Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,490
- 7,422
Kwani tanganyika haina autonomy kisheria ndio maana mafuta yamepanda ?
Tanganyika haina mamlaka kamili kisheria ndio maana mafuta yamepanda ?
Tanganyika hawatumii tumii kodi zao ndio mwana mafita yamepanda mkuu ?
Kwenu mafuta yako juu sababu ya Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania lililotunga sheria inayowagonga kodi kubwa hivyo kufikia bei hizo mnazolalamikia