Wafanye 1500 kama Magufuli ndiyo tutalipuka kitaani !!Bado Bei ya mafuta Iko juu sana nadhani ingeweza kushuka zaidi ya hapo
Kuna kigogo mmoja huko huko ndani ya chama Chao nilishangaa sana kumsikia akisema kwamba Mwenyekiti wao wa sasa "hana mvuto wa kisiasa," Mimi binafsi nilishitushwa Sana na kauli hiyo, ila lakini baadaye nilimwelewa kwamba alikuwa anamaanisha nini.
Utashangaa CHADEMA watanuna kwa taarifa hizi nzuri.maana mioyo na akili zao wanazijuwa wenyewe.wanatakaga kusikia mabaya tu kwa Taifa letu.
Kazi zake nzuri zinamtetea Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenziHata kama alisema mumtetee sio Kwa stlye hii π
Kwa hiyo kumbe yakipanda huwa anayapandisha yeye na siyo soko la dunia? unapokuwa na nchi ya watu wajinga kama huyu shetani ni aibu snNi kwamba unatania au hauelewi bei ya mafuta bado ni mtihani!?? Serious kabsa! Hata kama ni mapambio yamezidi sasa! Kwamba unampa hongera SAMIA kwa hili!
Ebu nenda uwaulize kwanza wadau wa usafirishaji upate picha za gharama ya mafuta inavyowaumiza.
Endelea kuumia na ujinga wako wakati watu wakiendelea kushangilia kwa shangwe na Nderemo mitaani kwote.Yaani wewe ni shetani haswa, kwa hiyo hata yakipanda huwa anayapandisha yeye na siyo soko la dunia? jinga sn
Huyu shetani mimi nitamjibu ili aache ujinga wake, hili jitu ni chizi halina akiliTusiwe tunamjibu tunampa milage za bure. Ni kumsusia kabisa kuanzia leo!!!
Mbunge kijana wa nchi ya Afrika ya Kusini Bw. Julius Mapema anauita umati Kama huu kuwa ni 'hired crowd '
Kama umeumia mafuta kushuka bei basi hama nchiKwa hiyo kumbe yakipanda huwa anayapandisha yeye na siyo soko la dunia? unapokuwa na nchi ya watu wajinga kama huyu shetani ni aibu sn
Ni kweli huyu KICHAMBO ni kumuacha abwate mwenyewe, lakini machawa wenzake watamuunga mkono hata kama ameandika pumbaTusiwe tunamjibu tunampa milage za bure. Ni kumsusia kabisa kuanzia leo!!!
Upige kura na uisimamie kura yako.Huyo Mama hauziki
Chizi Mwenyewe ππHuyu shetani mimi nitamjibu ili aache ujinga wake, hili jitu ni chizi halina akili
Mjinga wewe huna hata boda boda upo upo tu ndiyo maana huelewi hata maana ya petrol, kwahiyo Samia anachimba mafuta au yeye ndiyo anapanga kwenye soko la dunia? shame on you, kwenye sababu za kushuka mafuta wametaja kuwa yameshuka sababu Samia ameyashusha? mpuuzi sn wewe shetaniEndelea kuumia na ujinga wako wakati watu wakiendelea kushangilia kwa shangwe na Nderemo mitaani kwote.
Yaani wewe chizi ukatibiwe harakaKama umeumia mafuta kushuka bei basi hama nchi
Shetani wewe huna hata aibuChizi Mwenyewe ππ