Bei ya Petroli, Dizeli Oktoba sasa kitonga, sababu za kushuka zatajwa

Bei ya Petroli, Dizeli Oktoba sasa kitonga, sababu za kushuka zatajwa

Hizi ni bei za Septemba 2023! Hapo kuna nafuu ipi!??
 

Attachments

  • Screenshot_20241002_144644_Chrome.jpg
    Screenshot_20241002_144644_Chrome.jpg
    194.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241002_144716_Chrome.jpg
    Screenshot_20241002_144716_Chrome.jpg
    568.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241002_144735_Chrome.jpg
    Screenshot_20241002_144735_Chrome.jpg
    331.3 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241002_144757_Chrome.jpg
    Screenshot_20241002_144757_Chrome.jpg
    275.9 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241002_144825_Chrome.jpg
    Screenshot_20241002_144825_Chrome.jpg
    635.5 KB · Views: 0
  • Screenshot_20241002_144843_Chrome.jpg
    Screenshot_20241002_144843_Chrome.jpg
    332.6 KB · Views: 0
  • Screenshot_20241002_144905_Chrome.jpg
    Screenshot_20241002_144905_Chrome.jpg
    141.2 KB · Views: 1
Hivi ili uwe chawa ni lazima akili ipungue kidogo!? Sasa hapo Rais anahusikaje na kushuka kwa bei ya mafuta? Kwani mafuta ni ya kwake!
 
Hivi ili uwe chawa ni lazima akili ipungue kidogo!? Sasa hapo Rais anahusikaje na kushuka kwa bei ya mafuta? Kwani mafuta ni ya kwake!
Sijui na kuyapandisha alipandisha yeye bei? yaani CCM imejaa akina mama wajinga sn kama hili chizi
 
Hivi; kuna uhusiano wa uchawa na akili? Sometimes jamani mtaonekana wapuuzi mbele za watu, sasa mama anahusikaje na kupungua kwa bei ya mafuta? Tunatengeneza Tanzania? Mafuta yakipungua huko duniani, automatic na huku yatapungua, sasa mama hapo anahusikaje? You mean hata yalivo panda then tumlaumu mama? Nonsense
 
Back
Top Bottom