Tanzania inavichaa wengi.petroli ilikuwa 3140 Kwa Sasa yatauzwa 3011 he alafu kunamjinga anakenua meno uh ameungua bei.Huu ni ujinga wa hali ya juu.kuna Nchi zinapitisha mafuta kwenye barabara zetu lakini kwao mafuta wanauza 2200petroli. Cement Kwa Sasa imepanda na kuuzwa 18000kutoka 15000 halafu Kuna vichaa wanaofurahia madudu