Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 3,978
- 6,739
You're not sure!?? Fanya research uone tofauti!I think so
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You're not sure!?? Fanya research uone tofauti!I think so
Kwasasa kenya kuna tozo nyingi kuliko tzYou're not sure!?? Fanya research uone tofauti!
Ebu nambie hizo tozo please nitashukuru sana! Haswa kwenye mafuta!Kwasasa kenya kuna tozo nyingi kuliko tz
Soda ya buku tz hapa ni 90* 22=1980Ebu nambie hizo tozo please nitashukuru sana! Haswa kwenye mafuta!
Tunazungumzia mafuta mkuu! Tozo kwenye bidhaa za mafuta!Soda ya buku tz hapa ni 90* 22=1980
kitonga kivipi mkuu!Bei ya petroli na dizeli ya rejareja kwa Oktoba 2024 imeshuka nchini, ikilinganishwa na Septemba, huku sababu kadhaa zikitajwa, ikiwamo kushuka kwa gharama za soko la Uarabuni.
Taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) inaonyesha bei za mafuta kuanzia leo Jumatano Oktoba 2, 2024 kwa yanayochukuliwa Bandari ya Dar es Salaam, Petroli imeshuka kutoka Sh 3,140 Septemba kwa lita moja hadi Sh 3,011 Oktoba, sawa na asilimia 4.1.
Pia, kwa petroli inayochukuliwa katika Bandari ya Tanga, lita moja imeshuka kutoka Sh3,141 Septemba hadi Sh3,016 Oktoba na kwa Bandari ya Mtwara pia imeshuka kutoka Sh3,142 Septemba hadi Sh3,016 Oktoba.
Kwa upande wa bei ya dizeli, taarifa ya Ewura inaeleza bidhaa hiyo inayopokewa Bandari ya Dar es Salaam bei yake imeshuka kutoka Sh3,011 Septemba hadi Sh2,846 Oktoba.
Soma: Petroli na dizeli zashuka bei soko la dunia
Kutoa data za hivyo huwa tunachajiTunazungumzia mafuta mkuu! Tozo kwenye bidhaa za mafuta!
Tusubiri maumivu ya NovemberBei ya petroli na dizeli ya rejareja kwa Oktoba 2024 imeshuka nchini, ikilinganishwa na Septemba, huku sababu kadhaa zikitajwa, ikiwamo kushuka kwa gharama za soko la Uarabuni.
Taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) inaonyesha bei za mafuta kuanzia leo Jumatano Oktoba 2, 2024 kwa yanayochukuliwa Bandari ya Dar es Salaam, Petroli imeshuka kutoka Sh 3,140 Septemba kwa lita moja hadi Sh 3,011 Oktoba, sawa na asilimia 4.1.
Pia, kwa petroli inayochukuliwa katika Bandari ya Tanga, lita moja imeshuka kutoka Sh3,141 Septemba hadi Sh3,016 Oktoba na kwa Bandari ya Mtwara pia imeshuka kutoka Sh3,142 Septemba hadi Sh3,016 Oktoba.
Kwa upande wa bei ya dizeli, taarifa ya Ewura inaeleza bidhaa hiyo inayopokewa Bandari ya Dar es Salaam bei yake imeshuka kutoka Sh3,011 Septemba hadi Sh2,846 Oktoba.
Soma: Petroli na dizeli zashuka bei soko la dunia
kwa kiwango kipi mkuu maana kwa mara ya kwanza mafuta kupaa hadi 3000 ni awamu hii ya 6Kwa mara ya kwanza Tanzania hii kushushiwa bei za mafuta kwa kiwango hicho.