Bei ya Petroli, Dizeli Oktoba sasa kitonga, sababu za kushuka zatajwa

Bei ya Petroli, Dizeli Oktoba sasa kitonga, sababu za kushuka zatajwa

Tanzania inavichaa wengi.petroli ilikuwa 3140 Kwa Sasa yatauzwa 3011 he alafu kunamjinga anakenua meno uh ameungua bei.Huu ni ujinga wa hali ya juu.kuna Nchi zinapitisha mafuta kwenye barabara zetu lakini kwao mafuta wanauza 2200petroli. Cement Kwa Sasa imepanda na kuuzwa 18000kutoka 15000 halafu Kuna vichaa wanaofurahia madudu
 
Kuna kigogo mmoja huko huko ndani ya chama Chao nilishangaa sana kumsikia akisema kwamba Mwenyekiti wao wa sasa "hana mvuto wa kisiasa," Mimi binafsi nilishitushwa Sana na kauli hiyo, ila lakini baadaye nilimwelewa kwamba alikuwa anamaanisha nini.
 
 
Utashangaa CHADEMA watanuna kwa taarifa hizi nzuri.maana mioyo na akili zao wanazijuwa wenyewe.wanatakaga kusikia mabaya tu kwa Taifa letu.

UAE: Petrol, diesel prices for October 2024 announced​

Here's how much it will cost to tank up your car this month​

by

Web Desk​






  • Follow us on
  • google-news
  • whatsapp
  • telegram

Top Stories​


9-day holiday in UAE: Staycation demand rises as families plan half-term school breaks​



Babar Azam resigns as Pakistan cricket team captain​



Dubai will not face overtourism in the foreseeable future, say industry experts​




Published: Mon 30 Sep 2024, 9:47 AM
Last updated: Mon 30 Sep 2024, 10:26 AM
The UAE fuel price committee has announced petrol and diesel prices for the month of October 2024. The new rates will apply from October 1 and are as follows:
  • Super 98 petrol will cost Dh2.66 a litre, compared to Dh2.90 in September.
  • Special 95 petrol will cost Dh2.54 per litre, compared to the current rate of Dh2.78.
  • E-Plus 91 petrol will cost Dh2.47 a litre, compared to Dh2.71 a litre in September.
  • Diesel will be charged at Dh2.6 a litre compared to the current rate of Dh2.78.
Stay up to date with the latest news. Follow KT on WhatsApp Channels.

Burj Khalifa Fountain Show










Burj Khalifa Fountain Show
Burj Khalifa Fountain Show









Petrol prices were expected to drop for October as global oil prices remained subdued in September.
Brent oil prices averaged nearly $73 a barrel in September compared to $78.63 a barrel in August due to multiple factors such as firmer supply and news about Saudi Arabia planning to increase production.


Mapunguani someni habari za duniani.
Tanzania haizalishi mafuta
Bibi yenu hana mamlaka na kushusha bei,
labda aondoe kodi wajinga ninyi
 
Yaani wewe ni shetani haswa, kwa hiyo hata yakipanda huwa anayapandisha yeye na siyo soko la dunia? jinga sn
 
Ni kwamba unatania au hauelewi bei ya mafuta bado ni mtihani!?? Serious kabsa! Hata kama ni mapambio yamezidi sasa! Kwamba unampa hongera SAMIA kwa hili!
Ebu nenda uwaulize kwanza wadau wa usafirishaji upate picha za gharama ya mafuta inavyowaumiza.
Kwa hiyo kumbe yakipanda huwa anayapandisha yeye na siyo soko la dunia? unapokuwa na nchi ya watu wajinga kama huyu shetani ni aibu sn
 
Endelea kuumia na ujinga wako wakati watu wakiendelea kushangilia kwa shangwe na Nderemo mitaani kwote.
Mjinga wewe huna hata boda boda upo upo tu ndiyo maana huelewi hata maana ya petrol, kwahiyo Samia anachimba mafuta au yeye ndiyo anapanga kwenye soko la dunia? shame on you, kwenye sababu za kushuka mafuta wametaja kuwa yameshuka sababu Samia ameyashusha? mpuuzi sn wewe shetani
 
Back
Top Bottom