jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Kuna haja ya kuwa na sheria inayokataza wazanzibari kuwa viongozi huku bara.Kudadadeeeki walahi ayaaaaa ukisikia kulamba asali ni huko zenji aiseeeee ina maana vita vya ukraine effects zake hazifiki zenji? hivi kule wamachinga walitimuliwa?
Sitashangaa kusikia hata mfumuko wa bei haujaathiriwa na vita vya ukraine au nchi mbili tofauti hizi?
View attachment 2212059View attachment 2212060View attachment 2212064
Wewe nae muongo sasa, embu acha hizi vitu. Zanzibar haina mapato kihivyo bado inakula kwa kwa danga lao Tanganyika.Tanzania inawahudumia nini?
Bajeti ya serikali ya mapinduzi ya Zanzibar haigharamiwi na TRA wao kama Zanzibar wa Mamlaka yao inayokusanya kodi Zanzibar na hiyo pesa ndio ndio inayotumiwa na SMZ/Zanzibar
Jeshi la wananchi JWTZ nje ya jeshi ni mtu mmoja tu anaetoa Amri nae ni rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania sasa ulitaka Jeshi la rais wa Jamhuri ya Tanzania ligharamiwe na serikali ya Mapinduzi Zanzibar? Hivyo hivyo kwa jeshi la Polisi
Bibi ushungi anatukamua huku anapeleka nafuu kwaoSio mafuta tu.. Zanzibar hata bidhaa za vyakula kutoka nje Kama sukari na mafuta it's cheaper compare to bara..
Kabisa wanatutafuna snWewe nae muongo sasa, embu acha hizi vitu. Zanzibar haina mapato kihivyo bado inakula kwa kwa danga lao Tanganyika.
Ww ndio una elimu ndogo.Nachukia Sana watu wanaopenda kutudharau .Hio sio sababu sababu ni kuwa Zanzibar ni sehemu ya Tanzania iliyopewa mamlaka kikatiba kujiamulia na inajiendesha yenyewe mambo yasiyo ya muungano mfano Kodi na Mengineyo mengi usitegemee Zanzibar kufanana na bara sababu kuna mambo Rais wa Jamhuri ya muungano hana mamlaka nayo
Mfano JWTZ na Polisi wanatii amri ya Rais wa Jamhuri ya Tanzania sasa ulitegemea wao kodi zao kugharamia JWTZ na Police wetu?
Kuwalaumu Zanzibar wakati wao wanatumia kodi zao kuendesha serikali yao ni ujuha Zanzibar wana autonomy kitu ambacho Wa Tanzania wengi hawakijui sababu ya elimu ndogo
Wewe nae muongo sasa, embu acha hizi vitu. Zanzibar haina mapato kihivyo bado inakula kwa kwa danga lao Tanganyika.
Sasa hapo kuna kosa gani? Huu muungano si mliutaka wenyewe? Lazima mgharamike kama mnaona inauma chomoeni.Lakini unakubali bara tunawahudumia Zanzibar? Kwa cost ya Muungano.
Kwani tanganyika haina autonomy kisheria ndio maana mafuta yamepanda?Hio sio sababu sababu ni kuwa Zanzibar ni sehemu ya Tanzania iliyopewa mamlaka kikatiba kujiamulia na inajiendesha yenyewe mambo yasiyo ya muungano mfano Kodi na Mengineyo mengi usitegemee Zanzibar kufanana na bara sababu kuna mambo Rais wa Jamhuri ya muungano hana mamlaka nay...
UP. Ni United Petroleum inamilikiwa na S.S. Bakhressa. Unataka hicho kikampuni kinachonunua mafuta reja reja kishindane na giant anaenunua in huge bulk?
Kama huna taarifa za kutosha ni bora ukakaa kimya tu!!kwani zanzibar nzima hiyo bei iko kwenye vituo vya UP, tu?!!mbona hadi pemba kuna vituo vya uchochoroni bado vinauza mafuta kwa bei hiyo?!!UP. Ni United Petroleum inamilikiwa na S.S. Bakhressa. Unataka hicho kikampuni kinachonunua mafuta reja reja kishindane na giant anaenunua in huge bulk?