THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
BASI JIUZE WEWE TUNUNUE,BIASHARA MATANGAZO USIBANIE BANIE.Huyo Mama hauziki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BASI JIUZE WEWE TUNUNUE,BIASHARA MATANGAZO USIBANIE BANIE.Huyo Mama hauziki
Kwahiyo mafuta yakipanda ni suala la OPEC ila tozo ni nani!? Tozo ni za OPEC au nani!??Kwa hiyo kumbe yakipanda huwa anayapandisha yeye na siyo soko la dunia? unapokuwa na nchi ya watu wajinga kama huyu shetani ni aibu sn
Kabisa wanampa kichwa wanaomjibu.Tusiwe tunamjibu tunampa milage za bure. Ni kumsusia kabisa kuanzia leo!!!
Tozo zimeshuka mwezi huu?Kwahiyo mafuta yakipanda ni suala la OPEC ila tozo ni nani!? Tozo ni za OPEC au nani!??
Hakuna siku tozo zitashuka mkuu!Tozo zimeshuka mwezi huu?
Moja kwa moja mafuta yalishuka tangu March 2024 pipa linauzwa chini ya dola senti 60, tozo za kijinga na uhuni ndiyo umepeleka mafuta juuHakuna siku tozo zitashuka mkuu!
Sijui na kuyapandisha alipandisha yeye bei? yaani CCM imejaa akina mama wajinga sn kama hili chiziHivi ili uwe chawa ni lazima akili ipungue kidogo!? Sasa hapo Rais anahusikaje na kushuka kwa bei ya mafuta? Kwani mafuta ni ya kwake!
PovuBASI JIUZE WEWE TUNUNUE,BIASHARA MATANGAZO USIBANIE BANIE.
Hilo ndo tatizo Mkuu! Ila hautokuja kuona Lucas Mwashambwa anazungumzia hiloMoja kwa moja mafuta yalishuka tangu March 2024 pipa linauzwa chini ya dola senti 60, tozo za kijinga na uhuni ndiyo umepeleka mafuta juu
Achana na hili chiziHilo ndo tatizo Mkuu! Ila hautokuja kuona [B]Lucas Mwashambwa[/B] anazungumzia hilo
Ni bei ya chini afrika mashariki na katiBado Bei ya mafuta Iko juu sana nadhani ingeweza kushuka zaidi ya hapo
Je kuna tozo na makato katika bidhaa za mafuta pia!?? 😃Ni bei ya chini afrika mashariki na kati
Hapa kenya tunanunua 196 * 22= 4312/=tsh
Hakuna kama mama samia Mungu ambariki sana
Kwa mara ya kwanza Tanzania hii kushushiwa bei za mafuta kwa kiwango hicho.
I think soJe kuna tozo na makato katika bidhaa za mafuta pia!?? 😃