwa kila sampo.
Utanisamehe kwa kukuita mwongo na hizo bei ulizoweka hapa. Naomba radhi kwa sababu sikutegemea nawe uwe sehemu ya upotoshaji.
 
Bei ya maharage Kibondo ni 2250 TSH, Mpanda 1800 TSH, Kasulu 2100 TSH, Kahama 2400 TSH, Mwanza 2350 hadi 2500 TSH, Tabora 2400 TSH, Singida 2500 TSH, Karagwe 1950 TSH. Nitaendelea kuleta bei za maeneo mbalimbali. Maharage hutofautiana bei kama njano ndefu, njano ya glori na rose coco, nyekundu, kitenge. Bei ni tofauti kwa kila sampo.
Na huu ndio ukweli sahihi.
 
Back
Top Bottom