Bei ya petroli Zanzibar ni Tsh 2600 kwa lita. Bara bei ipo juu zaidi

Bei ya petroli Zanzibar ni Tsh 2600 kwa lita. Bara bei ipo juu zaidi

Tanzania inawahudumia nini?

Bajeti ya serikali ya mapinduzi ya Zanzibar haigharamiwi na TRA wao kama Zanzibar wa Mamlaka yao inayokusanya kodi Zanzibar na hiyo pesa ndio ndio inayotumiwa na SMZ/Zanzibar

Jeshi la wananchi JWTZ nje ya jeshi ni mtu mmoja tu anaetoa Amri nae ni rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania sasa ulitaka Jeshi la rais wa Jamhuri ya Tanzania ligharamiwe na serikali ya Mapinduzi Zanzibar? Hivyo hivyo kwa jeshi la Polisi
Wewe nae muongo sasa, embu acha hizi vitu. Zanzibar haina mapato kihivyo bado inakula kwa kwa danga lao Tanganyika.
 
Hio sio sababu sababu ni kuwa Zanzibar ni sehemu ya Tanzania iliyopewa mamlaka kikatiba kujiamulia na inajiendesha yenyewe mambo yasiyo ya muungano mfano Kodi na Mengineyo mengi usitegemee Zanzibar kufanana na bara sababu kuna mambo Rais wa Jamhuri ya muungano hana mamlaka nayo

Mfano JWTZ na Polisi wanatii amri ya Rais wa Jamhuri ya Tanzania sasa ulitegemea wao kodi zao kugharamia JWTZ na Police wetu?

Kuwalaumu Zanzibar wakati wao wanatumia kodi zao kuendesha serikali yao ni ujuha Zanzibar wana autonomy kitu ambacho Wa Tanzania wengi hawakijui sababu ya elimu ndogo
Ww ndio una elimu ndogo.Nachukia Sana watu wanaopenda kutudharau .
 
Wewe nae muongo sasa, embu acha hizi vitu. Zanzibar haina mapato kihivyo bado inakula kwa kwa danga lao Tanganyika.

Kwa hiyo TRA wanapelekea hela SmZ zanzibar sio? Au halmashauri za serikali za mitaa zinaipelekea hela SMZ? punguza Bangi
 
Hio sio sababu sababu ni kuwa Zanzibar ni sehemu ya Tanzania iliyopewa mamlaka kikatiba kujiamulia na inajiendesha yenyewe mambo yasiyo ya muungano mfano Kodi na Mengineyo mengi usitegemee Zanzibar kufanana na bara sababu kuna mambo Rais wa Jamhuri ya muungano hana mamlaka nay...
Kwani tanganyika haina autonomy kisheria ndio maana mafuta yamepanda?

Tanganyika haina mamlaka kamili kisheria ndio maana mafuta yamepanda?

Tanganyika hawatumii tumii kodi zao ndio mwana mafita yamepanda mkuu?
 
UP. Ni United Petroleum inamilikiwa na S.S. Bakhressa. Unataka hicho kikampuni kinachonunua mafuta reja reja kishindane na giant anaenunua in huge bulk?
UP. Ni United Petroleum inamilikiwa na S.S. Bakhressa. Unataka hicho kikampuni kinachonunua mafuta reja reja kishindane na giant anaenunua in huge bulk?
Kama huna taarifa za kutosha ni bora ukakaa kimya tu!!kwani zanzibar nzima hiyo bei iko kwenye vituo vya UP, tu?!!mbona hadi pemba kuna vituo vya uchochoroni bado vinauza mafuta kwa bei hiyo?!!
 
Back
Top Bottom